Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Malaya watapingana na huu ujumbe wa kutokuwa mchepuko

Mke wa pili
inategemea na imani
Kwa Watibeli Mke WA pili NI mwiko
Ila Binti WA Tibeli kuruhusu Mumewe kuongeza wake siô tatizo kama huyo Mwanamke atakubali Kwa hiyari Yake na kufuata Kanuni na Sheria alizozikuta kwèñye mfumo wa Nyumba kubwa
 
Takwimu kutoka Taasisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Tanzania ina wanawake 31,687,990 - ikiwa ni asilimia 51 ya idadi ya raia wake. Wanaume wanachukua asilimia 49 kwa idadi yao ya 30,530,130.

>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kwa takwimu hizo kama kila mwanaume akioa mwanamke mmoja, kuna wanawake zaidi ya milioni moja hawataolewa. Je, tuwapeleke wapi?
 
MWANAMKE ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUWA MCHEPUKO AU MKE WA PILI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Binti yàngu, kwetu Watibeli ni mwiko Kwa Binti zetu kuolewa Mke wa Pili au Uke Wenza au Kuwa mchepuko.

Huko ni kutojitambua, kujidhalilisha na dalili ya umaskini na uvivu.

Wewe siô mzuri mpaka úwe Mke WA pili au úwe mchepuko?
Wewe siô mchapakazi na mwenye uwezo wa kujitegemea mpaka úwe Mke WA pili au mchepuko.

Mwanamke mwenye mzuri kwelikweli hawezi kuwa Mchepuko au Mke WA pili. Hakunaga huyo Mwanamke.

Mwanamke anayefanya Kazi na kujitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko.

Kama nilivyokufunza Binti yàngu, kuwa Sisi Watibeli kufanya Kazi ni Dini. Lazima ufanye Kazi uweze kujitegemea mwenyewe.
Ndoa pia ni Dini lakini haimaanishi úwe Mke wa Pili au mchepuko.

Ukijitegemea Huwezi kuwa Mke WA pili Daima dawamu.

Kitu kizuri huwa chaguo la Kwanza. Kitu kinachopendwa huwa chaguo la Kwanza Binti yàngu. Usikubali kuwa na kuitwa wa ziada au nyongeza. Wewe siô wanyonyeza. Wewe NI wathamani.

Úkiwa mvivu na mwenye kumtegemea Mwanaume, hutaki kufanya Kazi na kujitegemea unavunja utu wako na Kwa hakika Watu watakudharau ikiwemo kuwekwa mchepuko au Mke wa Pili.

Kuolewa Mke WA pili au mchepuko NI kukosa Soko, haiwezeniki Wanawake wenzako Kila Siku wanaolewa na kupata Wanaume waô wènyewe alafu wewe úwe mpàngo wa kando au Mke WA Pili.

Huo ni Mkosi
Huko ni kujichafulia Ñyota yako. Kuizim.

Kuitwa Mke mdogo Binti yàngu siô Sifa Njema. Wewe siô Bi. Mdogo. Nilikuzaa úwe Mke Mkubwa Kwa Mwanaume atakayekupa First priority. Sikukuzaa uitwe Bi. Mdogo au Nyumba ndogo.

Wewes siô Bi. Mdogo.
Nyumba yako Kamwe isiitwe Nyumba ndogo.
Kamwe Usiitwe Mpàngo wa kando au mchepuko. Wewe ni Njia kuu, Mke Mkubwa. Nyumba kûbwa.

Wewe ni Highway, michepuko itoke kwako hiyo siô kesi lakini siô wewe ati úwe mchepuko Kutoka Njia kuu. Huko ni kujidhalilisha. Binti za Tibeli Kamwe na haitokuja kutokea wakawa na sîfa hiyo.

Kwani unaharaka gàni?
Wanaume wa kukuoa wàpo anakimbilia kuwa Mke WA pili au mchepuko ili kushusha hadhi na Ñyota yako Maisha yako yôte Kisa nini?

Fanya Kazi wewe NI Mwanamke unayeweza kujitegemea.

