Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Watu wana mapito!!
Acha kabisa Mkuu..... Muone jamaa yetu amewahi kubakwa..... Yangekuwa ni mapenzi yangu ningetaka mwanamke mwingine ambake ukubwani.
 
Kubaka kubakwa kupo kwa aina nyingi, kupo kubaka kwakutumia nguvu na kubaka kwakutumia ulaghai na mbinu mbali mbali ambazo kiujumla wake mbakwaji anaweza asijue hadi baadae sana ndio anashtuka , aaah …!!! Nakukosa furaha kwakitendo kilichotokea na hataman tena hata kufanya hivyo, mwanaume wa aina hii anakuwa amebakwa tayari...

Na pombe , tamaa ndogo ndogo, ndio chanzo,

mafundi umeme wa manyumbani, wapiga rangi manyumbani, mafundi vitanda (seremala) wapaka kucha rangi, madereva wa watu binafsi , hawa wengi wao wana bakwa sana kimya kimyaaaaa
 
Cjui hata aliendaga wapi yule dada Sesilia. Maana ilikua Mpanda Katavi kule (kwa kina Mizengo Pinda).
Sasa nilihama darasa la pili.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Chief mbona hujaleta mrejesho wa yule demu wa Mbezi?.... Si ulisema ni Jmos?
 
POROJO...
 
Kabakwa usiku kucha na yeye naye kadindisha tu usiku kucha???!!!
 
Wakati tunafanya mitihani practical ya somo la kemia kwa ujanja huwa suali la 2 na 3 (qualitative analysis) halafu tunamalizia swali la kwanza (volumetric analysis) kwa sababu la kwanza ni refu na chances za kukosea ni nyingi... Wakati maswali ya pili na tatu yanakuwa relatively mafupi na mepesi. Sasa jamaa Yeye hakuelewa huo ujanja wa porini akaanza Kama yalivyopangwa. Mara kakosea kaanza mara hazileti almuradi mpaka anamaliza swali la kwanza invigilator anatangaza "half an hour left" jamaa karuka kwa mshutuko aaaaahhh!!! Watu wanamuangalia kupiga bao.
 
Na mbakaji
Mtu kunibabuseya hilo haliwezekani wala halijawahi kuwezekana..... Ila huu upande mwingine basi tu mtu unakufa na tai shingoni...... Chief kasema yake,.. Yetu yaozee moyoni.
 
Kwa sheria ya tanzania mwanamke anaweza kumbaka mwanamke mwenzake tuu kwa mujibu wa kifungu cha 131A cha kanuni ya adhabu ( penal code) kikisomwa pamoja na kifungu cha 22 cha kanuni ya adhabu.
 
Mtu kunibabuseya hilo haliwezekani wala halijawahi kuwezekana..... Ila huu upande mwingine basi tu mtu unakufa na tai shingoni...... Chief kasema yake,.. Yetu yaozee moyoni.
Basi tena maana nilikuwa nampango wa kukubaka.
 
Kwa sheria ya tanzania mwanamke anaweza kumbaka mwanamke mwenzake tuu kwa mujibu wa kifungu cha 131A cha kanuni ya adhabu ( penal code) kikisomwa pamoja na kifungu cha 22 cha kanuni ya adhabu.
Kwahiyo mwanamke akimbaka mwanaume hakuna kesi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…