pirates lil
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 958
- 912
#GUDUME#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hamu ya kubakwa wewe
Ndo maana sianzishaji thread kwa mambo kama haya!😀😀😀😀😀!Una hamu ya kubakwa wewe
Inawezekana Kubakwa..
Mwaka Flani Nyuma Kuna Story Nilisikia.. Bi Mkubwa Mmoja alikuwa anashikia Wanaume Risasi..Hapo Itasimama Tu na Utafanya Bila Ridhaa Yako.
We utakuwa uliparamiwa kimahaba na wife na sio kubakwaNimebakwa mara nyingi sana na waifu
Mkuu c kushikia risasi bali ni bunduki au bastola kwan risasi huwa ndani yaInawezekana Kubakwa..
Mwaka Flani Nyuma Kuna Story Nilisikia.. Bi Mkubwa Mmoja alikuwa anashikia Wanaume Risasi..Hapo Itasimama Tu na Utafanya Bila Ridhaa Yako.
asanteMkuu c kushikia risasi bali ni bunduki au bastola kwan risasi huwa ndani ya
Sawa mkuuNinachosema ni kwamba dawa kama Viagra, Cialis, au Levitra haziongezi hamu ya mwanamme kutaka kufanya tendo la ndoa.
Pia huwezi tu kupata erection kwa kumeza moja ya hizo dawa. Ili uweze kupata na ku maintain erection ni lazima kuwe na sexual stimulation. Unabisha?
So let's cut to the chase. Check this out....
A quote from viagra.com...
"VIAGRA is a prescription medicine used to treat erectile dysfunction (ED). You will not get an erection just by taking this medicine. VIAGRA helps a man with ED get and keep an erection only when he is sexually stimulated."Source
Another quote from cialis.com...
- "You should not get an erection just by taking CIALIS. Sexual stimulation is required for CIALIS to work." Source
Kuna waliobakwa mkuukwa mtazamo wangu mwanaume hawezi bakwa, kwanza ni kazi kwa jamaa kusimama mahari amabapo hana hisia napo na kwa mjibu wa kubaka inatakiwa kuwe na penetration na n obvious ya mwanamke haiwez penetrate inayofanya hivo n ya mwanamme. kwahyo mwanamme hawezibakwa ila anaamua kufanya mapenzi bila dhamila yake. sema huyo jamaa aliamua tuu ajimegee mzigo