Mwanamke hupata hisia ya ngono anapomuona mwanaume akiwa mtupu?

Mwanamke hupata hisia ya ngono anapomuona mwanaume akiwa mtupu?

Wabinafsi wale, hawana akili ya kuishi na wanawake. Wameingiza kuwa na care na protection ila hawana lolote.

Ukweli unabaki paleeeee - Ukitaka kuishi vizuri na mwanamke akakuona kama Mfalme unatakiwa kuwa na Akili na uwe na uwezo wa kumtunza pia.

Ukiwa na akili ukakosa uwezo wa kutunza familia unaonekana kama mwehu na utaachwa au kuibiwa tuu. Ukiwa na pesa ukakosa akili za moyoni mwanamke unayempenda atakuacha au atakusaliti

Umezunguka sana, sema neno moja tu na utaeleweka, hela ha haaaa

Hela ha haa inatosha.. Siku hizi kila mwanaume mwenye hela ana akili
 
Umalaya tuu, hela haiwezi mfanya mwanamke akawa na hisia na mwanamme.

Kama unapata hisia za mapenzi ukipewa hela basi wewe huna tofauti na kahaba anayejiuza.

Wabinafsi wale, hawana akili ya kuishi na wanawake. Wameingiza kuwa na care na protection ila hawana lolote.

Ukweli unabaki paleeeee - Ukitaka kuishi vizuri na mwanamke akakuona kama Mfalme unatakiwa kuwa na Akili na uwe na uwezo wa kumtunza pia.

Ukiwa na akili ukakosa uwezo wa kutunza familia unaonekana kama mwehu na utaachwa au kuibiwa tuu. Ukiwa na pesa ukakosa akili za moyoni mwanamke unayempenda atakuacha au atakusaliti
 
Umalaya tuu, hela haiwezi mfanya mwanamke akawa na hisia na mwanamme.

Kama unapata hisia za mapenzi ukipewa hela basi wewe una tofauti na kahaba anayejiuza.
Unabishaje na hujawahi kuwa mwanamke?
 
Hapana, anza kisaikolojia kwanza mpe mwanamke uhakika wa maisha. Mpe vitu vizuri, mpe pesa, muweke pazuri..... bila hata kukuona uchi mtupu atapata hisia


Wanawake wanahitaji care na protection kwanza, wakipata hivyo huko kwingine wewe mwanaume utafurahi mwenyewe
Ukimpa vyote hvyo wew utakuw umebakiw na Nguvu za kiumee kidogooooooooo na muda mdogo wa kuwa nae wakt yeye nyege zake zipo juuuu kitachofata utaniambia

Hawa viumbe hawatabilik Tuu
 
Back
Top Bottom