Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
YaanShoo uzi wetu umefungiwa 😂😂😂
Sijui itakuwaje jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YaanShoo uzi wetu umefungiwa 😂😂😂
Sijui itakuwaje jamani
Wameniudhi 🥺Yaan
Mahausi geli wengi wanazo hizo sifa kasoro namba 3Kwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
Wanataka tuwe serious tuWameniudhi 🥺
Sasa mbona sura zitazeeka wenzao 😂😂Wanataka tuwe serious tu
🤣🤣ndo ivoUnataka mkimya ili umkalie sio😜
Nasikia wanyakyusa kwenye hilo hamjambo😂🤣🤣ndo ivo
Hapana,tumeelimikaNasikia wanyakyusa kwenye hilo hamjambo😂
Duh umeandikiwa au imejipost?Nimekwama hapo no 4,kwenye kipengele (ii)...
Kipengele number Moja Kuna virgin pills nitatumia
.nadhani nimescore A plus...nije PM?
Mimi mbona nimescore 20 tu? Jamani 😅😅Nimekwama hapo no 4,kwenye kipengele (ii)...
Kipengele number Moja Kuna virgin pills nitatumia
.nadhani nimescore A plus...nije PM?
Lamomy hawezi kukusikiliza na kukutii. Usijaribu kumsogelea
Lamomy hawezi kukusikiliza na kukutii. Usijaribu kumsogelea
Mimi mbona nimescore 20 tu? Jamani 😅😅
1(i)
4(ii)
Umejizingusha Sana mkuuKwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
Umejizingusha Sana mkuu
Wambie tu kigezo ni bikra
Kamsomeni huyo anayejiita Corazon Espinado ana kisa kizuri, sema kakijaza ngono kama hana akili vizuri. Maana anaeaelezea wanawake wa Dar wasii na adabu kwa ukweli fulani hivi.
Wewe kijana punguza ngono humo, kisa chako kitapendeza.
AlhamduliLlah, mie mzima kabisa.Miss JF, Mrembo na malkia wa JF wa mwaka 2023 hujambo?