Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Huyo wa Juu aliniambia anaishi kigamboni... akasema hawezi kuja hadi nitume nauli nikamuambia aje tu me nitamrejeshea pesa si tatizo kwangu akagoma eti mimi ndio mwenye Shida nikaona wale wale... Pole Sana you have to be very carefully na wanaoomba pesa kwanza... nipe nikupe ndio mwake mwake
Mimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwaiyo mleta mada unataka kusema wale wanaotafuta wapenzi humu waende BADOO?? [emoji28]
 
Mmoja alinambia nikimtumia hela tu atakuja, c nilichanganyikiwa nikamtumia ndovu, Aisee!! Nampigia simu ananiambia yuko hospitali amelazwa, nilichanganyikiwaje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067
Wapigaji ni wengi sana kule.....kama hawatakupiga kwa gea ya kusuka basi watakupiga katika nauli, japo wapo wanaofanya biashara kwa uaminifu.
 
Huyo wa Juu aliniambia anaishi kigamboni... akasema hawezi kuja hadi nitume nauli nikamuambia aje tu me nitamrejeshea pesa si tatizo kwangu akagoma eti mimi ndio mwenye Shida nikamuambia situmagi pesa mimi nikaona wale wale...kwenda.. Pole Sana you have to be very carefully na wanaoomba pesa kwanza... nipe nikupe ndio mwake mwake
Hatari sana kaka.
 
Mimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanaendesha maisha yao kupitia Badoo usifanye mchezo.
 
Back
Top Bottom