Mwanamke huwezi pata mwanaume anayekupa mahitaji yote muhimu; na mwanaume huyohuyo aweze kula bata, kujiselfisha na kujipostisha na wewe kila wakati

Mwanamke huwezi pata mwanaume anayekupa mahitaji yote muhimu; na mwanaume huyohuyo aweze kula bata, kujiselfisha na kujipostisha na wewe kila wakati

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Heshma kubwa na shukrani nyingi kwa wanaume wote wanaotutunza na kutupatia kila kitu kinachohitajika nasisi na familia, na heshma kwa wanawake wote wanaowaelewa wanaume wa aina hii na kuwasaidia kufikiria zaidi, kutafuta zaidi, na kuwatunza wanaume wao pamoja na mali wanazozitafuta




Kwa vijana wetu wa kiume wajue tuu kwamba kazi ndio maisha na heshma ya mwanaume

Kwa vijana wetu wa kike watambue mahusiano mazuri na ndoa yanajengwa na uwezo wa kubeba majukumu sio uwezo wa kula bata

Kwa wanawake wenye bahati ya kupata wanaume hawa watafutaji; waombeeni na watunzeni, ukimtesa au usipomuelewa huyo ataishia kupata msongo wa mawazo na kufa halafu kupata mwingine sahau!


Pasaka njema
 
Ahsante Sana
Nakazia hapo kwa wanaume..Mungu azidi kuwapigania wanaume wa Aina hiyo..awatangulie kwenye kila hatua zao .. awabariki kila watokapo majumbani na kurudi kwenye kutafuta riziki..nasi wanawake tujipongeze pia.. hallelujah!!!
Pasaka njema kwapo pia mama ake na D
 
Ahsante Sana
Nakazia hapo kwa wanaume..Mungu azidi kuwapigania wanaume wa Aina hiyo..awatangulie kwenye kila hatua zao .. awabariki kila watokapo majumbani na kurudi kwenye kutafuta riziki..nasi wanawake tujipongeze pia.. hallelujah!!!
Pasaka njema kwapo pia mama ake na D

Amina Yna2 ♥️

Wabarikiwe mashambani, wabarikiwe mijini

Nimekuwekea na kavideo kengine hapo😍
 
Heshma kubwa na shukrani nyingi kwa wanaume wote wanaotutunza na kutupatia kila kitu kinachohitajika nasisi na familia, na heshma kwa wanawake wote wanaowaelewa wanaume wa aina hii na kuwasaidia kufikiria zaidi, kutafuta zaidi, na kuwatunza wanaume wao pamoja na mali wanazozitafuta

View attachment 2191526


Kwa vijana wetu wa kiume wajue tuu kwamba kazi ndio maisha na heshma ya mwanaume

Kwa vijana wetu wa kike watambue mahusiano mazuri na ndoa yanajengwa na uwezo wa kubeba majukumu sio uwezo wa kula bata

Kwa wanawake wenye bahati ya kupata wanaume hawa watafutaji; waombeeni na watunzeni, ukimtesa au usipomuelewa huyo ataishia kupata msongo wa mawazo na kufa halafu kupata mwingine sahau!


Pasaka njema
Hii elimu wengi hawana..
Utasikia '...mbona shoga angu anapelekwaga taarab' 🙄
Duuh! Unabaki umeduwaa!
 
Kuna kula bata;
halafu kuna kula bata KILA MUDA, kujiselfisha na kupost
Ili uweke kula bata maana yake una jishughulisha na kitu ambacho kinakuingizia kipato cha maana...hivyo basi huwezi kuwa unakula bata kila muda unless wee ni retired man ulishamaliza mihangaiko sasa ni mavuno tuu....na hawa ndio wanaume ambao kila mwanamke anawataka
 
Back
Top Bottom