Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

And by the way unaweza kunipa andiko japo tu moja ambalo linasema kuwa mwanamke ndiyo chanzo cha maovu yote hapa duniani?

Zaidi lipo andiko linalosema miili yetu (wanadamu wote) ni hekalu la Mungu!
Correction: ADAM HAKUPEWA ADHABU (ILILAANIWA ARDHI BADALA YAKE)
NYOKA NA MWANAMKE NDO WALIPEWA ADHABU
NYOKA KUKUDANGANYA SIO SABABU NA WEWE USIWE CHANZO CHA MAASI MAANA UNGEWEZA KUKATAA.....HUJIULIZI WHY HUYO NYOKA HAKUMFUATA ADAM NA WAKATI ADAM ALIKUWEPO KITAMBO HAPO BUSTANINI.
 
Ndo usiwachukulie serious....Ukimnunulia gari...kuna mtu anamsugu Kucha na chupi atamvua.
Utamnunulia peruvian hair ya millioni kuna msela anamnunulia mafuta ya buku 5 na atamvua chupi.
Hawajui Nini wanataka Maishani. Anaweza kutoka anaenda kununua viatu akarudi kanunua bangili (tena Mbayaaaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] )
Hii comment itapitwa na akina Marrianah na Saint heaven kama vile haionekani daaah...! Ukweli mchungu sana huu [emoji1787][emoji1787]
 
Mbona tayari nimemjibu? Umechelewa!
Hii comment itapitwa na akina Marrianah na Saint heaven kama vile haionekani daaah...! Ukweli mchungu sana huu [emoji1787][emoji1787]
Hayo yote wanafanya kwa sababu wanajua siku hizi wanaume hawana mapenzi ya kweli maana hata wanaume wenyewe hamjui mnataka nini

Yaani mwanaume anaweza kuwa na mwanamke mzuri na anajitahidi kumfanyia kila kitu ila anaenda kuchepuka na mwanamke mbaya asiye na msaada wowote kwake sasa nashangaa mnavyowalumu wanawake kwa mambo ambayo hata ninyi mnayafanya
 
If you were here to correct me as the linguistic rather than discussing what is upon this case it doesn't matter, whatever you judge me it's okay coz there is no anyone is competent per 100% in everything, so don't pretend to correct me in favour of escaping what has been sent to you in simple language [emoji847]
Next time try to correct your grammar when you quote me, nincompoop.
 
Kubishana na Mwanamke malaya ni kukosa kazi.

Marianah mimi ninapoandika mambo haya sio kwa ajili ya Wanawake walioharibiwa nyuchi zao na akili zao.

Naandika ili wenye kutaka kutubu na Kuwafundisha watoto wao wakike wasiwe malaya na Mbwa kama wao walivyokuwa.

Siku zote anayebisha hoja ya mwanamke asiye na bikra ni malaya huyo naye ni malaya tuu. Ni wale wa mbwa kala mbwa.

Hivyo najua wewe unatetea maisha ya kimalaya kwa sababu wewe ndivyo ulivyo.

Usiseme mbona wanaume nao ni wabaya. Bali ungetakiwa uanzishe nyuzi au uchangie nyuzi zinazopinga maovu ya Wanaume.

Sasa wewe kuja kupinga hoja zangu kisa sijaponda wanaume ni ishara ya Kubikiirwa mpaka akilini.
 
Pole sana kwa kisu cha maumivu sana kilichokuchoma mfupani hata ulichojibu hakijahusiana kabisa na ulichoulizwa [emoji28]
Hapana umekosea, chanzo cha maovu yote ni nyoka, nyoka ndiye aliyekubali kutumika na shetani ndipo akamshawishi Evah kula tunda na hatimaye Adam

Kama mwanamke ndiyo chanzo jiulize kwanini Mungu alianza kumpa adhabu nyoka ndipo akafuatia na Adam na Evah?

Halafu huo msemo wenu naona siku hizi umekuwa ndiyo defensive mechanism yenu kidogo tu utasikia mwanamke aliongea na shetani

Jibu ni rahisi sana mwanamke alijua anaongea na nyoka kwa sababu shetani hakuja kwa umbo lake bali alikuja kupitia nyoka sasa unadhani mwanamke alijua?
 
Safi sana Mzee Baba
Correction: ADAM HAKUPEWA ADHABU (ILILAANIWA ARDHI BADALA YAKE)
NYOKA NA MWANAMKE NDO WALIPEWA ADHABU
NYOKA KUKUDANGANYA SIO SABABU NA WEWE USIWE CHANZO CHA MAASI MAANA UNGEWEZA KUKATAA.....HUJIULIZI WHY HUYO NYOKA HAKUMFUATA ADAM NA WAKATI ADAM ALIKUWEPO KITAMBO HAPO BUSTANINI.
 
