Mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano

Mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano

Huwezi kumfananisha bimkubwa wangu na hawa makahaba wa miaka hii
ungefuta hii paragraph ya mwisho hoja zako zingekuwa nzuri zaidi.
👇👇
"Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke 😅"

kwa sababu huyu mwanamke uliyemzungumzia sijaona sehemu uliyeandika kuwa alikuwa na wanaume wengi, neno Malaya hukutakiwa kuliandika hapa.

Nb: nmependa hoja zako zinauhalisia
 
Bro labda unasura mbaya sana/haujijari/hauna muonekano kama unasura mbaya sana na hauna muonekano basi jitahidi kujijari na kujibrand otherwise utagharamikia sana mbunye...katika maisha yangu mpaka sasaivi ni mtu mzima abv35 sijawahi kuhonga lakini mavitu niliyowahi kuhongwa na mapis yanaweza kujaa nyumba nzima..siri kubwa ni kujijari kimuonekano lakini pia usisahau mwanamke anapenda kupendwa na kusikilizwa ukiwin hivyo vitu mbona hutakaa kulalamikia wanawake. Pia sidate wanawake masikini
Mwandiko Mbovu Mwanamke gani Tajiri apate mda wa ku-date na uchafu km wako? Uandishi wako tu unaoneka njaakali
 
Mkuu sema tu "mwanamke wangu hana mchango wowote kwenye mahusiano yetu".

Hasty generalization is a logical fallacy. Kwakuwa wakwako amekufanyia hivyo basi uki generalize kuwa wote ndio hufanya hivyo basi ujue unakosea sana.

Infact kuna wanaume ambao katika mahusiano wao wanachoweza ku offer ni sex tu. Hiyo ipo wazi, wenyewe wanajiita msingi kiuno, marioo.

Inategemea umekutana na mtu wa aina gani. Kuna wanaume vimeo na wanawake vichomi.

Lakini watu wazuri wapo pia. Stay calm usiwe na papara utamgundua mtu tu mapema.
Jf inareflect kilichopo kwenye jamii

Tembelea jukwaa ka MMU

Halafu niambie nyuzi nyingi za mahusiano ni ni zipi za furaha au malalamiko?

Ndio ujue wanawake vichomi ndio wengi
 
ungefuta hii paragraph ya mwisho hoja zako zingekuwa nzuri zaidi.
👇👇
"Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke 😅"

kwa sababu huyu mwanamke uliyemzungumzia sijaona sehemu uliyeandika kuwa alikuwa na wanaume wengi, neno Malaya hukutakiwa kuliandika hapa.

Nb: nmependa hoja zako zinauhalisia
Haujui maana ya neno Malaya? Au umekaza fuvu?
 
Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.

Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,

Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.

Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,

Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.

Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,

Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.

Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.

Umemuoa na kuwa mke hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,

Mchango wake tena ni uleule uchi!!

Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi?"

Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used 😅
Wazikanapo ndipo watafunanapo
 
Jf inareflect kilichopo kwenye jamii

Tembelea jukwaa ka MMU

Halafu niambie nyuzi nyingi za mahusiano ni ni zipi za furaha au malalamiko?

Ndio ujue wanawake vichomi ndio wengi
JF hai-reflect chochote kwa 100%. Najua hayo mambo yapo ila haimaanishi kila mwanamke yupo hivyo. Haimaanishi pia kwamba sijawahi kupigwa matukio ila najua kuwa wapo wema bado.

Sio wote ni wabaya.

Lakini pia hata wanaume wapo wa hivyo so mimi naona kurusha lawama upande mmoja sio sawa.

That was my argument.

stow away
 
Mimi ninadhani vijana maskini wange-focus zaidi kwenye kujikwamua kiuchumi huku waki-date watu wa level zao wanaowapenda. Pia tujitahidi kutovumilia upuuzi wowote. Ukiona dalili za upigaji kataa mapema. Kama mwanamke hawezi kukaa kwenye mfumo wako jua atakudharau na kukunyanyasa. Don't be a SIMP.
 
It's easy weeds to germinate than wheat.
Hii ya kulalamika imetokea tu kwa binadamu ama hata swala dume ,jogoo analalamika pia kuwa majike hawamsaidii kitu. Hii Ni nature mwanamke ameumbwa kupokea ndio Mana hata umbile lake la uke linapokea uuuume ndani,sperms linaingia yai tunaumbika.
Tokea kuumbwa kwa dunia mwanamke alitoa sex na watoto Kama wanahitajika. Hii iweke kichwani mwako hata kwa kuichomelea na Moto wa umeme wa nyuklia.

Jogoo mabawa na kucha zake Ni kubwa mno kuliko mtetea.

Mwanaume mabega na kifua Ni kipana na mwanamke kiuno Ni kipana pia. Labda kama mnataka mbadlishe.
Kiasilia mwanamke anatakiwa alee watt cheki hata kuku anavyolea vifaranga.
Nimesema kiasilia ama nature Ila unaweza ukaenda against nature na utapata sababu za kukusapotii.
Peleka naseri watt waongee English na walelewe na hausegeli waanze kulishwa uchi wa hausegeli.

Mungu alituweka duniani akasema tuzaliane Sasa wewe pingana na nature labda unaweza ukaumba dunia yako.


Swala dume ana kambi ya majike 30 yeye anatafuta malisho wanakula huku yeye akigonga ke 30. Jogoo Kuna muda unaweza unadhani kuwa Hali ama hapati njaa ,Yuko bize kumlisha jike ili amkule.
Ila Naona hajawahi lalamika
 
Mimi ninadhani vijana maskini wange-focus zaidi kwenye kujikwamua kiuchumi huku waki-date watu wa level zao wanaowapenda. Pia tujitahidi kutovumilia upuuzi wowote. Ukiona dalili za upigaji kataa mapema. Kama mwanamke hawezi kukaa kwenye mfumo wako jua atakudharau na kukunyanyasa. Don't be a SIMP.
Vijana maskini na majobless wanateswa sana na mapenzi kila siku wanaazisha thread za vilio humu jf
 
Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.

Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,

Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.

Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,

Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.

Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,

Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.

Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.

Umemuoa na kuwa mke hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,

Mchango wake tena ni uleule uchi!!

Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi?"

Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used 😅
Una mama na dada? So mama yako kukulea na umekuwa kweli mchango wake ulikuwa ni kuchanua tu kwa mzee wako?
 
Back
Top Bottom