Elewa, Mwanamke mzuri anayefanya Kazi akajitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko Kwa sababu Wanaume weñye Akili hujua thamani yake na watamuoa akiwa nafasi ya Kwanza.

Fanya Kazi, linda heshima yako na thamani yako kama Mwanamke.

Masuala ya kusema mbona Zamani Bibi zako walikuwa wanaolewa Wake Wenza au Michepuko hiyo ilikuwa Zamani Wakati Wanawake wakiwa watumwa.

Tenà hata hizô Zamani Binti za Tibeli na Wanawake wa Tibeli hawakuwahi kuolewa Mke wa Pili Wala kuwa michepuko.

Hiyo siô desturi ya Wanawake Bora wanaojitambua.
Hilo la Mke WA pili au mchepuko Acha Wengine wafanye lakini siô wewe Binti yàngu. .
Baadhi ya Mapokeo ya Dini àmbayo hayakufuata HAKI Bali yalifuata matamanio ya Wanadamu na matamanio ya waandishi wa Wakati huo usiyafuate.

Mimi Baba yako, na Mama yako ndivyo tulivyokuagiza hayo. Yasikilize maneno yàngu


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Tunaomba utuambie, wanawake kama binadamu wengine, mahitaji yao ya kimaumbile atawatekelezea nani iwapo hawatachepukiwa?
 
MWANAMKE ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUWA MCHEPUKO AU MKE WA PILI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Binti yàngu, kwetu Watibeli ni mwiko Kwa Binti zetu kuolewa Mke wa Pili au Uke Wenza au Kuwa mchepuko.

Huko ni kutojitambua, kujidhalilisha na dalili ya umaskini na uvivu.

Wewe siô mzuri mpaka úwe Mke WA pili au úwe mchepuko?
Wewe siô mchapakazi na mwenye uwezo wa kujitegemea mpaka úwe Mke WA pili au mchepuko.

Mwanamke mwenye mzuri kwelikweli hawezi kuwa Mchepuko au Mke WA pili. Hakunaga huyo Mwanamke.

Mwanamke anayefanya Kazi na kujitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko.

Kama nilivyokufunza Binti yàngu, kuwa Sisi Watibeli kufanya Kazi ni Dini. Lazima ufanye Kazi uweze kujitegemea mwenyewe.
Ndoa pia ni Dini lakini haimaanishi úwe Mke wa Pili au mchepuko.

Ukijitegemea Huwezi kuwa Mke WA pili Daima dawamu.

Kitu kizuri huwa chaguo la Kwanza. Kitu kinachopendwa huwa chaguo la Kwanza Binti yàngu. Usikubali kuwa na kuitwa wa ziada au nyongeza. Wewe siô wanyonyeza. Wewe NI wathamani.

Úkiwa mvivu na mwenye kumtegemea Mwanaume, hutaki kufanya Kazi na kujitegemea unavunja utu wako na Kwa hakika Watu watakudharau ikiwemo kuwekwa mchepuko au Mke wa Pili.

Kuolewa Mke WA pili au mchepuko NI kukosa Soko, haiwezeniki Wanawake wenzako Kila Siku wanaolewa na kupata Wanaume waô wènyewe alafu wewe úwe mpàngo wa kando au Mke WA Pili.

Huo ni Mkosi
Huko ni kujichafulia Ñyota yako. Kuizim.

Kuitwa Mke mdogo Binti yàngu siô Sifa Njema. Wewe siô Bi. Mdogo. Nilikuzaa úwe Mke Mkubwa Kwa Mwanaume atakayekupa First priority. Sikukuzaa uitwe Bi. Mdogo au Nyumba ndogo.

Wewes siô Bi. Mdogo.
Nyumba yako Kamwe isiitwe Nyumba ndogo.
Kamwe Usiitwe Mpàngo wa kando au mchepuko. Wewe ni Njia kuu, Mke Mkubwa. Nyumba kûbwa.

Wewe ni Highway, michepuko itoke kwako hiyo siô kesi lakini siô wewe ati úwe mchepuko Kutoka Njia kuu. Huko ni kujidhalilisha. Binti za Tibeli Kamwe na haitokuja kutokea wakawa na sîfa hiyo.

