Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlhamduliLlah, mie mzima kabisa.
Thanks and you too.Kila la Kheri Faiza
Bikra ,uwezo wa kutunza familia na kukusikiliza ,,combination ngumu sanaKwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape [emoji1371] Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
We unayo ?Kwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
Duu bi faiza na wewe unanisoma?Kamsomeni huyo anayejiita Corazon Espinado ana kisa kizuri, sema kakijaza ngono kama hana akili vizuri. Maana anaeaelezea wanawake wa Dar wasii na adabu kwa ukweli fulani hivi.
Wewe kijana punguza ngono humo, kisa chako kitapendeza.
Simulizi: Umalaya na Ukahaba wa Kishua
Episode 1: Introduction. Hii episode ya mwanzo itakua zaidi ni utangulizi (introduction) ya kujua watu na maana ya maneno yalivyotumika. Tutajitahidi ziwe ni posts fupi fupi ili isiwe tabu kwa wasomaji. Hivi ni visa vinavyotokana na matukio ya ukweli kwa kiwango kikubwa. Tutatiriririka navyo...www.jamiiforums.com
Mshahara sh ngapi Kwa mwezi?😀
Hapo sawa maana vigezo ni kama unatoa ajira 😀😀Nusu milioni kwendelea
Hapo sawa maana vigezo ni kama unatoa ajira 😀😀
Komaa na to yeye, akikubali umepata mke kakaMimi ni muafrika Mkuu
Ngoja nisome Tena sikumaliza yote 🤣Umetimiza walau hiyo 75% tujue tunafanyaje?
Mke ni zaidi ya Ajira
. ukimaliza nijuze.Ngoja nisome Tena sikumaliza yote 🤣