Very very weak point [emoji38]
Hayo yote wanafanya kwa sababu wanajua siku hizi wanaume hawana mapenzi ya kweli maana hata wanaume wenyewe hamjui mnataka nini

Yaani mwanaume anaweza kuwa na mwanamke mzuri na anajitahidi kumfanyia kila kitu ila anaenda kuchepuka na mwanamke mbaya asiye na msaada wowote kwake sasa nashangaa mnavyowalumu wanawake kwa mambo ambayo hata ninyi mnayafanya
 
Kwanini mnahangaika sana kwa waganga wa kienyeji?

Kwanini Mwalimu wenu ni kipofu(uwongo)?
Kwahiyo Adam alipoambiwa atakula kwa jasho lake siyo adhabu hiyo? Ingekuwa hivyo leo hii wanaume msingekuwa mnalalamika kuwa maisha ni magumu na baadhi ya wanaume wasingekuwa wanakubali kuwa mashoga na kuolewa na wanaume wenzao ili wapate mteremko wa maisha

Halafu unaposema Evah alikuwa na uwezo wa kukataa unamaanisha Adam ndiyo hakuwa na uwezo wa kukataa? Mbona naye alikula lile tunda? Yaani wanaume wa kibongo kwa kulazimisha wanawake ndiyo waonekana wabaya kwenye kila kitu hamjambo chanzo cha maovu yote hapa duniani ni shetani Evah hakujichumia tu lile tunda na hakulazimishwa kula kama ambavyo Adam pia hakulazimishwa kula na ndiyo maana wote walipewa adhabu kuanzia nyoka hadi kina Adam na Evah kwa sababu walikuwa na uwezo wa kukataa kushawishiwa
 
Kubishana na Mwanamke malaya ni kukosa kazi.

Marianah mimi ninapoandika mambo haya sio kwa ajili ya Wanawake walioharibiwa nyuchi zao na akili zao.

Naandika ili wenye kutaka kutubu na Kuwafundisha watoto wao wakike wasiwe malaya na Mbwa kama wao walivyokuwa.

Siku zote anayebisha hoja ya mwanamke asiye na bikra ni malaya huyo naye ni malaya tuu. Ni wale wa mbwa kala mbwa.

Hivyo najua wewe unatetea maisha ya kimalaya kwa sababu wewe ndivyo ulivyo.

Usiseme mbona wanaume nao ni wabaya. Bali ungetakiwa uanzishe nyuzi au uchangie nyuzi zinazopinga maovu ya Wanaume.

Sasa wewe kuja kupinga hoja zangu kisa sijaponda wanaume ni ishara ya Kubikiirwa mpaka akilini.
Masikini ya Mungu hivi ningekuruhusu unijue mimi ni mtu aina gani si ungeaibika wewe? Nimegundua wanaume wengi humu huwa mnaongea kauli kama hizo ili kupunguza tu stress na mnazitumia kama defense mechanism ya kukwepa ukweli maana nikijiangalia nilivyo na mnavyoniita humu eti kwa sababu tu ya hoja zangu nawachukulia ni watu ambao hampendi tu kuambiwa ukweli

Maana haiwezekani wanawake tunaowaambia ukweli eti ndiyo malaya ila wanaowaunga mkono hadi kwenye hoja za kipumbavu ndiyo wife material ila nikwambie tu ndugu yangu hayo maneno yenu hayaniumi wala hayanikatishi tamaa kwa sababu siyo ya ukweli na hayabadilishi ukweli and by the way hata mwanaume mwenye wanawake wengi naye ni malaya vile vile hawana tofauti

Na hata mseme nini siachi kuwakosoa ng'oo niiteni majina yote ila hayanibadilishi jinsi nilivyo yaani eti unahusianisha bikira ya mwanamke na mafanikio ya mwanaume wakati wapo wanaume wengi tu waliooa wanawake wasio mabikira na wamefanikiwa na ndoa zao zimedumu

Nilikwambia nipe andiko linalothibitisha hayo unayosema unabaki unambwelambwela tu sasa kama hayo unayoandika siyo pumba ni nini? Ni wazi unaandika kwa sababu tu ya chuki zako dhidi ya wanawake wasio mabikira sijui walikufanya nini masikini ya Mungu pole! Siku nyingine uwe unaongeaga uhalisia uliopo dunia hii basi siyo unaongea kwa mihemko tu unaongea vitu ambavyo kwenye dunia hii havipo stop living in a fantasy world, nonsense.
 
