Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

waliniwezaaa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna mmoja aliniambia nimtumie pesa ya tax na nichukue chumba kabisa nimwambie aje guest gani na chumba namba ngapi, ile kutuma elfu ishirini tu akani sms kuwa hataweza kuja kwani yupo kwenye siku zake siku ya pili leo!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umechemsha maji ya kunyonyolea kuku wakati hata kuku mwenyewe hujamkamata!!
 
Huyo Naima ndo zake mara anasomeka yupo Zenji mara anachenji location yupo Dar. Itategemea ww uko wapi ili aonekane yupo karibu nawe na aweze kukupiga. Kwangu alichemka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana
Akhsante, pamoja na hayo Badoo bado kuna raha zake
8fa62d03db71a96444541ab6152c7705.jpg
 
Huu mtandao mbona waliojiunga wengi no watu wenye shida kimaisha. Wasio na ajira,wasio na elimu, wenye kazi duni, mademu wengi wanafanya kazi saloon, bar hata zile za kishua lakini njaa ndio imetawala sana bin mizinga type hizo, akina mama was nyumbani wasio na shughuli, Kwa utafiti wangu in mademu choka mbaya hakuna mboga saba huko. Ni kwanini wadau
Hhahahahahh kuna virungu mule ukiwa mroho utawala kila siku...!!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Biashara nyingine hii
6c79015cf77098c526d31446c86ea260.jpg
9f97bed9595e9c5a73cce32c4e9f8ea6.jpg

Eti anafanya kazi Zantel, wakati inaonesha hapo anauza Goti[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom