livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,955
- 5,616
Saizi mambo yamebadilika hisia za ngono zimeamia kwenye pesa.
Hisia za Ngono Zinaanzia kwenye tako , trust me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saizi mambo yamebadilika hisia za ngono zimeamia kwenye pesa.
Umesema uhalisia, kwa uzoefu wangu mdogo nakubaliana na wewe japo wachache kati yao wanaojiweza kwa kipato wanahitaji care zaidi. Ila mambo hayajawahi kwenda kiwepesi pasipo kipato my dada.
Mfano mie Sina kitu so sihitaji nikupende jamani. Ama kipato changu nachoma mahindi napata hela ya kula tu so Ina Mana siwezi penda.Ndio maana yake
Upendo ni kutoa
Hii Ni kauli ya mwanamke ambaye hajamkubali mwanaume 100% TUSEME UKWELi.Upendo ni kutoa
Mfano mie Sina kitu so sihitaji nikupende jamani. Ama kipato changu nachoma mahindi napata hela ya kula tu so Ina Mana siwezi penda.
Na nyie huwa mnatoaga kweli ama ndio Ile ya kuhesabu kuwa nimekubudumia kiasi fulani
Hii Ni kauli ya mwanamke ambaye hajamkubali mwanaume 100% TUSEME UKWELi.
Sema inatumika Kama kivuli ama kuficha mtu kujipatia mahitaji kisa Cha mahusiano.
Inakuwaje unaweza unampatia hela yako analipia hotel nzuri mno anamuita mwingine akamsuuze moyo.
Kutoa kupo Ila sio kuwa Ni kipaumbele.
Mie nikikitongoza ukanieleza zako hata nusu saa haijasha ndio kwa heri Mana najua sipendwi.anayependwa hombwi kitu Bali Ni dudu tu anaombwa kuwa leo uje kunikuna
Naam, akili za moyoni + uwajibikaji kama baba katika familia. Bila kupevuka akili, uwezo wa kutatua changamoto unazidiwaWabinafsi wale, hawana akili ya kuishi na wanawake. Wameingiza kuwa na care na protection ila hawana lolote.
Ukweli unabaki paleeeee - Ukitaka kuishi vizuri na mwanamke akakuona kama Mfalme unatakiwa kuwa na Akili na uwe na uwezo wa kumtunza pia.
Ukiwa na akili ukakosa uwezo wa kutunza familia unaonekana kama mwehu na utaachwa au kuibiwa tuu. Ukiwa na pesa ukakosa akili za moyoni mwanamke unayempenda atakuacha au atakusaliti
Nijibu na wale wanaochukua zile wanazohudumiwa wanawapelekea wengine wasio na kitu. Wanalipia mpaka chumba wakapeane Raha za dunia.Mwanaume anayeijua nafasi yake halalamiki wala kuumia, anafurahia jukumu la kumhudumia na kumtunza mwanamke wa maono yake
Ukija kukua utanielewa
Mimi nikiona imetuna tuna ndani ya nguo tu nachanganyikiwa. Ndio maana niliacha kwenda mazoezi. Nguo za mazoezi zinawachora sana maumbile yao.
Unaenda kujitamanisha tuUmenipa chimbo jipya
Mwendo wa mwanamume na mwanamke latika uhusiano ni zaidi ya akili za kawaida za kibinadamu. Ndiyo maana siyo wote wanaoumaliza mwendo huu salama mpaka kufikia uzeeni ama kutenganishwa na kifo mkuu.Nijibu na wale wanaochukua zile wanazohudumiwa wanawapelekea wengine wasio na kitu. Wanalipia mpaka chumba wakapeane Raha za dunia.
Sijakataa najua hata jogoo anatoa kitu .
Ila na wewe nijibu hapo inakuwaje.
Yule jamaa wa mwanza buswelu mkewe aliondoka akarudi kwa ex wake wakaenda kufurahia na huku home ana kila kitu. Missed call42 baadaye risasi Saba.
Pia uelewe jef Benzos pamoja na bill gate wameachana na wake zao so hapo shida Ni Nini na wao walishindwa kutoa huduma ama walikuwa bado hawajakuwa kufahamu majukumu yao
Umenipa chimbo jipya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamani unachungulia ma-tako yake ya Nini?Mhhhh hisia za ngono kwa yule unampenda sio ovyo ovyo.
Unakuta mwingine tako limejaa upele upele hisia mtu unazitoa wapi.
Eeeh Hannah🙄🙄yaani ukaacha na kwenda gym kuepuka vishawishi🤣🤣🤣?kwa hiyo ulikuwa unasisimka tu?Mimi nikiona imetuna tuna ndani ya nguo tu nachanganyikiwa. Ndio maana niliacha kwenda mazoezi. Nguo za mazoezi zinawachora sana maumbile yao.
Unajua hawa wanaume wanapenda sana kutusema. Na sie tuwe tunawakomesha😂😂😂😂😂7
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamani unachungulia ma-tako yake ya Nini?