Mwanamke anayeomba pesa kwa mmewe mara kwa mara ni tapeli

Mwanamke anayeomba pesa kwa mmewe mara kwa mara ni tapeli

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Wanaume wengi wana date na matapeli wakidhani ni wake au wachumba aidha kwasababu ya uzuri wao ama lah

Wanawake hao wanakuwa wakiendekeza pesa kila wakati ila wanaume hao wanakosa ufahamu wakidhani sifa ya mwanaume ni kugharamikia.

Ukweli ni kuwa pamoja na wanawake hao kupata fedha huwa hawashukuru kutoka moyoni huwa ndani yao wanawaza huyu mshenzi nitamfilisije kwahiyo wanaume hao wanaanguka kabisa kiuchumi pasipo kujijua

Nwanamke anaempenda mme wake au mchumba wake huwa hamsumbui anakuwa akimuheshimu

Sasa wewe mwanaume mwenzangu uliyebahatika kusoma uzi wangu kama mke wako hakusumbui basi umepata ila kama ni muomba hela 24hours tazama nini sababu

Kuna mwanamke anaomba hela kwasababu ya hali yake ngumu ila kuna anaekukera tu ili labda umwache uwe wewe ndiye uliyeshindwa kumhudumia
 
Wanaume wengi wana date na matapeli wakidhani ni wake au wachumba aidha kwasababu ya uzuri wao ama lah

Wanawake hao wanakuwa wakiendekeza pesa kila wakati ila wanaume hao wanakosa ufahamu wakidhani sifa ya mwanaume ni kugharamikia.

Ukweli ni kuwa pamoja na wanawake hao kupata fedha huwa hawashukuru kutoka moyoni huwa ndani yao wanawaza huyu mshenzi nitamfilisije kwahiyo wanaume hao wanaanguka kabisa kiuchumi pasipo kujijua

Nwanamke anaempenda mme wake au mchumba wake huwa hamsumbui anakuwa akimuheshimu
Sasa wewe mwanaume mwenzangu uliyebahatika kusoma uzi wangu endelea kugeuza kisogo na huyo tapeli wako mwisho utauza mpaka boksa yako
Sasa asipokuomba wewe akamuombe nani?

Usione vyaelea kijana ,vimeundwa ohoooooo.

Tafuta helaaaaa
 
Wanaume wengi wana date na matapeli wakidhani ni wake au wachumba aidha kwasababu ya uzuri wao ama lah

Wanawake hao wanakuwa wakiendekeza pesa kila wakati ila wanaume hao wanakosa ufahamu wakidhani sifa ya mwanaume ni kugharamikia.

Ukweli ni kuwa pamoja na wanawake hao kupata fedha huwa hawashukuru kutoka moyoni huwa ndani yao wanawaza huyu mshenzi nitamfilisije kwahiyo wanaume hao wanaanguka kabisa kiuchumi pasipo kujijua

Nwanamke anaempenda mme wake au mchumba wake huwa hamsumbui anakuwa akimuheshimu
Sasa wewe mwanaume mwenzangu uliyebahatika kusoma uzi wangu endelea kugeuza kisogo na huyo tapeli wako mwisho utauza mpaka boksa yako
Sasa wee kizibo!.... Mwanamke asipokuomba pesa wewe mme wake... akamuombe nani!?....

Wajibika kwa majukumu yanayokuhusu... ikiwemo hilo... ni haki yake stahiki!....

Ndio nyie mnaochapiwa... mnakuja kulalamika humu na kuomba USHAURI... wakati ulikwepa kuwajibika kwa mambo madogo..

Anampata anaemtimizia vyote.
 
Changamoto yenu mnaoa vibinti au kuwa na girlfriends watoto.Hapo lazima uombwe mapesa hadi uimbe hallelujah!Kwa sababu,kwa asili watoto wakiwaona watu wazima wanapita karibu yao,jambo kuu linalowaijia vichwani mwao ni kuomba hela...."shikamoo,naomba shing kumi"...!
 
Sasa mtoa mada mkeo usipomhudumia wewe unataka ahudumiwe na nani, ninyi si ndio huwa mnasema mwanamke hatakiwi kushindana na mwanaume maana hawezi kuwa sawa na mwanaume hata siku moja, sasa mbona kwenye pesa huwa mnataka usawa kwamba kwa sababu mwanaume anatafuta basi na mwanamke naye atafute msaidiane maisha hapo mnajitofautishaje sasa na wanawake
 
Sasa mtoa mada mkeo usipomhudumia wewe unataka ahudumiwe na nani, ninyi si ndio huwa mnasema mwanamke hatakiwi kushindana na mwanaume maana hawezi kuwa sawa na mwanaume hata siku moja, sasa mbona kwenye pesa huwa mnataka usawa kwamba kwa sababu mwanaume anatafuta basi na mwanamke naye atafute msaidiane maisha hapo mnajitofautishaje sasa na wanawake
Mkuu kichwa cha habari kilisema mara kwa mara. Mama yangu tangu nazaliwa sikumuona akiomba pesa mara kwa mara bali kuna utaratibu
 
Nilitaka niandike "nonsense 🚮🚮" Ila basi nimeghairi 😌😌😎
 
Sasa asipokuomba wewe akamuombe nani?

Usione vyaelea kijana ,vimeundwa ohoooooo.

Tafuta helaaaaa
Vimeundwa na nani, majizi tu ninyi, na ndo mana siku hizi tunawapa elfu 10-15 mkafie mbali, ili kukidhi mahitaji mnajikuta mnalala na wanaume watatu -wa4 kwa siku, nyambafu nyie
 
Rafiki yangu jana bank wamekuja kuchukua nyumba kumbe alikopa na mke wake, mke kaona hela imeisha kakimbia, mme kabaki na msala🤣
Haya maumivu yasikie tuu kwa mtu yasikukute , huwa nawaasa Sana vijana , wajitahd kuoa mwanamke anayekupenda , Hz tamaa za kuoa tako na umbo lazima yawatokee puani tuu, mke ni Zaid ya demu , demu unaweza honga ukapiga na kusepa , ukiwa na hamu nae tena hvyo hvyo Ila mke daah inahtaji mahesabu Makali san
 
Ungetulia dawa ikaingia, muheshimu mme wako ila usimtese kwa kuomba hela 24hours
Hivi unajua ukiomba hela sana n mme wako anaitikia tu mara nyingi akikaa mwenyewe anawezakuwa analia, asee nyie kiboko, kwahyo mmeamua kutumaliza sio
 
Back
Top Bottom