Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

kuna mama mmja mjane alibakwa...ilikuwa mtata mwishowe ikaingia...akatulia tuliiii akaonyesha ushirikiano kabisa kila kitu..walipo maliza yule mama akaanza kupiga kelele...eheee..
Noma sana asee
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kweli mkuu
 
Ni jambo limetustaajabisha wengi muda mfupi uliopita usiku huu

Hii ni baada ya kusikia Kijana mmoja Bodaboda amelazimishwa kufanya mapenzi na Landlord wake ambaye ni mjane kwa miaka kadhaa

Kijana anasema Mama huyo aliingia chumbani kwake na kufunga mlango na kisha kumtight.
 
Ugwadu ukizidi akili uhama toka kichwani na kuhamia chini.Mtu anaweza fanya chochote.Nasikia hayo hutokea sana shule za wasichana watupu!🙄
 
Sisi hatubaki, tunatamanisha tuu, alafu unafungua zip mwenyew uwe hutak au unataka
 
Ipo kabisa wakuu. Nimewahi lala na mwanamke mmoja sikuwa nampenda kivileee. Ikatokea akawa anataka tufanye tendo nikakataa. Basi usingizi mzito ukanipitia. Baada ya masaa kadhaa nikaanza kuota km niko nafanya tendo na mwanamke.

Baadae nikashituka usingizini nakuta yule mdada amenikalia kwa juu akiendelea kufanya. Nilikuwa km sjielewi elewi hivi!Nadhani alinichezea nikiwa nmesinzia hadi uume ukasimama.Haya mambo yapo sana hasa kwenye ndoa omba yasikukute.
 
🤣🤣🤣🤣..hii kali jamani..kwamba kw3nye ndoa yapo🤣🤣🤣! Mie had nikuanze bas una vibe sio za kawaida
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..hii kali jamani..kwamba kw3nye ndoa yapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Mie had nikuanze bas una vibe sio za kawaida
Ni ngumu kuamini ila ndo ilivyonitokea, siwezi danganya. Na alinivizia hivyo zaidi ya mara moja. Nilimuambia brother nae hakuamini akasema namsingizia huyo mwanamke na kweli nilikuwa simpendi toka moyoni hadi leo simpendi ila ananing'ang'ania balaa!
 
Ni ngumu kuamini ila ndo ilivyonitokea, siwezi danganya. Na alinivizia hivyo zaidi ya mara moja. Nilimuambia brother nae hakuamini akasema namsingizia huyo mwanamke na kweli nilikuwa simpendi toka moyoni hadi leo simpendi ila ananing'ang'ania balaa!
Unaishi nae? Watoto wapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…