Mwanamke hupata hisia ya ngono anapomuona mwanaume akiwa mtupu?

kwanini nitafute akili ya kuishi na mtu?

Huyo mtu kwanini ahitaji akili za mtu mwingine ili kuishi nae, kuna shida kidogo
 
Hivi nyie hili tatizo la ajira na mitaji kwani hamulioni au munaandika tu kwasbabu ni wanawake, kwa namna hii wanangu endeleni kupiga na kusepa
 
Sio kwel haya maneno yanaaribu mind set zetu tunaacha kupigania ndoto zetu tunapigania wanawake.
 
Hakuna mwanamke mweny hisia siku hizi,mikopo na marejesho ishakwapua hisia zote...wengi hapa watakuambia uwape hela wapate hisia,kumbe nyuma ya pazia wanataka tuwape pesa wakalpe mikopo na marejesho...TOO SAD INDEED!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…