Kwani unaharaka gàni?
Wanaume wa kukuoa wàpo anakimbilia kuwa Mke WA pili au mchepuko ili kushusha hadhi na Ñyota yako Maisha yako yôte Kisa nini?

Fanya Kazi wewe NI Mwanamke unayeweza kujitegemea.

Elewa, Mwanamke mzuri anayefanya Kazi akajitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko Kwa sababu Wanaume weñye Akili hujua thamani yake na watamuoa akiwa nafasi ya Kwanza.

Fanya Kazi, linda heshima yako na thamani yako kama Mwanamke.

Masuala ya kusema mbona Zamani Bibi zako walikuwa wanaolewa Wake Wenza au Michepuko hiyo ilikuwa Zamani Wakati Wanawake wakiwa watumwa.

Tenà hata hizô Zamani Binti za Tibeli na Wanawake wa Tibeli hawakuwahi kuolewa Mke wa Pili Wala kuwa michepuko.

Hiyo siô desturi ya Wanawake Bora wanaojitambua.
Hilo la Mke WA pili au mchepuko Acha Wengine wafanye lakini siô wewe Binti yàngu. .
Baadhi ya Mapokeo ya Dini àmbayo hayakufuata HAKI Bali yalifuata matamanio ya Wanadamu na matamanio ya waandishi wa Wakati huo usiyafuate.

Mimi Baba yako, na Mama yako ndivyo tulivyokuagiza hayo. Yasikilize maneno yàngu


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Kwenu watibeli kuzini ni dhambi au poa tu?
 
Nilichoandika NI culture ya Tibeli Mkûu.
Take easy kama kwèñu culture Yenu NI kuruhusu Bintu zenu kuolewa kimafungu au kuwa michepuko NI ninyi lakini kwetu NI mwiko
Sababu kûbwa NI suala la HAKI na Upendo
Kihaki, siô Haki kufanya Jambo ambalo wewe hutaki kufanyiwa.

Kiupendo, siô Mapenzi na wala siô Upendo WA kwèli Mtu kuwekwa second position. Upendo Siku zote ni namba Moja
Sasa kwanini usinge andika kwamba nihao watibeli?au watuwote niwatibeli?
 
Huko zamani kuna manabii walioa mamia ya wanawake. Halafu anakuja mvuta bange mmoja anasema ati ni kutojitambua

Nabii gàni alioa Wake wengi ukiachana na Yakobo aliyezakaziwa Kwa kudanganywa pàmoja na Muhammad.
Embu nitajie Nabii angalau Watatu waliooa wake wengi.
Nijue kwèli wewe unasema kweli
 
Ndîo maana hamtaki Kuoa Wake waliohuru,weñye uelewa, Kwa sababu hawawezi kukubali ûjinga na kudharauliwa.

KUoa Wake watumwa unaweza Kuoa hata elfu Tano ukitaka NI Hela yako tuu na kuweza kuwahudumia Kwa sababu waô NI wavivu hawawezi kujilisha.

Lakini kamwehata úwe bilionea Namba Moja Dunia Huwezi kumwoa Mwanamke anayejitambua Mke WA pili au kumuolea wake wengi.

Kama wewe usivyokubali Mkeo awe na Mume Mwingine ndivyo hivyohivyo Kwa Mwanamke anayejitambua
Elon Musk tajiri wa dunia hii ana wake wangapi vile?

Kwamba wale hawajitambui kumbe?
 
Takwimu kutoka Taasisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Tanzania ina wanawake 31,687,990 - ikiwa ni asilimia 51 ya idadi ya raia wake. Wanaume wanachukua asilimia 49 kwa idadi yao ya 30,530,130.


Kwa takwimu hizo kama kila mwanaume akioa mwanamke mmoja, kuna wanawake zaidi ya milioni moja hawataolewa. Je, tuwapeleke wapi?

Tupe rate ya Wanaume na Wanawake walioumri WA Kuoa na kuolewa
Yàani weñye umri kuanzia Miaka 18 Mpaka 60
 
Back
Top Bottom