Nanaa jolie
Senior Member
- Aug 9, 2017
- 145
- 356
Na ukitaka mume akuheshimu we chepuka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawwe ukichepuka unakuwa ni amoeba au?? Usipende kutenda usichopenda kutendewaMm mwanamke anikosee makosa yote Duniani ntamsamehe kiroho safi KBS ila kuchepuka au ninuse alaf ya kuwa anataka kuchepuka au ameshachepuka huyo anakuwa ni virus
Na ukitaka mume akuheshimu we chepuka tu
mkuu, siwezi kulea mtoto wa jamaa mwingine labda awe yatima or anahitaji msaada hapo sawa. ila hii ya kuchepuka ukaja na mimba juu, RISASI zitakuhusu sana
Yaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.
Inshort Dada zangu msitufanyie hayo pls
Nyie mkichepuka ua mnazama moyo wote kwa mchepuko tofaut na cc boys, tukichepuka ni bcoz of matamanio tu, nikishakojoa tu namkumbuka mke wngu, na hata likitokea la kutokea uwa tunakua upande wa wake zetu. Over
Good example ni Diamond, japo akufunga ndoa na Zari, lakin baada ya kutokea yalitokea, kajirud kwa Zari
Pole mkuu. Maana hawachelewi kufananisha kids wako na babu Wa babu yake ili kufuta soo! Maana unazaa mtoto hjafanana hta kidgo na ukoo wake kwa unaowafaham wala upande Wa ndugu zako zko.Kilitaka kunitokea hiki kitu apigwe mimba na mtu mwingine me nilee mambo yakagoma now imekuwa msalaaa kabisaaaa....
Hahahahndio hivyo hivyo na anakunjwaa haswaaa....
Wanavyotumiaga nguvu kuhalalisha uzinzi haki hizo nguvu wangezihamishia kwenye utafutaji tungekuwa mbali sana, sasa wanahangaika na michepuko na nguvu zenyewe hawana(nguvu zote za mwili, akili na pesa).
Na mwanamke hawez kuchepuka bila sababu..mwanamke akishaolewa anakua anajiheshim..ukiona mwanamke ana mume halafu anachepuka ujue mume wake ni malaya kwisha kaz ..na ameshaongea nae sasa ameshindwa kutatua tatizo ndo solution la tatizo inakua kutafuta mfariji..
Note:ukiona mwanaume unachepuka halafu mkeo hajui na wala hakuulizi chochote ujue na huyo mwanamke wako nae anagegedwa nje uko kwani mwanamke mwminifu hufanya uchunguz kuliko hata usalama wa taifa.
Boys tukichepuka uwa ni matamanio tu nothing else, nature yetu tu ya kutaman, na sidhan kama kuna boy asiyechepuka ila upendo wetu kwa wake/girlfrnd wetu upo palepale, ila nyie mkichepuka uwa mme fall inlov kwa mchepuko, ushuhuda wa hili lishanitokea, i knw wat im talking
Ni hatari sana kwa girls kuchepuka kuliko kwa boys, hata jamii ikifaham unachepuka ni aibu kwa girls than boys
Yaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.
Inshort Dada zangu msitufanyie hayo pls
Kumbe inauma eeh!! Basi kaeni mjue nasi tunaumia. Ila kama ndio mmeamua ni nature basi acheni tu nasi nature itutawale. Bahati nzuri women cheat the best.
Hapa nina matamanio balaa...teh!hata sisi tukichepuka ni matamanio tu mkuu kwahyo usihiofu sana !kawaida!hata sie yakitokea ya kutokea huwa upamde wa waume zetu !VUMILIENI TU
Aibu wanaona wao eti! Wahusika macho makavuuuaibu ipi hyo unayosema wewe?ptu
Aibu wanaona wao eti! Wahusika macho makavuuu