Mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano

Mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano

JF hai-reflect chochote kwa 100%. Najua hayo mambo yapo ila haimaanishi kila mwanamke yupo hivyo. Haimaanishi pia kwamba sijawahi kupigwa matukio ila najua kuwa wapo wema bado.

Sio wote ni wabaya.

Lakini pia hata wanaume wapo wa hivyo so mimi naona kurusha lawama upande mmoja sio sawa.

That was my argument.

stow away
Ukiona jambo linajirudua mara kwa mara hapa jf linalogusa jamii ujue ndio iko hivyo. Mfano mzuri ingia MMU angalia nyuzi za mahusiano za leo asilimia kubwa ni malalamiko na utapeli wa mapenzi.
 
Vijana maskini na majobless wanateswa sana na mapenzi kila siku wanaazisha thread za vilio humu jf
Wasipokubaliana na hali zao watazidi kupigika. Ukitaka kuishi kwa furaha na amani unatakiwa ujue mipaka yako. Kuna msichana anaweza kukupenda kabisa ila sasa lifestyle yake ni ghali balaa unaishia kumkataa tu. Anaweza hata asiwe anakupiga mizinga ila yeye tu anavyoishi unaona kabisa kuna siku utadhalilika kwa kushindwa hata kushea bill.
 
JF hai-reflect chochote kwa 100%. Najua hayo mambo yapo ila haimaanishi kila mwanamke yupo hivyo. Haimaanishi pia kwamba sijawahi kupigwa matukio ila najua kuwa wapo wema bado.

Sio wote ni wabaya.

Lakini pia hata wanaume wapo wa hivyo so mimi naona kurusha lawama upande mmoja sio sawa.

That was my argument.

stow away
Hao Malaya waache km walivyo Jana huku street kuliibuka ugomvi saa 8 usiku kisa chakula mume karudi kakuta hakuna chakula Malaya kagoma kupika na hela ya matumizi alimwachia mbaya zaidi Malaya hayupo anamwambia upo wapi anajibu nyodo nipo sehemu fulani Jamaa ikabidi achukue maamuzi ya kwenda kununua kiepe kuku mpaka anarudi home tena Malaya hayupo anampigia Simu anajibu nyodo ikabidi jamaa amfuate wakiwa njiani ugomvi akataka amfumue wahuni wakaingilia wakampiga Jamaa unaona hapo? Yaan Malaya wako unataka kumtia adabu wahuni wanaingilia ugomvi wamefika home ugomvi mkubwa watoto wanalia sababu ya Mama Malaya, unanielewa sijui?
 
Ni ruksa pia kuwa kama mtume elisha hakuoa...ushauri wangu jitafute acha kuita dada zako malaya jitahidi kumuheshimu mwanamke..wengine tumeinuliwa sana na wanawake maana tuliwaheshimu na kuwathamini
Huyo unayemuheshimu wewe endelea kumheshimu ila wanawake malaya wapo kwenye jamii hatuwezi kuogopa kuwataja
 
Wasipokubaliana na hali zao watazidi kupigika. Ukitaka kuishi kwa furaha na amani unatakiwa ujue mipaka yako. Kuna msichana anaweza kukupenda kabisa ila sasa lifestyle yake ni ghali balaa unaishia kumkataa tu. Anaweza hata asiwe anakupiga mizinga ila yeye tu anavyoishi unaona kabisa kuna siku utadhalilika kwa kushindwa hata kushea bill.
Tatizo vijana wanaendeshwa na nyege wanashindwa kujua mwanamke yupi anakufaa kulingana na hitaji lako...huyohuyo mwanamke anaweza kukutoa kwenye ukapuku either kwa kukusaidia moja kwa moja au hata kwa ushauri au kukusimamia mipango yako vizuri tu.
 
Tatizo vijana wanaendeshwa na nyege wanashindwa kujua mwanamke yupi anakufaa kulingana na hitaji lako...huyohuyo mwanamke anaweza kukutoa kwenye ukapuku either kwa kukusaidia moja kwa moja au hata kwa ushauri au kukusimamia mipango yako vizuri tu.
Hivi we Mbwiga unajua hata unachokiandika au unaandika andika tu?
 
Back
Top Bottom