Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu

Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu

Watu washaambiwa kijiwe nongwa lkn bado hawaelewi 🤣🤣🤣🤣
January ya uchungu sana
Yaani Mtu anashindwa hata kutofautisha andiko rasmi na andiko la kuchangamsha genge aaaahhh jamani
 
Lamomy hawezi kukusikiliza na kukutii. Usijaribu kumsogelea
Vipi boss kwema??
Km ana pesa nyingi nitajitahidi kumsikiliza hata mwaka mmoja..!!! 😜
Si ntakuwa Nimejitahidi hapo???
 
Kwani kitambi ugonjwa?? Unaweza ukawa huna kitambi na usiwe na maajabu 😂😂😂
Bora usiwe na maajabu na kitambi huna utampa fursa mchakataji akukunje kunje kama samaki mbichi....eb vuta picha mdada mfupi ana kitambi unampiga doggy style🤣nyie
 
Bora usiwe na maajabu na kitambi huna utampa fursa mchakataji akukunje kunje kama samaki mbichi....eb vuta picha mdada mfupi ana kitambi unampiga doggy style🤣nyie
Kikubwa mfike mnakoenda, hizo zingine mbwembwe tyuu!! 😂
 
Hivi humu JF kuna Mke wa kuoa humu kweli au ndio kujitafutia maajabu wakuonyeshe Dunia jinsi ilivyo, maana humu hata hio 50 kwa hivyo hakuna anaefikisha kwanza tu Bikra -ve tena unaweza kukuta zote hana, ukija upande wa dini na kujua Mungu -ve humu wengi Bata na kupenda kujirusha ukija upande wa Misosi -ve wengi kupika hawajui ukija huo upande wa mnyanduano -ve wengi hawana maudambwiudambwa magogo ya Mwembe uliosahauliwa ukija upande wa shape chura -ve ukija urembo uzuri rangi -ve yaan hapo anajikuta ametoka na 10 au -10
 
Watu bado stress za ada hazijaisha kichwani 🤣🤣🤣
Aaah kujiendekeza tu wengine watoto wanasoma shule za mama Samia ila na wao wanamakasiriko...ya Nini sasa😁😁😁
 
Back
Top Bottom