MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Hapa nina matamanio balaa...teh!
Shoga hongera kwa kutoka jela!
ahhaahha shouger jela ni noma !nimeshinda weekdn km mfiwa tena mjane !nasubiri Saint Ivuga aje hapa anieleze y ni;ipewa ban !nadhan mtongozo wake ulikua high class !lol!
bdw mie mwenyewe nina MATAMANIO KWELI KWELI !watulie tu