Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

Nimeanza kutoa risasi nikiwa 15 labda bwana ndugu ulikuwa na kasoro ama ulichelewa
 
She must be a video chick otherwise juhudi binafsi zinahitajika
 
Inategemeana na umri wa mwanaume,pia mazingira.
 
kubakana ni mojawapo ya style za ngono tu...lol
 
Kubaka, nahisi ni kufanya ngono na mtu bila ya ridhaa yake.
Je inapotekezea mwanamke amebakwa, lakini katika ya kitendo akasikia anafurahia penetration, huo si bado utakuwa ni ubakaji?
Kwa hivyo mwanamume anaweza kulazimishwa na mazingira kufanya hiyo akiwa hakutoa ridhaa yake, akafurahia tendo lenyewe, kwa sababu inasemwa kuwa "hakuna asiyefurahia (asiyejua ladha ya) utamu".
 

We acha kabisa,tafuta mwanasheria yeyote unayemfahamu atakachokwambia ni kwamba kwa sheria wanatambua kuwa mwanamke hana kibakio nadhan umenielewa...
 

Hamna kubakwa mzee! Laasivyo mshedede usingeinuka kaka! Ili mshedede uinuke lazma akili na mwili uwe umekubali matokeo and ready for the game!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…