Mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano

Huwezi kumfananisha bimkubwa wangu na hawa makahaba wa miaka hii
ungefuta hii paragraph ya mwisho hoja zako zingekuwa nzuri zaidi.
πŸ‘‡πŸ‘‡
"Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke πŸ˜…"

kwa sababu huyu mwanamke uliyemzungumzia sijaona sehemu uliyeandika kuwa alikuwa na wanaume wengi, neno Malaya hukutakiwa kuliandika hapa.

Nb: nmependa hoja zako zinauhalisia
 
Mwandiko Mbovu Mwanamke gani Tajiri apate mda wa ku-date na uchafu km wako? Uandishi wako tu unaoneka njaakali
 
Jf inareflect kilichopo kwenye jamii

Tembelea jukwaa ka MMU

Halafu niambie nyuzi nyingi za mahusiano ni ni zipi za furaha au malalamiko?

Ndio ujue wanawake vichomi ndio wengi
 
Haujui maana ya neno Malaya? Au umekaza fuvu?
 
Wazikanapo ndipo watafunanapo
 
Jf inareflect kilichopo kwenye jamii

Tembelea jukwaa ka MMU

Halafu niambie nyuzi nyingi za mahusiano ni ni zipi za furaha au malalamiko?

Ndio ujue wanawake vichomi ndio wengi
JF hai-reflect chochote kwa 100%. Najua hayo mambo yapo ila haimaanishi kila mwanamke yupo hivyo. Haimaanishi pia kwamba sijawahi kupigwa matukio ila najua kuwa wapo wema bado.

Sio wote ni wabaya.

Lakini pia hata wanaume wapo wa hivyo so mimi naona kurusha lawama upande mmoja sio sawa.

That was my argument.

stow away
 
Mimi ninadhani vijana maskini wange-focus zaidi kwenye kujikwamua kiuchumi huku waki-date watu wa level zao wanaowapenda. Pia tujitahidi kutovumilia upuuzi wowote. Ukiona dalili za upigaji kataa mapema. Kama mwanamke hawezi kukaa kwenye mfumo wako jua atakudharau na kukunyanyasa. Don't be a SIMP.
 
It's easy weeds to germinate than wheat.
Hii ya kulalamika imetokea tu kwa binadamu ama hata swala dume ,jogoo analalamika pia kuwa majike hawamsaidii kitu. Hii Ni nature mwanamke ameumbwa kupokea ndio Mana hata umbile lake la uke linapokea uuuume ndani,sperms linaingia yai tunaumbika.
Tokea kuumbwa kwa dunia mwanamke alitoa sex na watoto Kama wanahitajika. Hii iweke kichwani mwako hata kwa kuichomelea na Moto wa umeme wa nyuklia.

Jogoo mabawa na kucha zake Ni kubwa mno kuliko mtetea.

Mwanaume mabega na kifua Ni kipana na mwanamke kiuno Ni kipana pia. Labda kama mnataka mbadlishe.
Kiasilia mwanamke anatakiwa alee watt cheki hata kuku anavyolea vifaranga.
Nimesema kiasilia ama nature Ila unaweza ukaenda against nature na utapata sababu za kukusapotii.
Peleka naseri watt waongee English na walelewe na hausegeli waanze kulishwa uchi wa hausegeli.

Mungu alituweka duniani akasema tuzaliane Sasa wewe pingana na nature labda unaweza ukaumba dunia yako.


Swala dume ana kambi ya majike 30 yeye anatafuta malisho wanakula huku yeye akigonga ke 30. Jogoo Kuna muda unaweza unadhani kuwa Hali ama hapati njaa ,Yuko bize kumlisha jike ili amkule.
Ila Naona hajawahi lalamika
 
Vijana maskini na majobless wanateswa sana na mapenzi kila siku wanaazisha thread za vilio humu jf
 
Una mama na dada? So mama yako kukulea na umekuwa kweli mchango wake ulikuwa ni kuchanua tu kwa mzee wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…