min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Unataka mkimya ili umkalie sio😜🤣anaongea huyoo🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka mkimya ili umkalie sio😜🤣anaongea huyoo🙄
😂😂😂😂 Mi ndo naingia ss hivi hapa, nilikuwa kwenye mishe zangu si unajua pesa ngumu..!!!Jua limewaka Hela hamna naojaribu kuwachatisha hawanijibu....njoo sogea sogea huku bas
Yy mtibeli ana vigezo gani kwanza??Na ww ukitaka mume weka kigezo kimoja 😂😂😂ambae hajawahi piga nyetroo uone kama hujazeekea kwenu
Mfate saiv kafungua transporter yake inapeleka mizigo tunduma & congo😂😂😂😂😂😂😂 Mi ndo naingia ss hivi hapa, nilikuwa kwenye mishe zangu si unajua pesa ngumu..!!!
Nimemkumbuka mpk papaa aliyetaka anioe nikamkataa sababu anajichubua 🤣🤣🤣
Nje ya kitanda maneno mengi ukipelekwa kitandan ukilambwa shingo unaanguka mwenyw 😂😂finger mbili unahema tu hata jina lako hukumbukiYy mtibeli ana vigezo gani kwanza??
Sitaki mwanaume mvivu mimi, ikifika muda wa show time, show bizzy anaanza kusingizia ana shipa la ngiri limemkamata 🤣🤣🤣🤣
Papaa ana mpunga mrefu ila kanishinda kwenye vichubuzi 😂😂😂Mfate saiv kafungua transporter yake inapeleka mizigo tunduma & congo😂😂😂
Nimekumbuka leo ijumaa, tuache hizi mambo!Nje ya kitanda maneno mengi ukipelekwa kitandan ukilambwa shingo unaanguka mwenyw 😂😂finger mbili unahema tu hata jina lako hukumbuki
Sema wacongo ni kama lifestyle lao wakishazishika tu faranga mara tattoos, Rasta na mademu....tena hawa wanaofata mizigo dar lazima wakifika humu watafutePapaa ana mpunga mrefu ila kanishinda kwenye vichubuzi 😂😂😂
Kwel aiseee tusije tukakosa ile mito ya 🍺🍺🍺🍺ulanziNimekumbuka leo ijumaa, tuache hizi mambo!
Tumswalie mtume sheikh wangu 😂😂😂
Shoo uzi wetu umefungiwa 😂😂😂Hapo ni wanawake 10 tofauti
Watu washaambiwa kijiwe nongwa lkn bado hawaelewi 🤣🤣🤣🤣Dah,mshikaji punguza makasiriko....we unadhani anatafuta mke kweli?.
Huyo ana mgodi wa Almasi sema vikopo vya carolight sio shida zake 😂😂😂Sema wacongo ni kama lifestyle lao wakishazishika tu faranga mara tattoos, Rasta na mademu....tena hawa wanaofata mizigo dar lazima wakifika humu watafute
Na mabk saba 😂😂😂Kwel aiseee tusije tukakosa ile mito ya 🍺🍺🍺🍺ulanzi
Leo naswalia hapa masjid makonde siwezi kosa barkaNa mabk saba 😂😂😂
Mnajazwa vibaya nyie
Yupo FaizaFoxy kwenye mtihani wako anapata 200% ana sifa zote za wale mabikira 72 wa peponiKwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
Takbiri sheikh wangu, barka muhimu sanaLeo naswalia hapa masjid makonde siwezi kosa barka
Kwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
Usiniite sheikh wangu....niite sheikh MnyaluTakbiri sheikh wangu, barka muhimu sana
Usingewezana.....huna miuno ya bakanja😂Huyo ana mgodi wa Almasi sema vikopo vya carolight sio shida zake 😂😂😂
What do u have to offer? Value is negotiated by value!!!!