Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Alichepuka zaidi ya miezi kadhaaa kutafuta kitu fulani amekikosa na habari zote nikapata nikaja kugundua now namuacha na sina mapenzi nae kama nilivyokuwa na mapenzi nae zamani....na simuamini tena hata kidogo

Ndugu wanaume wanawake ni viwembe hawa hawafai jamani tuwaone tu wazuri ila ni wauwaji hata umpe nini still bado hawafai hawa wati kabisaaa
 
Mm mwanamke anikosee makosa yote Duniani ntamsamehe kiroho safi KBS ila kuchepuka au ninuse alaf ya kuwa anataka kuchepuka au ameshachepuka huyo anakuwa ni virus
Nawwe ukichepuka unakuwa ni amoeba au?? Usipende kutenda usichopenda kutendewa
 
mkuu, siwezi kulea mtoto wa jamaa mwingine labda awe yatima or anahitaji msaada hapo sawa. ila hii ya kuchepuka ukaja na mimba juu, RISASI zitakuhusu sana

Kilitaka kunitokea hiki kitu apigwe mimba na mtu mwingine me nilee mambo yakagoma now imekuwa msalaaa kabisaaaa....
 
Yaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.
Inshort Dada zangu msitufanyie hayo pls

Hahahahndio hivyo hivyo na anakunjwaa haswaaa....
 
Nyie mkichepuka ua mnazama moyo wote kwa mchepuko tofaut na cc boys, tukichepuka ni bcoz of matamanio tu, nikishakojoa tu namkumbuka mke wngu, na hata likitokea la kutokea uwa tunakua upande wa wake zetu. Over

Good example ni Diamond, japo akufunga ndoa na Zari, lakin baada ya kutokea yalitokea, kajirud kwa Zari


hata sisi tukichepuka ni matamanio tu mkuu kwahyo usihiofu sana !kawaida!hata sie yakitokea ya kutokea huwa upamde wa waume zetu !VUMILIENI TU
 
Kilitaka kunitokea hiki kitu apigwe mimba na mtu mwingine me nilee mambo yakagoma now imekuwa msalaaa kabisaaaa....
Pole mkuu. Maana hawachelewi kufananisha kids wako na babu Wa babu yake ili kufuta soo! Maana unazaa mtoto hjafanana hta kidgo na ukoo wake kwa unaowafaham wala upande Wa ndugu zako zko.
 
Wanavyotumiaga nguvu kuhalalisha uzinzi haki hizo nguvu wangezihamishia kwenye utafutaji tungekuwa mbali sana, sasa wanahangaika na michepuko na nguvu zenyewe hawana(nguvu zote za mwili, akili na pesa).


afu nimecheka tu sijui kwann ila hii comment yako ni kweli tupu 100% hahaha
 
Na mwanamke hawez kuchepuka bila sababu..mwanamke akishaolewa anakua anajiheshim..ukiona mwanamke ana mume halafu anachepuka ujue mume wake ni malaya kwisha kaz ..na ameshaongea nae sasa ameshindwa kutatua tatizo ndo solution la tatizo inakua kutafuta mfariji..
Note:ukiona mwanaume unachepuka halafu mkeo hajui na wala hakuulizi chochote ujue na huyo mwanamke wako nae anagegedwa nje uko kwani mwanamke mwminifu hufanya uchunguz kuliko hata usalama wa taifa.


kula heshima yako mkuu ! i like u !
 
Boys tukichepuka uwa ni matamanio tu nothing else, nature yetu tu ya kutaman, na sidhan kama kuna boy asiyechepuka ila upendo wetu kwa wake/girlfrnd wetu upo palepale, ila nyie mkichepuka uwa mme fall inlov kwa mchepuko, ushuhuda wa hili lishanitokea, i knw wat im talking
Ni hatari sana kwa girls kuchepuka kuliko kwa boys, hata jamii ikifaham unachepuka ni aibu kwa girls than boys


aibu ipi hyo unayosema wewe?ptu
 
Yaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.
Inshort Dada zangu msitufanyie hayo pls


hahaha kwahyo unataka mchepuko apewe styles gan jaman wewe kaka?kuwa na huruma na mwanaume mwenzako basi kha!
 
Kumbe inauma eeh!! Basi kaeni mjue nasi tunaumia. Ila kama ndio mmeamua ni nature basi acheni tu nasi nature itutawale. Bahati nzuri women cheat the best.

haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom