Mwanamke anayejitolea kukumbatia Watoto Njiti waliotelekezwa Hospitali ya Amana

Mwanamke anayejitolea kukumbatia Watoto Njiti waliotelekezwa Hospitali ya Amana

1.kuna vijana wengi sana wamemaliza vyuo mtaani, wamepeleka barua za kujitolea pale Amana, wamenyiwa hiyo nafasi,inakuwaje mtu from no where asie na kazi Wala taaluma husika akaomba nafasi ya kujitolea na akapewa?

2.Huyu binti ana Mume,na watoto (family) how comes Mwanaume amruhusu Mkewe akiwa anajua Hana taaluma husika, akajitolee sehemu?

Note: najua watu wengi, mmepongeza Sana,Ila wasiwasi wangu upo palepale!

Kuna Jambo kubwa nyuma ya pazia linaloendelea.
Unaonekana wewe ni mchawi.Kila mtu na bahati yake na bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi.Soma vizuri habari yake usikurupuke.Amana hawakutangaza nafasi za kazi kilichotokea huyu mama alikwenda kumtembelea rafiki yake alizaa njiti ndio akaamua kumsaidia baada ya wiki mbili mtoto kaongezeka uzito wakati anataka kutoka akaona mtoto mwingine ametelekezwa kwa huruma ya kibinadamu akasaida na wa pili tena.Swali je wewe ukiona nyumba ya jirani yako inaungua moto na una ndoo ya maji utaacha kuchukua maji kuzima moto kama una uwezo kisa hadi wazima moto wenyewe waje?.
Mfano hiyo namba mbili ndio umechemsha kabisa suala la mtu na mkewe mumewe kumruhusu wewe linakuhusu nini.Pilipili iko shambani wewe mdomo wako unawasha nini.
Nahisi utakuwa ni moja ya watu waliokosa ajira tafuta shughuli za kufanya ziko nyingi sana hata kama ni graduate fungua kijiwe piga viatu rangi.Jamaa mmoja Arusha kamaliza shahada ya sheria anang'arisha viatu amekuwa tajiri kiasi kwamba hataki hata kusikia neno kuajiriwa changamka dogo
 
Unaonekana wewe ni mchawi.Kila mtu na bahati yake na bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi.Soma vizuri habari yake usikurupuke.Amana hawakutangaza nafasi za kazi kilichotokea huyu mama alikwenda kumtembelea rafiki yake alizaa njiti ndio akaamua kumsaidia baada ya wiki mbili mtoto kaongezeka uzito wakati anataka kutoka akaona mtoto mwingine ametelekezwa kwa huruma ya kibinadamu akasaida na wa pili tena.Swali je wewe ukiona nyumba ya jirani yako inaungua moto na una ndoo ya maji utaacha kuchukua maji kuzima moto kama una uwezo kisa hadi wazima moto wenyewe waje?.
Mfano hiyo namba mbili ndio umechemsha kabisa suala la mtu na mkewe mumewe kumruhusu wewe linakuhusu nini.Pilipili iko shambani wewe mdomo wako unawasha nini.
Nahisi utakuwa ni moja ya watu waliokosa ajira tafuta shughuli za kufanya ziko nyingi sana hata kama ni graduate fungua kijiwe piga viatu rangi.Jamaa mmoja Arusha kamaliza shahada ya sheria anang'arisha viatu amekuwa tajiri kiasi kwamba hataki hata kusikia neno kuajiriwa changamka dogo
Sawa,Ila muda Ni Mwalimu mzuri
 
1.kuna vijana wengi sana wamemaliza vyuo mtaani, wamepeleka barua za kujitolea pale Amana, wamenyiwa hiyo nafasi,inakuwaje mtu from no where asie na kazi Wala taaluma husika akaomba nafasi ya kujitolea na akapewa?

2.Huyu binti ana Mume,na watoto (family) how comes Mwanaume amruhusu Mkewe akiwa anajua Hana taaluma husika, akajitolee sehemu?

Note: najua watu wengi, mmepongeza Sana,Ila wasiwasi wangu upo palepale!

Kuna Jambo kubwa nyuma ya pazia linaloendelea.
Kuwa jobless na ulisoma kusikufanyee uwe na hasiraa na rohoo mbayaa mkuu...!!
 
Hata mimi nimeshangaa sana. Yaani hospitali kubwa kama Amana, inakosa vifaa vya kisasa vya kuwaongezea joto watoto wetu wanaozaliwa kabla ya muda! kiasi cha kusababisha huyo dada kuiacha familia yake nyumbani, na kwenda kujitolea kufanya hiyo kazi hapo hospitali?

Serikali inajisikiaje kuona inamiliki magari lukuki ya kifahari na yenye thamani ya mamilioni ya shilingi kwa maofisa wake, huku ikishindwa kununua vifaa vya kuwasaidia joto watoto njiti? Halafu bado kuna watu wanampongeza eti Rais kwa kutoa milioni 2 kwa huyo binti!!! Hii nchi tunatakiwa kuwa serious aisee.
Ulaya pia wanafanyaa sasa sijui utasemaje..!
 
1.kuna vijana wengi sana wamemaliza vyuo mtaani, wamepeleka barua za kujitolea pale Amana, wamenyiwa hiyo nafasi,inakuwaje mtu from no where asie na kazi Wala taaluma husika akaomba nafasi ya kujitolea na akapewa?

2.Huyu binti ana Mume,na watoto (family) how comes Mwanaume amruhusu Mkewe akiwa anajua Hana taaluma husika, akajitolee sehemu?

Note: najua watu wengi, mmepongeza Sana,Ila wasiwasi wangu upo palepale!

Kuna Jambo kubwa nyuma ya pazia linaloendelea.
kaka linapokuja suala la kuonesha ulicho nacho haijalishi ni wangapi walipita hapo.
alisha sema alikua na rafiki yake means alimsaidia akaona matokeo ndo maana kaona aende hapo hospital kabisa. sasa unapeleka barua ukajitolee upate hela wakati mwenzio anafanya bure from the heart
 
Hata mimi nimeshangaa sana. Yaani hospitali kubwa kama Amana, inakosa vifaa vya kisasa vya kuwaongezea joto watoto wetu wanaozaliwa kabla ya muda! kiasi cha kusababisha huyo dada kuiacha familia yake nyumbani, na kwenda kujitolea kufanya hiyo kazi hapo hospitali?

Serikali inajisikiaje kuona inamiliki magari lukuki ya kifahari na yenye thamani ya mamilioni ya shilingi kwa maofisa wake, huku ikishindwa kununua vifaa vya kuwasaidia joto watoto njiti? Halafu bado kuna watu wanampongeza eti Rais kwa kutoa milioni 2 kwa huyo binti!!! Hii nchi tunatakiwa kuwa serious aisee.
mkuu kuna kitu kinaitwa asili au natural.
msitu wa asili hauwezi fanana na msitu wa kupandwa.
 
1.kuna vijana wengi sana wamemaliza vyuo mtaani, wamepeleka barua za kujitolea pale Amana, wamenyiwa hiyo nafasi,inakuwaje mtu from no where asie na kazi Wala taaluma husika akaomba nafasi ya kujitolea na akapewa?

2.Huyu binti ana Mume,na watoto (family) how comes Mwanaume amruhusu Mkewe akiwa anajua Hana taaluma husika, akajitolee sehemu?

Note: najua watu wengi, mmepongeza Sana,Ila wasiwasi wangu upo palepale!

Kuna Jambo kubwa nyuma ya pazia linaloendelea.


Watanzania jamani! Eti kuna jambo kubwa nyuma ya Pazia! Nchi nzima mashushushu uchwara. [emoji1787]

1) Hao vijana wanaujuzi kiasi gani wa kujifungua na kulea watoto! Wameingia maternity ward mara ngapi?

2) Mume amruhusu mkewe?? Upo dunia gani??

3) Unafahamu maana halisi ya KANGAROO MOTHER CARE (KMC) na unadhani ni vijana wangapi wa kike wa sasa wasiokua na watoto wala ujuzi wa kulea wanaweza kuifanya hiyo KMC kwa asilimia 120??

Wauguzi na wakunga wenyewe wanagoma kufanya hiyo KMC itakua hao vijana wasaka furaha!

Tujifunze utu!
IMG_6223.jpg
 
1.kuna vijana wengi sana wamemaliza vyuo mtaani, wamepeleka barua za kujitolea pale Amana, wamenyiwa hiyo nafasi,inakuwaje mtu from no where asie na kazi Wala taaluma husika akaomba nafasi ya kujitolea na akapewa?

2.Huyu binti ana Mume,na watoto (family) how comes Mwanaume amruhusu Mkewe akiwa anajua Hana taaluma husika, akajitolee sehemu?

Note: najua watu wengi, mmepongeza Sana,Ila wasiwasi wangu upo palepale!