WADAU NITAMFARIJI TU MARRIANAH MSIMUHUKUMU SANA SABABU ANA STRESS ZA MAPENZI NDIYOMAANA ANAPAMBANA PEKEYAKE HAPA JF NA WANAUME WOTE(JESHI LA MTU MMOJA) [emoji851]
 
Masikini ya Mungu hivi ningekuruhusu unijue mimi ni mtu aina gani si ungeaibika wewe? Nimegundua wanaume wengi humu huwa mnaongea kauli kama hizo ili kupunguza tu stress na mnazitumia kama defense mechanism ya kukwepa ukweli maana nikijiangalia nilivyo na mnavyoniita humu eti kwa sababu tu ya hoja zangu nawachukulia ni watu ambao hampendi tu kuambiwa ukweli

Maana haiwezekani wanawake tunaowaambia ukweli eti ndiyo malaya ila wanaowaunga mkono hadi kwenye hoja za kipumbavu ndiyo wife material ila nikwambie tu ndugu yangu hayo maneno yenu hayaniumi wala hayanikatishi tamaa kwa sababu siyo ya ukweli na hayabadilishi ukweli and by the way hata mwanaume mwenye wanawake wengi naye ni malaya vile vile hawana tofauti

Na hata mseme nini siachi kuwakosoa ng'oo niiteni majina yote ila hayanibadilishi jinsi nilivyo yaani eti unahusianisha bikira ya mwanamke na mafanikio ya mwanaume wakati wapo wanaume wengi tu waliooa wanawake wasio mabikira na wamefanikiwa na ndoa zao zimedumu

Nilikwambia nipe andiko linalothibitisha hayo unayosema unabaki unambwelambwela tu sasa kama hayo unayoandika siyo pumba ni nini? Ni wazi unaandika kwa sababu tu ya chuki zako dhidi ya wanawake wasio mabikira sijui walikufanya nini masikini ya Mungu pole! Siku nyingine uwe unaongeaga uhalisia uliopo dunia hii basi siyo unaongea kwa mihemko tu unaongea vitu ambavyo kwenye dunia hii havipo stop living in a fantasy world, nonsense.


Nani akujue ili apate nini. Aliyekujua hutosheki naye unataka na sisi humu.

Nilikupa maandiko kuhusu aliyetolewa Bikra kabla ya ndoa ni kahaba. Ukakaa kimya.

Ulitaka nikupe kila utakapo. Nilivyokupa mara moja inatosha.

Ubaya ni ubaya hata aufanye mwanaume.

Mimi nimejikita kusema umalaya wa Wanawake.

Wewe jikite kusema ubaya wa Wanaume. Hakuna atakaye kukataza.

Ila hakuna atakayenizuia kuwatusi na kuwatolea maneno ya karaha Wanawake Malaya waliotolewa bikra kiholela.

Nikakupa andiko kuwa Biblia imeruhusu kijana kumuacha Mwanamke ambaye hana bikra naona ukawa kimya.

Mkuu, Usitegemee ufanye uhuni wako kama Mbwa alafu watu wote wakae kimya.

Tutasema na tutasema. Samahani najua unakereka.
 
Kwanini mnahangaika sana kwa waganga wa kienyeji?

Kwanini Mwalimu wenu ni kipofu(uwongo)?
Vizuri sana umeshajiuliza ni wanawake wangapi wanahangaika kwa waganga? Umeshasikia wanawake wa mataifa mengine hasa yale makubwa yaliyoendelea wanahangaika kwa waganga kwa sababu ya kutaka wanaume kuwaoa? Kwanini wengi wao ni wanawake wa kiafrika tu tena hasa wa kibongo? Ni kwa sababu wanawake wengi wa kibongo wamekubali kudanganywa kuwa mwanamke kuolewa ni heshima na stara

Haijalishi ana ndoa ya aina gani na akiolewa hata mumewe amfanye6 nini hatakiwi kuachika maana jamii itamuona malaya na atapata aibu kubwa sana hivyo anatakiwa aolewe mapema kabla hajafika miaka 30 na asiachike kabisa hata apigwe ang'olewe meno yote au asalitiwe na aletewe watoto wanajaza uwanja wa mpira hatakiwi kuachika

Sasa kwa wanawake wapumbavu ambao wamekubali kusikiliza mitazamo ya kipumbavu ya jamii wanaodhani kuwa ndoa inapangwa na wanadamu wataacha kwenda kwa waganga kweli? Halafu naomba kwenye haya maswala yanayohusu dunia nzima usitolee mifano ya wanawake wa kiafrika tu

Maana wao hawawakilishi dunia nzima na mimi ndiyo maana nasema baadhi ya waafrika ni wapumbavu ndiyo maana mababu zetu na mabibi zetu walitawaliwa kwa sababu ya upumbavu wao na ninasema wazungu waendelee kutudharau tu na wakitaka kuja kututawala tena kama zamani waje tu wanakaribishwa yaani eti wanaume wa kiafrika na ninyi mnaongea?
 
Mimi ni mbishi au ninyi ndiyo hamtaki kukubali ukweli? Nimekutajia kule juu mifano ya jinsi maovu ya wanaume na wanawake yanavyolingana sasa sijui bado mnalalamika nini!
Umetapatapa tu kama mfa maji lakini ukweli kabisa unaujua sema tu we ni mbishi [emoji3]
 
Back
Top Bottom