Generetaion Z
JF-Expert Member
- Oct 2, 2022
- 343
- 874
Dogo akikuwa aende akakane ilo suala waendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee apo dogo hongera yake aya mambo yapo aisee anamtumia dogo aezavyo ivi ajampa ndogo kweliAlikuwa anavuta mkwanja kila wikeend na alikuwa handsome haswa.
Mi alinambia kwakuwa nikuwa karibu naye nikimshauri mambo ya shule na maisha hadi ndio akanifungukia hivyo
Ilikuwa ni siri yake tu na mwenzi wake.
Lakini kikubwa alikuwa anapata pesa za kutumia.
Kwahiyo nimefeli kwenye somo la mvuto?Hata samaki ili avuliwe anaanza kuvutiwa ndo aingie kwenye ndoano.
🤣
12 yrs ni mtoto. Anahesabika kama Hana akili ya kufanya maamuzi sahihi. Hivyo huyo mdada alitumia huo mwanya kumlaghai au kumrubuni. Jambo hili ni ubakaji !Siungi mkono ila naona kuna ukakasi.
Kubaka maana yake ni kumwingilia mtu kimwili bila ridhaa yake, siyo?
Kwa mwanaume Ili umwingilie mwanamke kimwili ni uwezo wako tu kusimamisha, hapo asili itaruhusu mwingiliano hata kama mwanamke hakuridhia.
Tuendelee taratibu
° Mwanamume akiamua anaweza kufanya mapenzi na mwanamke hata kama mwanamke huyo hakuridhia (ubakaji)
° Mwanamke yeyote kwa maamuzi yake hawezi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote kwa namna yoyote kama mwanaume husika hakuridhia.
Maumbile ya asili hayamruhusu mwanaume kufanya mapenzi kwa kulazimishwa bila yeye kuridhia kwanza. It means dogo aliridhia kwanza ndio akafanya. Naona kama tafsiri ya ubakaji inakosa mashiko.
Vipi hii hatuwezi kuiita kwa jina lingie lakini sio mwanamke kabaka?
Angekuwa hasikii kusingekuwa na muendelezo kwa miaka mitatu. Tena inawezekana alikuwa anaenjoy chururu ya dogo kuliko chururu za wakubwa wenzie. Pambaf zakeSa hiko kidudu hata alikuwa anakisikia kwelii
Samahani dada nina swali, nyie wanawake mnachukuliaje wanaume ambao wamewazidi sana umri ila sio wababu, kuna binti nimevutiwa nae, ila nimemzidi Huyo binti miaka 15, binti ana miaka 20, mm nina miaka 35, nikimtongoza huyo binti, huyo binti hatoniona mm wa ajabu?Me napenda libolo kubwa kubwa sio kama ka huyo dogoo
Kwanza vhavijajua kutumia tuvitu tuvitu Mungu alivyowapati
Me wanaume naopendaga wawe kuanzia 35 ndo najiskia niko na ME
Sio unakaa na ka mtu unaanza kupigwa vizinga vya kijinga
Elewa vzur kwanz hoja ya bro kisha urudChini ya 18 mkuu hata kama mmekubaliana ila ikabainika unakala kande za maisha
Nyie mnabaka hadi chupa za soda, au matango tena haitoshi mnayafanyia ukatili wa kuyapasha moto kidogo. (kidding)Nimemshangaa kwa kweli wao wanabaka mpaka kuku lakini wanajiona wasafi inasikitisha.
Kila mtu Ana mtu wake anayempenda...me mdogo kwangu au aliyenipita kiduchu au tunayelingana big no.Samahani dada nina swali, nyie wanawake mnachukuliaje wanaume ambao wamewazidi sana umri ila sio wababu, kuna binti nimevutiwa nae, ila nimemzidi Huyo binti miaka 15, binti ana miaka 20, mm nina miaka 35, nikimtongoza huyo binti, huyo binti hatoniona mm wa ajabu? maana tukikutana Huyo binti ananipa Shikamoo, je huyo binti hata akinikubalia hatakuwa amenipendea pesa kweli, maana nahisi ataniona mm mkubwa sana kwake Nakadori
alikuwa hapendi ndomana akaenda mwambia mama yake...[emoji16]daah sasa kwani aliewaambia dogo alikuwa hapendi nanii 😀 😀 😀
Labda ni mashart ya mganga.Angekuwa hasikii kusingekuwa na muendelezo kwa miaka mitatu. Tena inawezekana alikuwa anaenjoy chururu ya dogo kuliko chururu za wakubwa wenzie. Pambaf zake
kuku gani amebakwa?????Nimemshangaa kwa kweli wao wanabaka mpaka kuku lakini wanajiona wasafi inasikitisha.
We una team libolo kubwa eehKwa kauli yako na fit kabisa kutafuna hilo apple
ALIJUA mama atafurahi kusikia mwanae anakulaa urodaa ukoo...alikuwa hapendi ndomana akaenda mwambia mama yake...[emoji16]
Size yako kabisaWe una team libolo kubwa eeh
Ila sio kama la panda kwelii??