ungefuta hii paragraph ya mwisho hoja zako zingekuwa nzuri zaidi.Huwezi kumfananisha bimkubwa wangu na hawa makahaba wa miaka hii
Mwandiko Mbovu Mwanamke gani Tajiri apate mda wa ku-date na uchafu km wako? Uandishi wako tu unaoneka njaakaliBro labda unasura mbaya sana/haujijari/hauna muonekano kama unasura mbaya sana na hauna muonekano basi jitahidi kujijari na kujibrand otherwise utagharamikia sana mbunye...katika maisha yangu mpaka sasaivi ni mtu mzima abv35 sijawahi kuhonga lakini mavitu niliyowahi kuhongwa na mapis yanaweza kujaa nyumba nzima..siri kubwa ni kujijari kimuonekano lakini pia usisahau mwanamke anapenda kupendwa na kusikilizwa ukiwin hivyo vitu mbona hutakaa kulalamikia wanawake. Pia sidate wanawake masikini
Wewe huna maisha unachukua mwanamke asie na maisha kinachofata ni kuanzisha thread za kulialia jf...Wengi wao ndio hao kausha damu. Mimi ombaomba kwangu hajawahi kuwa na nafasi
Jf inareflect kilichopo kwenye jamiiMkuu sema tu "mwanamke wangu hana mchango wowote kwenye mahusiano yetu".
Hasty generalization is a logical fallacy. Kwakuwa wakwako amekufanyia hivyo basi uki generalize kuwa wote ndio hufanya hivyo basi ujue unakosea sana.
Infact kuna wanaume ambao katika mahusiano wao wanachoweza ku offer ni sex tu. Hiyo ipo wazi, wenyewe wanajiita msingi kiuno, marioo.
Inategemea umekutana na mtu wa aina gani. Kuna wanaume vimeo na wanawake vichomi.
Lakini watu wazuri wapo pia. Stay calm usiwe na papara utamgundua mtu tu mapema.
Haujui maana ya neno Malaya? Au umekaza fuvu?ungefuta hii paragraph ya mwisho hoja zako zingekuwa nzuri zaidi.
ππ
"Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke π "
kwa sababu huyu mwanamke uliyemzungumzia sijaona sehemu uliyeandika kuwa alikuwa na wanaume wengi, neno Malaya hukutakiwa kuliandika hapa.
Nb: nmependa hoja zako zinauhalisia
Rubbish wewe una Maisha gani? Unajifanya unawajua sana wanawake kuliko wanavyojijua?Wewe huna maisha unachukua mwanamke asie na maisha kinachofata ni kuanzisha thread za kulialia jf...
Mkuu mbona inajulikana tu wanawake wengi wa Tanzania ni ombaombaWewe huna maisha unachukua mwanamke asie na maisha kinachofata ni kuanzisha thread za kulialia jf...
Wazikanapo ndipo watafunanapoUkitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.
Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,
Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.
Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,
Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.
Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,
Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.
Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.
Umemuoa na kuwa mke hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,
Mchango wake tena ni uleule uchi!!
Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi?"
Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used π
Mkuu sio wote vitonga...lakini pia hiyo ni nature ya mwanamke yaani sio kitu kibaya maana mwanaume ni provider chaguo ni lako so kama unajiona uwezo wako ni tiamajitiamaji usioe mwanamke wa hadhi ya chiniMkuu mbona inajulikana tu wanawake wengi wa Tanzania ni ombaomba
JF hai-reflect chochote kwa 100%. Najua hayo mambo yapo ila haimaanishi kila mwanamke yupo hivyo. Haimaanishi pia kwamba sijawahi kupigwa matukio ila najua kuwa wapo wema bado.Jf inareflect kilichopo kwenye jamii
Tembelea jukwaa ka MMU
Halafu niambie nyuzi nyingi za mahusiano ni ni zipi za furaha au malalamiko?
Ndio ujue wanawake vichomi ndio wengi
ChaliifranciscoJf inareflect kilichopo kwenye jamii
Tembelea jukwaa ka MMU
Halafu niambie nyuzi nyingi za mahusiano ni ni zipi za furaha au malalamiko?
Ndio ujue wanawake vichomi ndio wengi
Ole wako nikukute tena unawatete hao Malaya na kujifanya unawajua sana,Wewe huna maisha unachukua mwanamke asie na maisha kinachofata ni kuanzisha thread za kulialia jf...
Mbona povu mzee kwahiyo unaona wivu mimi kuhongwa na wanawake?Rubbish wewe una Maisha gani? Unajifanya unawajua sana wanawake kuliko wanavyojijua?
Vijana maskini na majobless wanateswa sana na mapenzi kila siku wanaazisha thread za vilio humu jfMimi ninadhani vijana maskini wange-focus zaidi kwenye kujikwamua kiuchumi huku waki-date watu wa level zao wanaowapenda. Pia tujitahidi kutovumilia upuuzi wowote. Ukiona dalili za upigaji kataa mapema. Kama mwanamke hawezi kukaa kwenye mfumo wako jua atakudharau na kukunyanyasa. Don't be a SIMP.
Wewe endelea kuhudumia malaya, ila ujue wanawake wengi sana ni vitongaMkuu sio wote vitonga...lakini pia hiyo ni nature ya mwanamke yaani sio kitu kibaya maana mwanaume ni provider chaguo ni lako so kama unajiona uwezo wako ni tiamajitiamaji usioe mwanamke wa hadhi ya chini
Kijana tafuta hela mapenzi ni matamu sanaOle wako nikukute tena unawatete hao Malaya na kujifanya unawajua sana,
Una mama na dada? So mama yako kukulea na umekuwa kweli mchango wake ulikuwa ni kuchanua tu kwa mzee wako?Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.
Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,
Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.
Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,
Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.
Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,
Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.
Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.
Umemuoa na kuwa mke hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,
Mchango wake tena ni uleule uchi!!
Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi?"
Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used π