Mwanamke hawezi kukutii kama hakupendi hata uwe tajiri namba moja Duniani

Mwanamke hawezi kukutii kama hakupendi hata uwe tajiri namba moja Duniani

Nyie ndo mnawapa wanawake haki ambazo kiukweli sio zao. Mwanamke hana haki ya kupenda, wajibu wake ni kumtii mumewe, kumburudisha mumewe na kuwa submissive kwa mumewe basi

Nawakubali sana waarabu kwenye hili, mwanamke analetewa tu mumewe hana haja ya kuchagua eti kampenda au la, mwanaume ndie anaependa na kuchagua.

Watu wenye mentality kama yako ndio wameongeza wimbi la feminists na kuharibu Natural World Order wakiwa vibaraka wa New World Order bila kujijua

Naomba hiyo sheria inayoeleza hayo uliyoyasema.

Nafikiri unajua sheria ni Jambo Gani
 
Ww jamaa unanichekesha sana sasa kama huyaamini maandiko ya biblia kisa ni maneno ya paulo iweje unataka tuyaamini maneno yako au ww maneno yako yametoka kwa mungu?

Paulo alikuwa mtume wa mungu hivyo anacho kisema jua kakisema kwa idhini ya mungu wake.
Na maneno yake yana jidhihirisha kwa tabia za wanawake zilivyo hawajui wana taka nn.

Hata katika Qruan mtume amesema oweni wanawake walio wema mtapata utulivu na wala hakusema oeni wanawake wanao wapenda.

Hakuna mtu yeyote anaye weza kukielewa kiumbe kinacho itwa mwanamke tofauti na aliye kiumba tuache kujifariji.

Unaposema Mwanamke Mwema unazungumzia Jambo Gani?

Unajua vitu kama huvijui ni Bora ukae kimya.
Embu eleza unatenganisha vipi Wema na Upendo?
Au hujui upendo ndio Wema na Wema ndio upendo?

Huko shuleni mlienda kusomeà ujinga kweli
 
Mzee wa madini adhimu....Umepiga mule mule ngoja tuendelee kufanya reflections
 
Unaposema Mwanamke Mwema unazungumzia Jambo Gani?

Unajua vitu kama huvijui ni Bora ukae kimya.
Embu eleza unatenganisha vipi Wema na Upendo?
Au hujui upendo ndio Wema na Wema ndio upendo?

Huko shuleni mlienda kusomeà ujinga kweli
Hakuna mtu mwema anaye weza kumfanyia ubaya mtu ambaye amemfanyia wema.
Mwanamke mwema hawezi kuja kumfanyia ubaya mwanaume aliye mfanyia wema wa kumuowa kwa kisingizio cha kukosa mapenzi juu yake hali ya kuwa hakurazimishwa kuolewa naye, kama ulijua humpendi kwann ulikubali uliolewa naye?

Mwanamke mwema huwa anathamini kila wema atakao fanyiwa na mme wake bila kujali huyo mwanaume yukoje kwa sababu hakurazimishwa kuolewa naye.

Upendo na wema ni vitu viwili tofauti kabisa kwasababu mtu mwema huwa hachagui ni mtu gani amfanyie wema ,wakati mwenye upendo huwa anachagua ni nani ampe upendo wake na ni nani amnyime.

Ww mwenyewe umesema mwana mke mwenye upendo juu yako ndo atakutii , lakini mwanamke mwema atakutii kivyovyote vile kwa sababu yeye mwenyewe alikubali kuwa mkeo kwa hiyari yake.

Ni kutadharishe tu usije kumuamini mwana mke haijalishi ataigiza upendo kiasi gani kwako utakuja kufa mapema na kifala sana.
 
Hakuna mtu mwema anaye weza kumfanyia ubaya mtu ambaye amemfanyia wema.
Mwanamke mwema hawezi kuja kumfanyia ubaya mwanaume aliye mfanyia wema wa kumuowa kwa kisingizio cha kukosa mapenzi juu yake hali ya kuwa hakurazimishwa kuolewa naye, kama ulijua humpendi kwann ulikubali uliolewa naye?

Mwanamke mwema huwa anathamini kila wema atakao fanyiwa na mme wake bila kujali huyo mwanaume yukoje kwa sababu hakurazimishwa kuolewa naye.

