Wakuu
Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.
Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.
Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.
Waumin wa picha vuteni subra
Anaonekana muhuni huyu mleta mada. Mtu unayejiheshimu huwezi kumuita mwanamke demuNeno demu silipendi
Ulimpata wapi sio sababu ya msingi, binti kuwa mwaminifu. Uaminifu n tabia ya mtu. Unaweza mpata kanisan na akawa Malaya.
Imekaa kihuni sanaAnaonekana muhuni huyu mleta mada. Mtu unayejiheshimu huwezi kumuita mwanamke demu
Unataka awe na account wapi?Mke mtarajiwa ana account BADOO? KEKUNDU KEKUNDU.
SNap Chat,Instgram na Facebook basi.Unataka awe na account wapi?
Badoo kuna tatizo gani? VIP jf?SNap Chat,Instgram na Facebook basi.
Ni upendo tuKuna mtu karogwa tayari hapa
Badoo ni mtandao 100% target ni kujiuza au kununua Malaya!! JF mademu wengi wenye milengo ya kisiasa ndio wanaojiunga wachache sana ambao hawana mlengo wa kisiasa.Badoo kuna tatizo gani? VIP jf?
Duuu kwahiyo humu tumejaa wanasiasa π π π ...OK sifahamu sana kuhusu badoo.Badoo ni mtandao 100% target ni kujiuza au kununua Malaya!! JF mademu wengi wenye milengo ya kisiasa ndio wanaojiunga wachache sana ambao hawana mlengo wa kisiasa.
Endelea hivyo hivyo kutoufahamu....Kuna mamen wameweka picha za warembo kisha kuwaibia watu 10 10 za nauli na 20 20 za kusuka.Duuu kwahiyo humu tumejaa wanasiasa π π π ...OK sifahamu sana kuhusu badoo.
π³ π³ π³ π³Endelea hivyo hivyo kutoufahamu....Kuna mamen wameweka picha za warembo kisha kuwaibia watu 10 10 za nauli na 20 20 za kusuka.
Na samaki mkunje angali mbichiKumbuka Kunguru hafugiki
picha inasubiriwa kwa hamuDemu mwenyewe yuko wapi sasa tuone kama atakufaa au la
Unataka awe na account wapi?