Kuna Jambo kubwa nyuma ya pazia linaloendelea.
Acha ujuaji wewe hio KMC sio vyeti wala ujuzi na kila mama anafanya kwa wanae na huyo dada anawasaidia wale ambao wametelekezwa au hawana mama (maternal death)
 
Mimi sijakataa. Ila ninatamani kuona vifaa vya kisasa vya kuwasaidia watoto wa aina hiyo, vikiwepo katika hospitali zetu. Ili hata likitokea jambo kama hilo likafanywa na mzazi/ndugu, basi lisiwe ndiyo habari ya kushangaza kiasi cha Rais wa nchi kuguswa.
Vifaa vipo (incubators ) ila mnazaliana sana
Shenz
 
Hata mimi nimeshangaa sana. Yaani hospitali kubwa kama Amana, inakosa vifaa vya kisasa vya kuwaongezea joto watoto wetu wanaozaliwa kabla ya muda! kiasi cha kusababisha huyo dada kuiacha familia yake nyumbani, na kwenda kujitolea kufanya hiyo kazi hapo hospitali?

Serikali inajisikiaje kuona inamiliki magari lukuki ya kifahari na yenye thamani ya mamilioni ya shilingi kwa maofisa wake, huku ikishindwa kununua vifaa vya kuwasaidia joto watoto njiti? Halafu bado kuna watu wanampongeza eti Rais kwa kutoa milioni 2 kwa huyo binti!!! Hii nchi tunatakiwa kuwa serious aisee.


Kuna statement nyingine mtu unasoma unabaki kushangaa Wallaih!

Sasa chief, ni kwamba unajiskia tu kulalama ama Unamaanisha toka moyoni? Huduma anayoitoa huyu dada inahusiana vipi na vifaa vya watoto Njiti kutokuwepo?

Too much negativity will hinder your perceptions and a real taste to life, be careful.
 
Kuna statement nyingine mtu unasoma unabaki kushangaa Wallaih!

Sasa chief, ni kwamba unajiskia tu kulalama ama Unamaanisha toka moyoni? Huduma anayoitoa huyu dada inahusiana vipi na vifaa vya watoto Njiti kutokuwepo?

Too much negativity will hinder your perceptions and a real taste to life, be careful.
Humu kuna maandazi tu kaka
Unakuta mtu anaongea kingereza kiingi mashudu tupu anataka tu achangie
Achana nao
 
Hata mimi nimeshangaa sana. Yaani hospitali kubwa kama Amana, inakosa vifaa vya kisasa vya kuwaongezea joto watoto wetu wanaozaliwa kabla ya muda! kiasi cha kusababisha huyo dada kuiacha familia yake nyumbani, na kwenda kujitolea kufanya hiyo kazi hapo hospitali?

Serikali inajisikiaje kuona inamiliki magari lukuki ya kifahari na yenye thamani ya mamilioni ya shilingi kwa maofisa wake, huku ikishindwa kununua vifaa vya kuwasaidia joto watoto njiti? Halafu bado kuna watu wanampongeza eti Rais kwa kutoa milioni 2 kwa huyo binti!!! Hii nchi tunatakiwa kuwa serious aisee.
Vifaa vipo ila nilisoma Jana mwqnanchi gazeti wanasema akikumbatiwa na binadamu motto anakuwa kwa kasi kwa kuwa anapata joto halisi la binadamu lenye hali ya unyevunyevu (jasho) tofauti na mashine inayotoa joto tu ambapo hats ngozi ya motto haiwi soft kama aliepigwa kangaroo style (binadamu inapunguza muda na gharama ya kukaa hospital kwa kuwa uzito unaostahiki unafikiwa kwa muda mfupi)*
 
Watanzania jamani! Eti kuna jambo kubwa nyuma ya Pazia! Nchi nzima mashushushu uchwara. [emoji1787]

1) Hao vijana wanaujuzi kiasi gani wa kujifungua na kulea watoto! Wameingia maternity ward mara ngapi?

2) Mume amruhusu mkewe?? Upo dunia gani??

3) Unafahamu maana halisi ya KANGAROO MOTHER CARE (KMC) na unadhani ni vijana wangapi wa kike wa sasa wasiokua na watoto wala ujuzi wa kulea wanaweza kuifanya hiyo KMC kwa asilimia 120??

Wauguzi na wakunga wenyewe wanagoma kufanya hiyo KMC itakua hao vijana wasaka furaha!

Tujifunze utu! View attachment 2694047
Watu kila kitu wanatanguliza vyeti wanasahau huduma zingine ninaongozwa kwa misingi ya binadamu ili kuwarahisishia kazi watoa Huduma ya afya kufanya kazi, jamaa hata haelewi kwamba KMC inapaswa kufanywa na mama wa mtoto na sio Mtaalam wa afya ila kwa kuwa no dharula huyo dada amejitolea (still watu wana nongwa)
 
Back
Top Bottom