Upendo na wema ni vitu viwili tofauti kabisa kwasababu mtu mwema huwa hachagui ni mtu gani amfanyie wema ,wakati mwenye upendo huwa anachagua ni nani ampe upendo wake na ni nani amnyime.

Ww mwenyewe umesema mwana mke mwenye upendo juu yako ndo atakutii , lakini mwanamke mwema atakutii kivyovyote vile kwa sababu yeye mwenyewe alikubali kuwa mkeo kwa hiyari yake.

Ni kutadharishe tu usije kumuamini mwana mke haijalishi ataigiza upendo kiasi gani kwako utakuja kufa mapema na kifala sana.

Labda hujui Kanuni za Asili.
"Trust no one" sio tuu Mwanamke. Hata wewe hautakiwi kuaminiwa. Hivyo sio ishu ya Mwanamke pekee.

Ndoa nguzo yake kuu ni Upendo.
Mwanamke lazima akupende na Mwanaume lazima umpende Mkeo. Hiyo ndio Ndoa.

Mwanamke kama hakupendi hawezi kuwa Mkeo, hawezi kukutii.

Ninyi ndio maana mapenzi yanawachezesha shere.

Ungekuwa unaelimu walao ya Saikolojia, Fiziolojia na sosholojia ungeelewa nazungumzia nini.

Kama hujui Mwanamke anapenda kama wewe unachopenda. Ni mpaka siku ujue Mkeo au mchumbaako ana Mwanaume mwingine anayempenda kuliko wewe ndio utajiona ulikuwa Nyuma Sana kuelewa mambo haya.

Kama hujawahi kupendwa na hao Wanawake basi unabahati Mbaya Sana kwenye Maisha Ndugu yangu.
 
Labda hujui Kanuni za Asili.
"Trust no one" sio tuu Mwanamke. Hata wewe hautakiwi kuaminiwa. Hivyo sio ishu ya Mwanamke pekee.

Ndoa nguzo yake kuu ni Upendo.
Mwanamke lazima akupende na Mwanaume lazima umpende Mkeo. Hiyo ndio Ndoa.

Mwanamke kama hakupendi hawezi kuwa Mkeo, hawezi kukutii.

Ninyi ndio maana mapenzi yanawachezesha shere.

Ungekuwa unaelimu walao ya Saikolojia, Fiziolojia na sosholojia ungeelewa nazungumzia nini.

Kama hujui Mwanamke anapenda kama wewe unachopenda. Ni mpaka siku ujue Mkeo au mchumbaako ana Mwanaume mwingine anayempenda kuliko wewe ndio utajiona ulikuwa Nyuma Sana kuelewa mambo haya.

Kama hujawahi kupendwa na hao Wanawake basi unabahati Mbaya Sana kwenye Maisha Ndugu yangu.
Hebu niambie ni viashiria gani vitakavyo kufanya uamini kuwa huyo mwanamke ana kupenda au ana kuigizia hebu viweke hapa.

Ww jamaa una ujuaji ulio pitiliza na ndio maana ww unataka kila utakacho kisema kiwe sawa hata kama hakiko sawa.

Ndio maana unajichanganya mwenyewe kwa kuongea pumba, ww unasema kuwa mwanamke hawezi kuolewa na mwanamme asiye mpenda lakini wakati huo huo unaniambia kuwa siku nikigundua kuwa mke wangu anampenda mwanaume mwingine kuliko mm nitaumia, sasa kwann hakuolewa na huyo mwanaume aliye mpenda aje aolewe na mm asiye nipenda hali ya kuwa umesema kuwa mwana mke haolewi na mtu asiye mpenda?

Hao wana saikolojia wanao jifanya wanawajua wanawake na wao wanagongewa tu ,ww mwenyewe nikikuuliza una uhakika gani kuwa mkeo huyo unaye sema unakupenda huwa hakusariti unaweza kunipa huo udhibitisho?

Hiyo hoja yako ya mwisho uliyo itoa ni ya kipumbavu na kifala inayo onesha kuwa umeshiwa hoja.
Kwa hiyo kumbe kipindi ww unaleta nyuzi za kuwaponda wanawake humu sijui usimuonee huruma mwanamke , sijui mwana ume ni mtawala kilikuwa ni kisirani cha kupingwa vibuti na mademu sasa umempata anaye kuigizia na ndio maana una jiona ww ni fundi wa mapenzi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2].

