Mwanamke anaposema "Mwanaume wake haeleweki" anamaanisha moja kati ya haya

Ushauri wako xaxa tufanyeje manaa mim nimeacha mademu weng sababu ya kigeugeu

Tafuta wakumpenda na uishi naye kama Mwanaume.

Huwezi kubadili ugeugeu wao. Huo ndio uanamke wenyewe.

Hata mwanaume ukimuona ni Kigeugeu ujue anahulka ya kike.

Na Mwanamke ukiomuona anamsimamo ujue anahulka ya kiume
 
Wise man once said:

Kwa wanaume: Historia ya mwanamke wako kabla yako ni muhimu sana kujua wapi alipotokea.

Kwa wanawake: Future ya mwanamme wako ni muhimu sana kujua wapi anakoelekea.


Ncha Kali.
History ya wanawake wengine ni ngumu sana nyingine hazibebeki
 
kuna mwanamke anasema nina fake promise wakati honestly not hua nasahau tu😀
 
Sasa hivi watu tuna mambo mengi bhana,tuwaze namna ya kupambana na Umasikini,kukabiliana na gharama za maisha zilizo panda,n.k.Tena uniongezee na kazi ya kukumbuka tarehe ya kuzaliwa kwa mtu mzima, wakati Mimi mwenyewe tarehe yangu ya kuzaliwa huwa ninaisahau.Bora aniite Mwanaume nisiyeeleweka lkn hiyo kazi siwezi kuifanya.
 

Na huwezi pambana na umasikini Kwa kuwa na Mwanamke Masikini
 
Unaweza kuta hata wewe ueleweki kwa mpenzi wako!!.
Haya mambo hayana mwalimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…