Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
-
- #61
Endelea kujidanganyaUkiona mtu anakuheshimu kwasabau ya woga ni unafiki. Shule tulikuwa tukiita nidhamu ya Woga. Heshima inayotengenezwa na hofu ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Heshima ya.kweli inategemea na hadhi ya mtu cheo chake na uhusiano bora kati yake na wengine . Ukiwa na akili ndogo utaona huyu bwana mdogo kaandika kitu cha maana kumbe ni upuuzi tu. Kulazimisha mtu akuheshimu kwasababu anakuogopa ni udhaifu mkubwa. Heshma humfuata mtu automatic kutegemeana na namna yake
Umeshapata kazi?Endelea kujidanganya
Ila heshima usipopewa unapaswa kuchukua kwa miguvu.Ukiona mtu anakuheshimu kwasabau ya woga ni unafiki. Shule tulikuwa tukiita nidhamu ya Woga. Heshima inayotengenezwa na hofu ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Heshima ya.kweli inategemea na hadhi ya mtu cheo chake na uhusiano bora kati yake na wengine . Ukiwa na akili ndogo utaona huyu bwana mdogo kaandika kitu cha maana kumbe ni upuuzi tu. Kulazimisha mtu akuheshimu kwasababu anakuogopa ni udhaifu mkubwa. Heshma humfuata mtu automatic kutegemeana na namna yake
uyo kijana anaongea nadharia wakati mimi naongea uhalisia wa mambo ulivyo fieldIla heshima usipopewa unapaswa kuchukua kwa miguvu.
Ni kweliElimu huongeza maarifa.
Kweli, kila kitu kinatafitwa kwa effortuyo kijana anaongea nadharia wakati mimi naongea uhalisia wa mambo ulivyo field
Hii ilitakiwa ipande juu iwe comment ya kwanza πΉπΉ
πΉπΉπΉ KumekuchaWe jamaa umepoteza muda wako kuandika nonsense
Kwa niniHii ilitakiwa ipande juu iwe comment ya kwanza πΉπΉ
We chura wa kijani huwezi kuelewa πΉKwa nini
Njoo nikutende....We chura wa kijani huwezi kuelewa πΉ
Chura wa kijani kazi yake kutaga mayai kwenye maji..!!Njoo nikutende....
Cha msingi ipo page ya kwanza πHii ilitakiwa ipande juu iwe comment ya kwanza πΉπΉ
Ukinionja huwezi nitosa mautamu yangu hayana mfanoChura wa kijani kazi yake kutaga mayai kwenye maji..!!
cc Robert Heriel MtibeliNi ngumu sana mwanamke kukuheshimu ukiwa mwema sana kwake. Mwanamke anamuhesmimu mwanaume anaemuogopa. Hapa siongelei physical appearance, violence au abuse.
Am talking about the respect that stems from knowing you are a man of strength, principle and authority. Without that dynamic modern women will test your limits, disrespect you and challenge your position at every opportunity.
Wanawake wa kisasa wengi hawawaheshimu wanaume walionao. Wanaona wema na sacrifices za mwanaume ni udhaifu sio uimara na kuwapa wanaume kama hao majina ya dhihaka mfano danga, msukuma wangu n.k.
Kama unampa kipaumbele, una-sacrifice furaha yako kwa ajiri yake, unafuata kila anachosema hata kama kinaingiliana na bajeti, msimamo au ratiba zako, atakuona wewe ni dhaifu na hapo ndipo nae ataanza kupigania madaraka kwenye hayo mahusiano kwa sababu katika macho yake wewe haukidhi vigezo vya kuwa kiongozi.
Wanawake wa kisasa wamepumbazwa kwamba traditional male leadership ni utumwa, kwaiyo wanataka ku-control mahusiano hapo hapo wanataka mwanaume utimize wajibu wako wa kama provider, protector na problem solver. Kinachosikitisha wapo wanaume wengi wamekubaliana na huu upuuzi na kuishia kudharaulika kwenye mahusiano yao.
Imagine you embody authority, decisiveness and unshakable principles. You set boundaries, enforce them and refuse to tolerate disrespect. Suddenly her behaviour changes because she knows there are consequences to stepping out of the line. Women crave strong leadership even if their modern ideologies tell them otherwise.
Ukweli wa mapenzi na heshimu ni kwamba: mwanamke hakupendi kwa wema na sacrifices zako kwake. Anakupenda kwa uimara wako na uwezo wa kuongoza.
Vilevile zingatia sana, utakapompata mwanamke mtiifu, anakuheshimu na kukubaliana na uongozi wako bila ya yeye kutaka kupigania madaraka- basi umeokota dhahabu, nyakati tunazoishi wanawake wa hivyo wapo wachache sana,
You should value her because she is the kind of woman who will make a home. She is not there to compete with you, she knows her strength lies in complementing your role not challenging it.
Kijana achana na wanawake wapigania madaraka. Be the man she respects, not the one she manipulates. Na kama hawezi kunyooka pamoja na uimara wako basi achana nae. Unastahili amani na heshima.
That's masculinity, that's leadership, that's what you were born for.
Elewa alama ya ccUmeniita
Hapa umeongea point.Hata mkiwa faragha mvute minywele yake, mitako ichape makofi mazito yaani vuruguvurugu.
CC: Demi wangu
πππππ bora lawama kuliko fedheaHapa umeongea point.
Hata ikitokea umekutana na demu ghetto au guest Mara ya kwanza, jitahidi umfanye awe submissive, sio inafika mida ya tendo mwanaume unaanza kulamba senye, brooo usifanye ujinga huu never, kitendo cha kuweka mdomo wako katikati ya mapaja tayari unakua umejishusha.
Hakikisha yeye ndio anakamata mic na kuimba nyimbo za kutosha, na mkianza hakikisha unakandamiza kweli kweli, mpindue pindue kibabe sana, katika tukio jifanye wewe ni master na yeye mtumwa usimuonee huruma