Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Ok sawa. Username yako ilinichanganya nikadhani wewe ni mama.Mimi ni baba yako wa kambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok sawa. Username yako ilinichanganya nikadhani wewe ni mama.Mimi ni baba yako wa kambo.
Kwa hiyo hakuna mzuri mwenye tabia nzuri anayeweza kulea watoto halafu hajaolewa?Kwamba awe mzur ana tabia nzur anaweza lea watoto alafu hajaolewa? Wew umpate mtandaon. Broo unatumia ubongo tulonao binadam wa kawaid?
Kwa hiyo kutiwa kabla ya kuolewa ni tabia njema?Bikra inakuaje kipimo cha tabia njema?
Sijaelewa
Kweli hicho kijiwe nongwa,acha ukutane na wenye nongwa wenyewe, mtaelewana tu.Hadii waseeemee😁Kwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
Wapo ila huwez mpatia mtandaoniKwa hiyo hakuna mzuri mwenye tabia nzuri anayeweza kulea watoto halafu hajaolewa?
Kwanini usimpatie mtandaoni? Huwa hawatumii mitandao?Wapo ila huwez mpatia mtandaoni
Jamaa anajionaga special sana humu JF na biashara yake iliyobuma ya kuuza vitabu vya hadithi za uongo. Ngoja nimuulize binti Kimoso kama ana hizo sifa. Alafu uache kumuweka mtandaoni kila siku usije Anza jiliza na wewe.Hakuna mwanamke Yuko interested na ulichoandika anaangalia kama una Hela huna za kumtunza kafie mbele huko na vigezo vyako
Dah,mshikaji punguza makasiriko....we unadhani anatafuta mke kweli?.Jamaa anajionaga special sana humu JF na biashara yake iliyobuma ya kuuza vitabu vya hadithi za uongo. Ngoja nimuulize binti Kimoso kama ana hizo sifa. Alafu uache kumuweka mtandaoni kila siku usije Anza jiliza na wewe.
Nina diploma ya elimu ila ya kumhandle huyu Kijana Robert Heriel Mtibeli sina kwa kweliKina To yeye kazi kwenu[emoji56]
Kwani kijana ana shida gan😁Nina diploma ya elimu ila ya kumhandle huyu Kijana Robert Heriel Mtibeli sina kwa kweli
Nina diploma ya elimu ila ya kumhandle huyu Kijana Robert Heriel Mtibeli sina kwa kweli
Jamaa anajionaga special sana humu JF na biashara yake iliyobuma ya kuuza vitabu vya hadithi za uongo. Ngoja nimuulize binti Kimoso kama ana hizo sifa. Alafu uache kumuweka mtandaoni kila siku usije Anza jiliza na wewe.
Nimekwama hapo no 4,kwenye kipengele (ii)...
Kipengele number Moja Kuna virgin pills nitatumia
.nadhani nimescore A plus...nije PM?
Tangu ulipoandika eti kama ukimfikisha mwanamke kileleni utamtawala ipasavyo ndipo niliacha kusoma mada zako zinazohusu mahusiano!!!!Kwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
Dah,mshikaji punguza makasiriko....we unadhani anatafuta mke kweli?.
Tangu ulipoandika eti kama ukimfikisha mwanamke kileleni utamtawala ipasavyo ndipo niliacha kusoma mada zako zinazohusu mahusiano!!!!
psychologist waliacha kumtumia Binadam kama case study coz ni dynamic sana,Kila siku ana demand vitu vipya vipya na anaigiza tabia ili apate kitu fulani!
undefined kabisa homo sapiens!!