Mwanamke hupata hisia ya ngono anapomuona mwanaume akiwa mtupu?

Mwanamke hupata hisia ya ngono anapomuona mwanaume akiwa mtupu?

Nijibu na wale wanaochukua zile wanazohudumiwa wanawapelekea wengine wasio na kitu. Wanalipia mpaka chumba wakapeane Raha za dunia.
Sijakataa najua hata jogoo anatoa kitu .
Ila na wewe nijibu hapo inakuwaje.

Yule jamaa wa mwanza buswelu mkewe aliondoka akarudi kwa ex wake wakaenda kufurahia na huku home ana kila kitu. Missed call42 baadaye risasi Saba.

Pia uelewe jef Benzos pamoja na bill gate wameachana na wake zao so hapo shida Ni Nini na wao walishindwa kutoa huduma ama walikuwa bado hawajakuwa kufahamu majukumu yao


Ukiwa na akili ukakosa uwezo wa kutunza familia unaonekana kama mwehu. Ukiwa na pesa ukakosa akili za moyoni mwanamke unayempenda atakuchacha au atakusaliti

1 PETRO 3:7
"Kadhalika ninyi waume, KAENI NA WAKE ZENU KWA AKILI; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
 
Wabinafsi wale, hawana akili ya kuishi na wanawake. Wameingiza kuwa na care na protection ila hawana lolote.

Ukweli unabaki paleeeee - Ukitaka kuishi vizuri na mwanamke akakuona kama Mfalme unatakiwa kuwa na Akili na uwe na uwezo wa kumtunza pia.

Ukiwa na akili ukakosa uwezo wa kutunza familia unaonekana kama mwehu na utaachwa au kuibiwa tuu. Ukiwa na pesa ukakosa akili za moyoni mwanamke unayempenda atakuacha au atakusaliti
Kama namuona Masanja na Nick wa Saimon.
 
Hapana, anza kisaikolojia kwanza mpe mwanamke uhakika wa maisha. Mpe vitu vizuri, mpe pesa, muweke pazuri..... bila hata kukuona uchi mtupu atapata hisia


Wanawake wanahitaji care na protection kwanza, wakipata hivyo huko kwingine wewe mwanaume utafurahi mwenyewe
Sasa kama hivyo vitu anavyo ? , Unavyosema mwanamke mpe uhakika wa maisha unakosea, unakuwa umejumuisha wanawake wote, Ushauri wako huu ni kwa wanawake wa Tanzania, jukumu la kumpa uhakika wa maisha mwanamke ni jukumu la mzazi wake, waAfrika tunge lijua ili watoto wetu wasinge teseka.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa na akili ukakosa uwezo wa kutunza familia unaonekana kama mwehu. Ukiwa na pesa ukakosa akili za moyoni mwanamke unayempenda atakuchacha au atakusaliti

1 PETRO 3:7
"Kadhalika ninyi waume, KAENI NA WAKE ZENU KWA AKILI; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
Akina mama hamjambo tu kujua mafungu yanayowatetea,
Iyo kuitunza familia nalewa,hata mke wangu Kama anafanya kazi hawezi ungua juani Bora nifanye kazi hata kama ni saa 24 nisilale Ila yeye asipate shida mno
 
Mwend

Mwendo wa mwanamume na mwanamke latika uhusiano ni zaidi ya akili za kawaida za kibinadamu. Ndiyo maana siyo wote wanaoumaliza mwendo huu salama mpaka kufikia uzeeni ama kutenganishwa na kifo mkuu.
Umeongea Jambo la maana mno ambalo huwezi eleweka kwa jicho ama ubongo wa nyama tu,yaani Ni ngumu mtu kukuelewa Ila Bora wewe umehitimisha hitimisho zuri
 
Sasa kama hivyo vitu anavyo ? , Unavyosema mwanamke mpe uhakika wa maisha unakosea, unakuwa umejumuisha wanawake wote, Ushauri wako huu ni kwa wanawake wa Tanzania, jukumu la kumpa uhakika wa maisha mwanamke ni jukumu la mzazi wake, waAfrika tunge lijua ili watoto wetu wasinge teseka.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app

Upendo ni kutoa
Kama ulimuona ukaona awe wako kipo unachopokea toka kwake, na wewe toa bila kulalamika.

Vinginevyo mwache kwa wazazi wake waliojitoa kwake tangu kuzaliwa
 
Akina mama hamjambo tu kujua mafungu yanayowatetea,
Iyo kuitunza familia nalewa,hata mke wangu Kama anafanya kazi hawezi ungua juani Bora nifanye kazi hata kama ni saa 24 nisilale Ila yeye asipate shida mno
Hatujitetei ila ndio muongozo
Barikiwa kwa kubeba majukumu yako
 
Back
Top Bottom