Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Kwamba ndio maana jamaa bado yupo singo hadi leo kumbe ni mbwa mwitu aliyevaa vazi la kondoo
 
Nyemo yupo kwenye posters za anta sports niliona posters zake sarit centres nairobi
Jamaa yupo vizuri tu ila Tanzania hadi mtu alime mpunga au awe na duka la nguo ndio wanaona kama anaingiza pesa. Fikiria kuna marketing agencies Tanzania zinazotoa service anazotoa nyemo na hawana deal kama za GSM na bado wana_survive mjini, vipi kwa yeye anayesimamia communications zote za GSM na bado ni influencer wao ?

Nyemo anaingiza pesa nzuri tu
 
DUKA LIPO PALE VIJANA KINONDONI PEMBENI YA MUDY SOUND...
SHANGAZI ALIKUA HOT CAKE SEMA MGANGA MIKUFU ALIJUA KUCHEZA NA NDUMBA VIZURI KUWAZIDI WENZIE 🤣🤣🤣
KIGOSI HANA HAMU 🤣🤣🤣
Huwa napata mkanganyiko linalo kuja swala la existence of ndumba 😊😊😔😔

Ivi ndumba is real or a scam? Maoni yenu wadau
 
Ukiingia CCM jitahidi sana usikiuke miiko.

alikiuka miiko huyu sister na hiyo ndio sababu kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…