manyoda
Member
- Dec 16, 2010
- 64
- 23
Just as natural as this....! Kweli nduguUndugu hautafutwi bana!!!
Inatokea naturally bila kufosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just as natural as this....! Kweli nduguUndugu hautafutwi bana!!!
Inatokea naturally bila kufosi
Mwana kaza ukishajibiwa tu ujue ok ng'ang'ana....Just as natural as this....! Kweli ndugu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] me ni meJakitoo, nimepokea pole yak ila kwavile badoo wamezingua inabidi nijufate wewe
We ni ke bana, kama ni me mbona unasomeka ke?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] me ni me
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umechemsha maji ya kunyonyolea kuku wakati hata kuku mwenyewe hujamkamata!!Kuna mmoja aliniambia nimtumie pesa ya tax na nichukue chumba kabisa nimwambie aje guest gani na chumba namba ngapi, ile kutuma elfu ishirini tu akani sms kuwa hataweza kuja kwani yupo kwenye siku zake siku ya pili leo!
Kweli ndio maana mwanafa aliuliza kama ina TV ndani...
Hii jf mkuuWe ni ke bana, kama ni me mbona unasomeka ke?
Kama kweli ni me nakuomba urekebishe kwenye ukurasa wako, utakuja tongozwa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii jf mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama kweli ni me nakuomba urekebishe kwenye ukurasa wako, utakuja tongozwa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akhsante, pamoja na hayo Badoo bado kuna raha zakePole sana
Jioni ya leo na mimi nakwenda kuosha rungu kutokana na 'neema za Badoo' mniombee![]()
Hhahahahahh kuna virungu mule ukiwa mroho utawala kila siku...!!Huu mtandao mbona waliojiunga wengi no watu wenye shida kimaisha. Wasio na ajira,wasio na elimu, wenye kazi duni, mademu wengi wanafanya kazi saloon, bar hata zile za kishua lakini njaa ndio imetawala sana bin mizinga type hizo, akina mama was nyumbani wasio na shughuli, Kwa utafiti wangu in mademu choka mbaya hakuna mboga saba huko. Ni kwanini wadau
Badoo nimeisha osha Rungu sana, Yaani kule usiende bucha kwa bucha. Pitia kwanza Pharmacy bobJioni ya leo na mimi nakwenda kuosha rungu kutokana na 'neema za Badoo' mniombee![]()
Ha ha ha huyo Dada arudishe hela ya watu mkuu me pia ni mdau wa badoo inaonekana hao wa dar wanawasumbua sana huko Dom oya oya tuu watoto wa kirangi na kinyaturu anakuja ghetto mwenyewe na bodaboda inalipiwa akishafikaPale mpemba alipopigwa pesa ndefu na simu ikazimwa![]()