Katika ulimwengu huu hakuna fundi wa mapenzi na hato kuja kutokea acheni ujuaji usio kuwa na kichwa wala miguu.
 
Kwema Wakuu!

Bado nipo natoa mafunzo Kwa ninyi vijana wa Forex, Watoto wa kubet ambao Maisha yanawachanganya.

Vijana tatuteni Pesa kwaajili ya Wanawake wanaowapenda ili wawaheshimu na kuwatii. Elewa kuwa Pesa haimfanyi Mwanamke akutii (akupende) isipokuwa Pesa inachochea furaha ya mwanamke Kwa sababu ya kutimiza mahitaji yake ya kimwili.

Mwanamke hana nguvu yoyote Kwa mwanaume anayempenda. Hilo weka akilini. Ongezea Hii, Mwanamke siku zote humtii na kumsikiliza mwanaume anayempenda.

Kama Mwanamke Hakupendi atakuigizia anakupenda lakini unajua nini kitatokea?

Sikiliza, Mwanamke ataigiza anakutii Kwa Pesa zako kipindi cha mwanzoni tuu na hakitazidi miaka kumi. Hapo atatafuta na kuyaona mapungufu yako hasa ya kimwili, mathalani Hupigi show vizuri au unapiga Nusu dakika kama jogoo wa Segera. Au ataona unakakibamia Kako na hapo ndipo utamuelewa vizuri Mwanamke.

Mwanamke akikupenda muda wote atawaza jinsi ya kukusaidia uwe na furaha. Yaani ukiumia naye anaumia. Ukisema anafanya. Hakunaga show mbovu Kwa Mwanamke anayekupenda. Atakutii Kwa sababu anakupenda.

Zingatia upendo wa Mwanamke na Sisi wanaume ni tofauti. Kutokana na utofauti wa kihisia na kiakili uliopo baina ya Mwanamke na Mwanaume.

Pesa na utajiri unavyotafuta ili uheshimiwe na kutiiwa elewa kuwa unatafuta utiifu na heshima ya mchongo (bandia) na uhakika ni kuwa siku ukiwa na hizo Pesa utagundua kuwa licha ya kuwa unapesa lakini bado Mwanamke uliyenaye hakutii na hakuheshimu. Utajaribu kutafuta wapi umekosea lakini kimsingi ni kuwa ulioa Mwanamke asiyekupenda.

Ukiwa na Akili na ukapata neema ya Mungu basi Oa Mwanamke anayekupenda kisha tafuta Pesa kwaajili yake. Kwa sababu huyo atakutii na kuheshimu hata usipozipata hizo Pesa zenyewe.

Wapo Watu wapo kwenye majumba makubwa ambao wanalazwa Mzungu WA nne na Wake zao, tena ukimuona huyo Mwanamke sio ajabu hata form four hajafika, kazi Hana lakini Moto anaomuwashia Mumewe sio Pouwa.
Kisa na mkasa hakumpenda, alipendea Pesa zake. Au Mwanamke aliolewa ili tuu naye aonekane kaolewa, au muda ulikuwa umemuishia.

Ndugu zangu, hata uwe Rais au Mfalme wa Hii Dunia. Kama Mkeo hakupendi jua upo kwenye shimo la Giza, utapasuka tuu. Ni suala la muda. Kanuni kuu ya Wanawake ni kukusubiri pale nguvu zako zinapokuwa zimekuishia, miaka hamsini hivi, huna cha kumfanya, na kama utaleta ngebe Watoto wataungana na Mama Yao kukudhibiti wewe.

Zingatia kuwa, Mkeo akikupenda lazima ataungana na wewe kupambana na maadui wowote hata wangekuwa ni Watoto mliowazaa. Lakini kama alikuwa hakupendi hiyo vita umepoteza.

Ndio maana nawaambia Vijana, kamwe usilazimishe Mapenzi. Mwanamke kama hakupendi usi-force. Ni hatari.
Bahati nzuri ni rahisi kujua Kabisa Mwanamke ambaye anakupenda na ambaye hakupendi. Ila Kwa Wanawake ni ngumu kumtambua mwanaume anayempenda.

Ujanja tulionao wanaume ni nyakati za Ujana mpaka miaka arobaini hivi. Baada ya hapo Maisha yetu yapo mikononi mwa Wake na watoto wetu.

Sijasema msitafute Pesa. Tafuteni Sana. Lakini Pesa haina maana yeyote kama Mkeo hakupendi. Anakuigizia utiifu na kutafuta areas of your weakness.

Na Mwanaume akishajua kuwa Mkewe kajua udhaifu wake labda Hana Ile uwezo na nguvu za kiume au anaupungufu wa kimaumbile anakuwa ameshaingia katika mtego wa Mwanamke.

Kijana, Mwanamke anayekupenda atakuvumilia na kukutii hata ukiwa katika nyakati za hatari. Au siku unaudhaifu au akikukuta na udhaifu Fulani. Hutakuwa mtumwa wake Bali utakuwa mume kwake milele zote.

Kijana elewa kuwa Mwanamke haogopi kufokewa na Mwanaume asiyempenda. Yaani kama Mkeo hakupendi hata ukimfokea wala haumii Sana. Hata ukijiliza liza ooh sijui MKE wangu hufuati maadili, hunisikilizi. Hayo hayatilii maanani. Ni Kwa sababu hakupendi, na kama hakupendi automatically hakusikilizi. Hajajisalimisha kwako.

Sio ajabu Mwanamke anaweza akawa amekosea na bado asikuombe Msamaha ni Kwa sababu Hakupendi.
Elewa kuwa Mwanamke akikupenda hata kama huna Pesa na amekuzidi Pesa atakupa Pesa zake ili umpe yeye😀😀.
Lakini kama hakupendi hata umpe Dunia nzima kamwe hataridhika bado ataona kuna Pesa umeificha somewhere na unahonga Wanawake wengine.

Usiombe uumwe kisukari au presha ambayo ikafifisha nguvu za kiume alafu ulioa Mwanamke asiyekupenda. Utajuta Maisha yako yote.
Lakini Mwanamke akikupenda, huna hofu yoyote. Ni kama Mwanamke akipendwa na Mwanaume hapaswi kuwa na hofu.

Unaweza ukawa na Pesa nyingi Sana lakini nyumba yako ikawa inaongozwa na Mwanaume mwingine nje ya nyumba yako. Yaani hiyo inaitwa Ukoloni mamboleo katika Ndoa.
Mkeo hakupendi na anamwanaume mwingine anayempenda ambaye huenda umemzidi kipato na mamlaka. Kila unachokifanya huyo Mwanaume anakijua, na pengine maamuzi mengine anayotoa Mkeo hapo nyumbani yanatoka Kwa huyo Mwanaume.

Ndio maana inashauriwa mwanaume asisikilize ushauri wa Mkewe hasa Yule MKE ambaye anajua kabisa hampendi na alifosi Mapenzi. Kwa sababu Wanawake wengi Duniani hawawezi kufanya maamuzi pasipo kuchukua ushauri Kutoka Kwa Watu wanaowapenda ambao ndio huwaamini. Hivyo ni rahisi Mkeo kuchukua ushauri Kwa Mama yake, Shoga yake au Ex wake aliyempenda Sana.

Vijana tatuteni Pesa ili mtumie na Wanawake ambao wanawapenda ninyi hata kama msingekuwa na hizo Pesa.
Mkiendelea kubisha Mimi simo.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kumfukuza Kuna shida gani?
 
Hebu niambie ni viashiria gani vitakavyo kufanya uamini kuwa huyo mwanamke ana kupenda au ana kuigizia hebu viweke hapa.

Ww jamaa una ujuaji ulio pitiliza na ndio maana ww unataka kila utakacho kisema kiwe sawa hata kama hakiko sawa.

Ndio maana unajichanganya mwenyewe kwa kuongea pumba, ww unasema kuwa mwanamke hawezi kuolewa na mwanamme asiye mpenda lakini wakati huo huo unaniambia kuwa siku nikigundua kuwa mke wangu anampenda mwanaume mwingine kuliko mm nitaumia, sasa kwann hakuolewa na huyo mwanaume aliye mpenda aje aolewe na mm asiye nipenda hali ya kuwa umesema kuwa mwana mke haolewi na mtu asiye mpenda?

Hao wana saikolojia wanao jifanya wanawajua wanawake na wao wanagongewa tu ,ww mwenyewe nikikuuliza una uhakika gani kuwa mkeo huyo unaye sema unakupenda huwa hakusariti unaweza kunipa huo udhibitisho?

Hiyo hoja yako ya mwisho uliyo itoa ni ya kipumbavu na kifala inayo onesha kuwa umeshiwa hoja.
Kwa hiyo kumbe kipindi ww unaleta nyuzi za kuwaponda wanawake humu sijui usimuonee huruma mwanamke , sijui mwana ume ni mtawala kilikuwa ni kisirani cha kupingwa vibuti na mademu sasa umempata anaye kuigizia na ndio maana una jiona ww ni fundi wa mapenzi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2].

Katika ulimwengu huu hakuna fundi wa mapenzi na hato kuja kutokea acheni ujuaji usio kuwa na kichwa wala miguu.

Ukisoma nyuzi zangu unatakiwa uwe na Upeo mkubwa wa kufikiri.
Au uwe na unauzoefu na kile nilichokiandika. Lakini kama Akili mbili kasoro, au ndio Kwanza imeanza kuingia kwenye mapenzi juzi basi itakupasa uwe mtulivu.

Mwanamke hawezi kukutii kama hakupendi, hiyo weka akilini Mwako.
Kumuoa Mwanamke na kukupenda ni vitu viwili tofauti.
Mwanamke anaweza akaolewa na MTU yeyote lakini haimaanishi anaweza kumpenda mtu yeyote.
 
Ukisoma nyuzi zangu unatakiwa uwe na Upeo mkubwa wa kufikiri.
Au uwe na unauzoefu na kile nilichokiandika. Lakini kama Akili mbili kasoro, au ndio Kwanza imeanza kuingia kwenye mapenzi juzi basi itakupasa uwe mtulivu.

Mwanamke hawezi kukutii kama hakupendi, hiyo weka akilini Mwako.
Kumuoa Mwanamke na kukupenda ni vitu viwili tofauti.
Mwanamke anaweza akaolewa na MTU yeyote lakini haimaanishi anaweza kumpenda mtu yeyote.
Acha kujipa upeo usio kuwa nao ww una upeo gani? Hivi upeo ni kuandika kitu leo alafu baada ya mwaka mmoja unakuja kukipinga tena?

Hivi sio ww uliyewahi kuleta nyuzi kipindi cha nyuma inayo sema kuwa wanawake hawana upendo wa kweli bali ni wa kuigiza,na hawatakiwi kulaumiwa kwa hilo kwa sababu kupenda sio jukumu lao bali ni la mwanaume?

Ww jamaa unanichekesha jinsi unavyo ruka matuta hasa pale unapo banwa kwa hoja nime kuomba ufafanuzi kuwa ili ujue mwanamke anakupenda kutoka moyoni anatakiwa aweje ? Mpaka sasa sijaona jibu.

Alafu mm sio mshamba wa mapenzi kwa sababu nn siwezi kubadilisha mtazamo wangu juu ya wanawake kisa kuna mwanamke ananiigizia kuwa ananipenda.

Mshamba wa mapenzi ni ww ambaye umezuzuliwa na wanamke wako uliye mpata kiasi cha kushindwa kusimamia kile unacho kuamini na kukana maneno yako ambayo uliyaongea kwa kinywa chako mwenyewe humu.

Shujaa muongoza njia bwana Ruge maneno yake yana ishi mpaka sasa kuwa ogopa Mungu na teknolojia ,hebu rudi kwenye nyuzi zako za nyuma kuhusu wanawake alafu ujione jinsi ulivyo mtu dhahifu kabisa.
 
Acha kujipa upeo usio kuwa nao ww una upeo gani? Hivi upeo ni kuandika kitu leo alafu baada ya mwaka mmoja unakuja kukipinga tena?

Hivi sio ww uliyewahi kuleta nyuzi kipindi cha nyuma inayo sema kuwa wanawake hawana upendo wa kweli bali ni wa kuigiza,na hawatakiwi kulaumiwa kwa hilo kwa sababu kupenda sio jukumu lao bali ni la mwanaume?

Ww jamaa unanichekesha jinsi unavyo ruka matuta hasa pale unapo banwa kwa hoja nime kuomba ufafanuzi kuwa ili ujue mwanamke anakupenda kutoka moyoni anatakiwa aweje ? Mpaka sasa sijaona jibu.

Alafu mm sio mshamba wa mapenzi kwa sababu nn siwezi kubadilisha mtazamo wangu juu ya wanawake kisa kuna mwanamke ananiigizia kuwa ananipenda.

Mshamba wa mapenzi ni ww ambaye umezuzuliwa na wanamke wako uliye mpata kiasi cha kushindwa kusimamia kile unacho kuamini na kukana maneno yako ambayo uliyaongea kwa kinywa chako mwenyewe humu.

Shujaa muongoza njia bwana Ruge maneno yake yana ishi mpaka sasa kuwa ogopa Mungu na teknolojia ,hebu rudi kwenye nyuzi zako za nyuma kuhusu wanawake alafu ujione jinsi ulivyo mtu dhahifu kabisa.

Upendo wa Mwanamke unaendana na maumbile yake.
Ndio maana nikakuambia ukisoma nyuzi zangu lazima ukae utulie ujue huyu jamaa amelenga nini.

Ndio maana ukiwa Darasa la Kwanza unaambiwa 1-2 jibu haiwezekani lakini ukifika Darasa la tatu au la nne jibu linawezekana.

Au ukiwa mdogo uliambiwa mwanaume halii lakini sio ajabu siku ukamuona Baba yako akiwa analia.

Tumia Akili unapoyaendea mambo, changanua, chambua vitu Kwa muktadha.

Tatizo mmezoea kukaririshwa, ndio maana mnaambiwa mmeenda kusomea ujingaujinga tuu.

Jambo lolote lazima utumie logic katika kuliendea, logic inaendana na muktadha, tunaita Hekima.

Kama hujaelewa mpaka hapa, basi sitalazimika kuhitimisha kuwa unasafari ndefu katika mambo ya falsafa, Saikolojia na sosholojia.
 
Upendo wa Mwanamke unaendana na maumbile yake.
Ndio maana nikakuambia ukisoma nyuzi zangu lazima ukae utulie ujue huyu jamaa amelenga nini.

Ndio maana ukiwa Darasa la Kwanza unaambiwa 1-2 jibu haiwezekani lakini ukifika Darasa la tatu au la nne jibu linawezekana.

Au ukiwa mdogo uliambiwa mwanaume halii lakini sio ajabu siku ukamuona Baba yako akiwa analia.

Tumia Akili unapoyaendea mambo, changanua, chambua vitu Kwa muktadha.

Tatizo mmezoea kukaririshwa, ndio maana mnaambiwa mmeenda kusomea ujingaujinga tuu.

Jambo lolote lazima utumie logic katika kuliendea, logic inaendana na muktadha, tunaita Hekima.

Kama hujaelewa mpaka hapa, basi sitalazimika kuhitimisha kuwa unasafari ndefu katika mambo ya falsafa, Saikolojia na sosholojia.
Ogopa Mungu na teknolojia aisee Ruge alikuwa ni noma yaani unayakana maneno yako [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2].

Ngoja nikuwekee ushahidi ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.

Na rudia tena hakuna fundi wa mapenzi dunia hii na wala hatokuja kuwepo mpaka mwisho wa dunia hii , na huu msemo utakuja kuukumbuka pale huyo muigizaji wako uliye naye atatimiza malengo ya uigizaji wake kwako.

Nime kuuliza utamtambuaje mwamke anaye kupenda kweli na yule anaye kuigizia, lakin mpaka sasa sijaona jibu lako, ukimia wako ni jibu tosha kuwa hakuna tofauti kati ya mapenzi ya kweli na ya kuigiza na ndio maana nime kuomba udhibitisho wa uaminifu wa mke wako umeshindwa kunipa kwa sababu huna uhakika na mapenzi ya mkeo kwako maana hujui iwapo ni ya kweli au ni ya kuigiza.
View attachment 2762747
 
Ogopa Mungu na teknolojia aisee Ruge alikuwa ni noma yaani unayakana maneno yako [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2].

Ngoja nikuwekee ushahidi ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.

Na rudia tena hakuna fundi wa mapenzi dunia hii na wala hatokuja kuwepo mpaka mwisho wa dunia hii , na huu msemo utakuja kuukumbuka pale huyo muigizaji wako uliye naye atatimiza malengo ya uigizaji wake kwako.

Nime kuuliza utamtambuaje mwamke anaye kupenda kweli na yule anaye kuigizia, lakin mpaka sasa sijaona jibu lako, ukimia wako ni jibu tosha kuwa hakuna tofauti kati ya mapenzi ya kweli na ya kuigiza na ndio maana nime kuomba udhibitisho wa uaminifu wa mke wako umeshindwa kunipa kwa sababu huna uhakika na mapenzi ya mkeo kwako maana hujui iwapo ni ya kweli au ni ya kuigiza.
View attachment 2762747

Wakuogopa ni Mungu tuu. Hiyo teknolojia ni mawazo na maoni ya Ruge tuu yasiyo na uhalisia
 
Kwema Wakuu!

Bado nipo natoa mafunzo Kwa ninyi vijana wa Forex, Watoto wa kubet ambao Maisha yanawachanganya.

Vijana tatuteni Pesa kwaajili ya Wanawake wanaowapenda ili wawaheshimu na kuwatii. Elewa kuwa Pesa haimfanyi Mwanamke akutii (akupende) isipokuwa Pesa inachochea furaha ya mwanamke Kwa sababu ya kutimiza mahitaji yake ya kimwili.

Mwanamke hana nguvu yoyote Kwa mwanaume anayempenda. Hilo weka akilini. Ongezea Hii, Mwanamke siku zote humtii na kumsikiliza mwanaume anayempenda.

Kama Mwanamke Hakupendi atakuigizia anakupenda lakini unajua nini kitatokea?

Sikiliza, Mwanamke ataigiza anakutii Kwa Pesa zako kipindi cha mwanzoni tuu na hakitazidi miaka kumi. Hapo atatafuta na kuyaona mapungufu yako hasa ya kimwili, mathalani Hupigi show vizuri au unapiga Nusu dakika kama jogoo wa Segera. Au ataona unakakibamia Kako na hapo ndipo utamuelewa vizuri Mwanamke.

Mwanamke akikupenda muda wote atawaza jinsi ya kukusaidia uwe na furaha. Yaani ukiumia naye anaumia. Ukisema anafanya. Hakunaga show mbovu Kwa Mwanamke anayekupenda. Atakutii Kwa sababu anakupenda.

Zingatia upendo wa Mwanamke na Sisi wanaume ni tofauti. Kutokana na utofauti wa kihisia na kiakili uliopo baina ya Mwanamke na Mwanaume.

Pesa na utajiri unavyotafuta ili uheshimiwe na kutiiwa elewa kuwa unatafuta utiifu na heshima ya mchongo (bandia) na uhakika ni kuwa siku ukiwa na hizo Pesa utagundua kuwa licha ya kuwa unapesa lakini bado Mwanamke uliyenaye hakutii na hakuheshimu. Utajaribu kutafuta wapi umekosea lakini kimsingi ni kuwa ulioa Mwanamke asiyekupenda.

Ukiwa na Akili na ukapata neema ya Mungu basi Oa Mwanamke anayekupenda kisha tafuta Pesa kwaajili yake. Kwa sababu huyo atakutii na kuheshimu hata usipozipata hizo Pesa zenyewe.

Wapo Watu wapo kwenye majumba makubwa ambao wanalazwa Mzungu WA nne na Wake zao, tena ukimuona huyo Mwanamke sio ajabu hata form four hajafika, kazi Hana lakini Moto anaomuwashia Mumewe sio Pouwa.
Kisa na mkasa hakumpenda, alipendea Pesa zake. Au Mwanamke aliolewa ili tuu naye aonekane kaolewa, au muda ulikuwa umemuishia.

Ndugu zangu, hata uwe Rais au Mfalme wa Hii Dunia. Kama Mkeo hakupendi jua upo kwenye shimo la Giza, utapasuka tuu. Ni suala la muda. Kanuni kuu ya Wanawake ni kukusubiri pale nguvu zako zinapokuwa zimekuishia, miaka hamsini hivi, huna cha kumfanya, na kama utaleta ngebe Watoto wataungana na Mama Yao kukudhibiti wewe.

