Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu

Mwanamke atakayepata Marks kuanzia 75% anaweza kuwa Mke wangu

Jana umesema haujajipata kimaisha, halafu leo unaandika gazeti lenye vigezo vya mwanamke umtakaye.

Iwapo wewe hujajiandaa kuwa mume, ni kwanini unaweka vigezo na masharti ya mwanamke umtakaye?

Kama hauko tayari kuwa baba, kwanini utake mwanamke aliye tayari kuwa mama?

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Soma kwa ufahamu Mkuu.
Kipi kigumu kuelewa
 
Huyu ni mwehu Kiungopunda anavyojiona ni duni na jinsi wanawake wanavyompeleka mpaka ameathirika kisaikolojia na hawaamini tena anafikiria kila mwanaume ni kama yeye.
Hawa ndio wale tunaowaambia watafute pesa ili wabusti self-esteem Yao.
Bila pesa wanajiona sio lolote sio chochote na hutambulika kama Wanyonge tuu.

Sisi Watibeli hata bila pesa bado tupo juu na tuko na heshima popote tutakapokuwa
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒJF bwana watu wanapanik sana
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒJF bwana watu wanapanik sana

Vijana zama hizi watakula vyuma sana kwa sababu zile zama za umungu mtu zinayoyoma. Sio ajabu wanakataa ndoa hapa.

Sasa mtu kutoa maoni na mtazamo wake ati kuna mtu anachukia na kukereka na wengine kufikia hatua kuomba dua mbaya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ uone jinsi Watu walivyo shimoni.

Alafu wao wakiwa hivyo walivyo sisi Watibeli hatuna noma kabisa
 
Kweli hicho kijiwe nongwa,acha ukutane na wenye nongwa wenyewe, mtaelewana tu.Hadii waseeemee๐Ÿ˜

Alafu bora wanawake ndio wawe na mihemko lakini kwa mwanaume kupandisha midadi kizembe haivutii.

Fikiria kuja mwanaume anajisikia vibaya ati akiona wewe ukiishi maisha yako. Sasa huo si uchizi
 
Kwamba awe mzur ana tabia nzur anaweza lea watoto alafu hajaolewa? Wew umpate mtandaon. Broo unatumia ubongo tulonao binadam wa kawaid?

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Watu bhana.
Duniani hakuna lisilowezekana isipokuwa kiumbe kuwa Mungu tuu
 
Hakuna mwanamke Yuko interested na ulichoandika anaangalia kama una Hela huna za kumtunza kafie mbele huko na vigezo vyako
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Aseeee!!!!unaakil sanaaa za kuona mbele ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿค๐Ÿค
 
Weka cheti tuone ulipata ngapi?

Kuna watu wamefaulu kwa maksi za juhudi ya shule na sio akili zao per see. Ukiongea nae huoni hiyo A au B yake !!!

Fikiria tena
 
mfano masha love ndio anafaulu huu mtihani๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
FB_IMG_1706814300044.jpg
 
Nipo hapa baba mkeo mtarajiwa ๐Ÿ˜˜๐Ÿ’‹
Sifa zote ninazo kasoro bikra ya mbele sina ilitoka wakati naendesha baiskeli ๐Ÿ˜œ
 
Marks na mke wapi na wapi ndugu yangu, hakunaga formula kwenye ndoa... Unaweza kuoa na marks zake 75 na ukagongewa na kijana alieishia la 7b tena siku 1 kabla ya ndoa yenu analiwa...
 
Back
Top Bottom