Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu

Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu

Kwamba awe mzur ana tabia nzur anaweza lea watoto alafu hajaolewa? Wew umpate mtandaon. Broo unatumia ubongo tulonao binadam wa kawaid?
Kwa hiyo hakuna mzuri mwenye tabia nzuri anayeweza kulea watoto halafu hajaolewa?
 
Kwema wakuu!

Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.

1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%

2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%

3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%

4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%

5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.

Karibuni Kijiwe nongwa
Kweli hicho kijiwe nongwa,acha ukutane na wenye nongwa wenyewe, mtaelewana tu.Hadii waseeemee😁
 
Hakuna mwanamke Yuko interested na ulichoandika anaangalia kama una Hela huna za kumtunza kafie mbele huko na vigezo vyako
Jamaa anajionaga special sana humu JF na biashara yake iliyobuma ya kuuza vitabu vya hadithi za uongo. Ngoja nimuulize binti Kimoso kama ana hizo sifa. Alafu uache kumuweka mtandaoni kila siku usije Anza jiliza na wewe.
 
Jana umesema haujajipata kimaisha, halafu leo unaandika gazeti lenye vigezo vya mwanamke umtakaye.

Iwapo wewe hujajiandaa kuwa mume, ni kwanini unaweka vigezo na masharti ya mwanamke umtakaye?

Kama hauko tayari kuwa baba, kwanini utake mwanamke aliye tayari kuwa mama?
 
Jamaa anajionaga special sana humu JF na biashara yake iliyobuma ya kuuza vitabu vya hadithi za uongo. Ngoja nimuulize binti Kimoso kama ana hizo sifa. Alafu uache kumuweka mtandaoni kila siku usije Anza jiliza na wewe.
Dah,mshikaji punguza makasiriko....we unadhani anatafuta mke kweli?.
 
Jamaa anajionaga special sana humu JF na biashara yake iliyobuma ya kuuza vitabu vya hadithi za uongo. Ngoja nimuulize binti Kimoso kama ana hizo sifa. Alafu uache kumuweka mtandaoni kila siku usije Anza jiliza na wewe.

Wewe wa kwako uliyemficha chumbani na bado wahuni wanabokoa kisa humridhishi kitandani Na bado unashindwa kumuacha kwa sababu unajua huna uwezo wa kupata Mwanamke mwingine. Huyo mganga aliyekuambia kutokumpost mkeo ndio hatamegwa na hutolia mbona wakwako Watu wanajipigia?
 
Nimekwama hapo no 4,kwenye kipengele (ii)...

Kipengele number Moja Kuna virgin pills nitatumia

.nadhani nimescore A plus...nije PM?

Virgin sio lazima mrembo. Ukiikosa bado unauwezo wa kufikisha 75.

Njoo pm Mkuu.
 
Kwema wakuu!

Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.

1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%

2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%

3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%

4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%

5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.

Karibuni Kijiwe nongwa
Tangu ulipoandika eti kama ukimfikisha mwanamke kileleni utamtawala ipasavyo ndipo niliacha kusoma mada zako zinazohusu mahusiano!!!!

psychologist waliacha kumtumia Binadam kama case study coz ni dynamic sana,Kila siku ana demand vitu vipya vipya na anaigiza tabia ili apate kitu fulani!

undefined kabisa homo sapiens!!
 
Dah,mshikaji punguza makasiriko....we unadhani anatafuta mke kweli?.

Huyu ni mwehu Kiungopunda anavyojiona ni duni na jinsi wanawake wanavyompeleka mpaka ameathirika kisaikolojia na hawaamini tena anafikiria kila mwanaume ni kama yeye.
Hawa ndio wale tunaowaambia watafute pesa ili wabusti self-esteem Yao.
Bila pesa wanajiona sio lolote sio chochote na hutambulika kama Wanyonge tuu.

Sisi Watibeli hata bila pesa bado tupo juu na tuko na heshima popote tutakapokuwa
 
Tangu ulipoandika eti kama ukimfikisha mwanamke kileleni utamtawala ipasavyo ndipo niliacha kusoma mada zako zinazohusu mahusiano!!!!

psychologist waliacha kumtumia Binadam kama case study coz ni dynamic sana,Kila siku ana demand vitu vipya vipya na anaigiza tabia ili apate kitu fulani!

undefined kabisa homo sapiens!!

Mwanamke anayeitwa mkeo au mpenzi wako kama humkojozi wewe kwake sio lolote wala chochote. Huwezi mtawala.

Waulize wenyewe kama wewe unashindwa kujiongeza
 
Back
Top Bottom