mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
- Thread starter
- #21
Ili uweke kula bata maana yake una jishughulisha na kitu ambacho kinakuingizia kipato cha maana...hivyo basi huwezi kuwa unakula bata kila muda unless wee ni retired man ulishamaliza mihangaiko sasa ni mavuno tuu....na hawa ndio wanaume ambao kila mwanamke anawataka
Kuna wanaume wanaokula bata, selfie za kutosha, umri mdogo, majukumu hawana....... wewe huwajui