Zingatia kuwa, Mkeo akikupenda lazima ataungana na wewe kupambana na maadui wowote hata wangekuwa ni Watoto mliowazaa. Lakini kama alikuwa hakupendi hiyo vita umepoteza.

Ndio maana nawaambia Vijana, kamwe usilazimishe Mapenzi. Mwanamke kama hakupendi usi-force. Ni hatari.
Bahati nzuri ni rahisi kujua Kabisa Mwanamke ambaye anakupenda na ambaye hakupendi. Ila Kwa Wanawake ni ngumu kumtambua mwanaume anayempenda.

Ujanja tulionao wanaume ni nyakati za Ujana mpaka miaka arobaini hivi. Baada ya hapo Maisha yetu yapo mikononi mwa Wake na watoto wetu.

Sijasema msitafute Pesa. Tafuteni Sana. Lakini Pesa haina maana yeyote kama Mkeo hakupendi. Anakuigizia utiifu na kutafuta areas of your weakness.

Na Mwanaume akishajua kuwa Mkewe kajua udhaifu wake labda Hana Ile uwezo na nguvu za kiume au anaupungufu wa kimaumbile anakuwa ameshaingia katika mtego wa Mwanamke.

Kijana, Mwanamke anayekupenda atakuvumilia na kukutii hata ukiwa katika nyakati za hatari. Au siku unaudhaifu au akikukuta na udhaifu Fulani. Hutakuwa mtumwa wake Bali utakuwa mume kwake milele zote.

Kijana elewa kuwa Mwanamke haogopi kufokewa na Mwanaume asiyempenda. Yaani kama Mkeo hakupendi hata ukimfokea wala haumii Sana. Hata ukijiliza liza ooh sijui MKE wangu hufuati maadili, hunisikilizi. Hayo hayatilii maanani. Ni Kwa sababu hakupendi, na kama hakupendi automatically hakusikilizi. Hajajisalimisha kwako.

Sio ajabu Mwanamke anaweza akawa amekosea na bado asikuombe Msamaha ni Kwa sababu Hakupendi.
Elewa kuwa Mwanamke akikupenda hata kama huna Pesa na amekuzidi Pesa atakupa Pesa zake ili umpe yeye😀😀.
Lakini kama hakupendi hata umpe Dunia nzima kamwe hataridhika bado ataona kuna Pesa umeificha somewhere na unahonga Wanawake wengine.

Usiombe uumwe kisukari au presha ambayo ikafifisha nguvu za kiume alafu ulioa Mwanamke asiyekupenda. Utajuta Maisha yako yote.
Lakini Mwanamke akikupenda, huna hofu yoyote. Ni kama Mwanamke akipendwa na Mwanaume hapaswi kuwa na hofu.

Unaweza ukawa na Pesa nyingi Sana lakini nyumba yako ikawa inaongozwa na Mwanaume mwingine nje ya nyumba yako. Yaani hiyo inaitwa Ukoloni mamboleo katika Ndoa.
Mkeo hakupendi na anamwanaume mwingine anayempenda ambaye huenda umemzidi kipato na mamlaka. Kila unachokifanya huyo Mwanaume anakijua, na pengine maamuzi mengine anayotoa Mkeo hapo nyumbani yanatoka Kwa huyo Mwanaume.

Ndio maana inashauriwa mwanaume asisikilize ushauri wa Mkewe hasa Yule MKE ambaye anajua kabisa hampendi na alifosi Mapenzi. Kwa sababu Wanawake wengi Duniani hawawezi kufanya maamuzi pasipo kuchukua ushauri Kutoka Kwa Watu wanaowapenda ambao ndio huwaamini. Hivyo ni rahisi Mkeo kuchukua ushauri Kwa Mama yake, Shoga yake au Ex wake aliyempenda Sana.

Vijana tatuteni Pesa ili mtumie na Wanawake ambao wanawapenda ninyi hata kama msingekuwa na hizo Pesa.
Mkiendelea kubisha Mimi simo.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam


Wewe mwenyewe unamtii Bocy wako kwa dhati na umpendi.
 
Nkaushauri soma vitabu viwili (One Thousand and One nights} "Alf lela u lela" na "The perfumed Garden".

Ukisoma vitabu hivyo utaelewa kuwa mwanamke hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Aahaaaaa
 
Back
Top Bottom