Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu

Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu

Na ww ukitaka mume weka kigezo kimoja 😂😂😂ambae hajawahi piga nyetroo uone kama hujazeekea kwenu
Yy mtibeli ana vigezo gani kwanza??
Sitaki mwanaume mvivu mimi, ikifika muda wa show time, show bizzy anaanza kusingizia ana shipa la ngiri limemkamata 🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂 Mi ndo naingia ss hivi hapa, nilikuwa kwenye mishe zangu si unajua pesa ngumu..!!!
Nimemkumbuka mpk papaa aliyetaka anioe nikamkataa sababu anajichubua 🤣🤣🤣
Mfate saiv kafungua transporter yake inapeleka mizigo tunduma & congo😂😂😂
 
Yy mtibeli ana vigezo gani kwanza??
Sitaki mwanaume mvivu mimi, ikifika muda wa show time, show bizzy anaanza kusingizia ana shipa la ngiri limemkamata 🤣🤣🤣🤣
Nje ya kitanda maneno mengi ukipelekwa kitandan ukilambwa shingo unaanguka mwenyw 😂😂finger mbili unahema tu hata jina lako hukumbuki
 
Papaa ana mpunga mrefu ila kanishinda kwenye vichubuzi 😂😂😂
Sema wacongo ni kama lifestyle lao wakishazishika tu faranga mara tattoos, Rasta na mademu....tena hawa wanaofata mizigo dar lazima wakifika humu watafute
 
Sema wacongo ni kama lifestyle lao wakishazishika tu faranga mara tattoos, Rasta na mademu....tena hawa wanaofata mizigo dar lazima wakifika humu watafute
Huyo ana mgodi wa Almasi sema vikopo vya carolight sio shida zake 😂😂😂
 
Kwema wakuu!

Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.

1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%

2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%

3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%

4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%

5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.

Karibuni Kijiwe nongwa
Yupo FaizaFoxy kwenye mtihani wako anapata 200% ana sifa zote za wale mabikira 72 wa peponi
 
Kwema wakuu!

Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.

1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%

2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%

3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%

4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%

5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.

Karibuni Kijiwe nongwa


What do u have to offer? Value is negotiated by value!!!!
 
Back
Top Bottom