Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na jina hilo sijui kama kaz utaiwezantakuchapa na fimbo laini ww katoti
Haya ni majibu ya kidemu.huwaga siyapend kabisa.ko kama hajalalamika sis tusiseme au baya ni baya tu hats ulipambejeMkuu waache na maisha yao. Kama haikuathiri wewe kama wewe waachie tu maisha yao. Ikiwa mume hajalalamika we jipigie kimya tu.
Kuna milion formulas za maisha na zote ziko unique, kila mtu afate inayompendeza maisha yatakuwa na maana sana.
Kwa kuwa hukumchangia mshkaji mahari kumuoa huyo mama, kwa kuwa akirudi saa 6 usiku anamgongea mumewe na sio wewe na kwa kuwa akiongea na hao wanaume wengine anatumia simu yake si yako na pia hata huko namnani alienda kwa nauli yake na alipeleka mwili wake hakukuomba ukamsaidie mi nadhani wewe komaa na kazi yako ya muda iliyokupeleka Dar ukimaliza baada ya mwaka jirudie zako ulikotoka tu umuwahi mamsap ambae haongei na wanaume wengine mkuu
Haya yakiwa majibu ya kidemu alafu wanaondika ko badala ya kwahiyo utawaitaje?Haya ni majibu ya kidemu.huwaga siyapend kabisa.ko kama hajalalamika sis tusiseme au baya ni baya tu hats ulipambeje
Amesema yeye anaroho nzito sana.Mi nadhani huo mtandio tu ndo unakupa hasira.
Haya mengine ni kutafuta huruma zetu na hupati ng'o.
Maneno tu hayo. 🤣Amesema yeye anaroho nzito sana.
Mtoa mada : binafsi siwezi kumuomba utamu.Maneno tu hayo. 🤣
Hapo sijamuelewa.Mtoa mada : binafsi siwezi kumuomba utamu.
Halafu ukinipa sisemi.Hapo sijamuelewa.
Dizain flani anasema akipewa hawezi kataa ila kuomba hataomba abadan!
Mchovya hachovyi Mara Moja baby wake mie.Halafu ukinipa sisemi.