Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

Kwanini??

TF, ukiacha sababu ya watu kupewa madawa (kama ulivyoeleza), naona uko ugumu sana wa mwanaume kusema amebakwa kama na yeye aliweza kumaliza.

BTW, mzima wewe? Nakutakia heri ya mwaka mpya 2012. May you be blessed as you enter 2012.
 
@wilson Mwijage jarbu kusoma alchoandka The Finest... Yeye kaitafsir sheria bila kufungwa na maana ya moja kwa moja ya Rape kama ilvokwenye sheria ya makosa ya jinai. Ametoa maana pana zaidi kulingana pia na mazngra tuliyonayo sasa kwani awali wakat sheria hii inatungwa naamin jamii [wanawake] haikuwa kama leo hii ambapo wanawake wanapesa, aibu imepotea, na wanapgana kutokomeza ukuu aliokuwa kajiwekea mwanaume.
 
@wilson Mwijage jarbu kusoma alchoandka The Finest... Yeye kaitafsir sheria bila kufungwa na maana ya moja kwa moja ya Rape kama ilvokwenye sheria ya makosa ya jinai. Ametoa maana pana zaidi kulingana pia na mazngra tuliyonayo sasa kwani awali wakat sheria hii inatungwa naamin jamii [wanawake] haikuwa kama leo hii ambapo wanawake wanapesa, aibu imepotea, na wanapgana kutokomeza ukuu aliokuwa kajiwekea mwanaume.
Thanks kwa kunielewa mkuu we are on the same page...
 
....unapobakwa na huna namna nyingine ya kujiokoa, toa ushirikiano na ikibidi furahia!...la sivyo itamchukua mtuhumiwa muda mrefu kumaliza adhabu hiyo.
 
....unapobakwa na huna namna nyingine ya kujiokoa, toa ushirikiano na ikibidi furahia!...la sivyo itamchukua mtuhumiwa muda mrefu kumaliza adhabu hiyo.


hahahahah....LOL..🙂

Nafikiri ukitoa ushirikiano huhitaji tena kusema kuwa umebakwa.....
 
hahahahah....LOL..🙂

Nafikiri ukitoa ushirikiano huhitaji tena kusema kuwa umebakwa.....

...LOL...ni katika jitihada za kuepusha michubuko na athari zake mamie, hayo ya kuaminiwa au la yatakuja baadae...🙂
 
Mara kadhaa nimesikia kwenye redio na kusoma kwenye magazeti kuwa mwanamke fulani amembaka mtoto wa kiume. Habari za aina hii huwa nazitafakari kwa kina kujaribu kuona practicability yake. Navyofahamu neno KUBAKA linamaanisha mtu kulazimishwa kufanya ngono bila ridhaa yake. Sasa kwa upande wa mwanaume kama kweli amelazimishwa inawezekanaje mtaimbo usimame na shughuli ifanyike na kukamilika bila ridhaa yake!!! Kwa mwanamke, hiyo inawezekana kwamba jamaa anaweza akamwingilia na kumaliza tendo bila yeye kutaka wala kujisikia. Kwa sisi wanaume lazima 'jamaa' aamke na kusimama kabisa ndipo tendo lifanyike. Kwa hiyo, mimi binafsi sidhani kama ni sahihi kusema mwanaume amebakwa.

Mkuu kwa hii post yako inaonyesha wewe ni mtu ambae haufikirii kabla ya kutenda bali unakurupuka tu, Hivi unajua mwanaume aliye active hata tu kwa mawazo jamaa anasimama? Itakuwaje kwa mwanamke kukuchezea? Kama wamekutight fresh wakimchezea jamaa akisimama si watamtumia watakavyo au wewe siyo mwanaume? Hata kwa wanawake japo wanabakwa ili kune extent akifika au kuna shm ukimshika anafurahia japo haikuwa kwa hiyari yake
 
Mara kadhaa nimesikia kwenye redio na kusoma kwenye magazeti kuwa mwanamke fulani amembaka mtoto wa kiume. Habari za aina hii huwa nazitafakari kwa kina kujaribu kuona practicability yake. Navyofahamu neno KUBAKA linamaanisha mtu kulazimishwa kufanya ngono bila ridhaa yake. Sasa kwa upande wa mwanaume kama kweli amelazimishwa inawezekanaje mtaimbo usimame na shughuli ifanyike na kukamilika bila ridhaa yake!!! Kwa mwanamke, hiyo inawezekana kwamba jamaa anaweza akamwingilia na kumaliza tendo bila yeye kutaka wala kujisikia. Kwa sisi wanaume lazima 'jamaa' aamke na kusimama kabisa ndipo tendo lifanyike. Kwa hiyo, mimi binafsi sidhani kama ni sahihi kusema mwanaume amebakwa.

na kwa mwanaume inawezekana pia kubakwa, mfano ukilishwa viagra kwa nguvu, uume utasimama na hapo waweza fanya bila hiari yako
 
inawezekana tena sana tu jaribu kufatilia habari nyingi za Zambia,au Malawi huko
 
Mkuu umemaliza kila kitu, maana hakuna alogusia points hizi. utake usitake mshadede ulichezewa utasimama tu haijalishi unataka au hutaki. Kutokana na msisimko wa touching, teasing and so on.

Mkuu kwa hii post yako inaonyesha wewe ni mtu ambae haufikirii kabla ya kutenda bali unakurupuka tu, Hivi unajua mwanaume aliye active hata tu kwa mawazo jamaa anasimama? Itakuwaje kwa mwanamke kukuchezea? Kama wamekutight fresh wakimchezea jamaa akisimama si watamtumia watakavyo au wewe siyo mwanaume? Hata kwa wanawake japo wanabakwa ili kune extent akifika au kuna shm ukimshika anafurahia japo haikuwa kwa hiyari yake
 
Mkuu wanakupa madawa ya kuongeza nguvu za kiume overdose. kisha wanakufunga na kukulaza chali. kitu kinasimama chenyewe kama nguzo. Mia
 
Mkuu wanakupa madawa ya kuongeza nguvu za kiume overdose. kisha wanakufunga na kukulaza chali. kitu kinasimama chenyewe kama nguzo. Mia

kama hivyo ni sahihi otherwise BIG NOO...BT STIL LODING WAITING FOR NEW YEAR
 
Back
Top Bottom