Mwanamke huwezi pata mwanaume anayekupa mahitaji yote muhimu; na mwanaume huyohuyo aweze kula bata, kujiselfisha na kujipostisha na wewe kila wakati


Kuna wanaume wanaokula bata, selfie za kutosha, umri mdogo, majukumu hawana....... wewe huwajui
 
Kuna wanaume wanaokula bata, selfie za kutosha, umri mdogo, majukumu hawana....... wewe huwajui
Eeh na wanawake kwani hamuwapendi hao....sasa sii bora ule bata kabla majukumu hayajakuandama
 
Hata Kama ni Uhuru wanawake nyinyi ni vigeugeu mod msiupin huu uzi wakibadilika mtapata kazi tena ya kuupinua..😂
Mnamano matamu ngoja muanze kutupiga na vitu vizito kichwani sasa..🤣

Pale unapopewa mambo mazuri na mume lazima maneno yawe matamu
Usiogope KENZY, kikubwa fanyeni kazi
 
"Kwa wanawake wenye bahati ya kupata wanaume hawa watafutaji; waombeeni na watunzeni, ukimtesa au usipomuelewa huyo ataishia kupata msongo wa mawazo na kufa halafu kupata mwingine sahau! "

Ushauri wa hekima na busara sana

Ubarikiwe sana
 
Babe, naona umeamua kuniandika na uzi kabisa....😋
Asante mwali, na bwana Yesu atutunze pamoja na watoto wetu

Wacha tuu nikuandikie uzi maana duniani mko wachache mno
Yesu aendelee kukutunza kwa afya na amani ya moyo wako
 
Ukiwa bize,unagongewa hovyohovyo na wanaotaka kulelewa,wanawake wengi hadi aje afikiri kama mtoa mada,ujue kasjafanya ujingaujinga mwingi,akakaa alajitafakari,akaona nimefanya ujinga vya kutosha,ngoja nitulie,tena unaweza ukakuta katulia kwa muda,akikumbukia anarudia japo si kama zamani.Dunia ngumu sana.
 

Umejitahidi kuwaza lakini ulichowakilisha hapo ni ujinga wa wewe mwenyewe na maisha yako
Mawazo kama yako yanatolewaga na wale wavulana ambao walioa au kuingia kwenye mahusiano bila kujitambua wala kujua maana ya mahusiano na majukumu yake.

Kazi kwako kujitafakari jinsi ya kutafuta mafanikio na kutunza mke na familia au endelea kumchunga uliyemchagua na kuwa mbeba mapochi ya mkeo ukifikiri ndio kumtuliza.... hadi utakapokujashtuka kumekucha🤣🤣🤣🤣

Nakuongezea na ushauri wa baba wa kiroho

Your browser is not able to display this video.
 
Kama mke nimepata
 
Inabidi tukupe heshima yako kwa kukuandika wewe na hili chapisho.lako.katika historia ya nchi kwa faida yetu sisi vijana wa kiume na kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…