Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Kakata sealed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kashtakiwa kwa kujibaka!Siungi mkono ila naona kuna ukakasi.
Kubaka maana yake ni kumwingilia mtu kimwili bila ridhaa yake, siyo?
Kwa mwanaume Ili umwingilie mwanamke kimwili ni uwezo wako tu kusimamisha, hapo asili itaruhusu mwingiliano hata kama mwanamke hakuridhia.
Tuendelee taratibu
° Mwanamume akiamua anaweza kufanya mapenzi na mwanamke hata kama mwanamke huyo hakuridhia (ubakaji)
° Mwanamke yeyote kwa maamuzi yake hawezi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote kwa namna yoyote kama mwanaume husika hakuridhia.
Maumbile ya asili hayamruhusu mwanaume kufanya mapenzi kwa kulazimishwa bila yeye kuridhia kwanza. It means dogo aliridhia kwanza ndio akafanya. Naona kama tafsiri ya ubakaji inakosa mashiko.
Vipi hii hatuwezi kuiita kwa jina lingie lakini sio mwanamke kabaka?
Umenikumbusha picha moja ilichorwa miaka ya nyuma,mwanamke fulani alikutwa na hatia hivo ikaonekana ahukumiwe kifo, mtetezi wake akamvua nguo na kuuliza wazee wa mahakamaAisee, matumizi mabaya ya jela, aje huku Mvuti mimi nimejaa tele anitumie mpaka basi
du!!!!Mahakama ya Rufani Tanzania imebariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa mwanamke mkazi wa Morogoro mjini, Shani Suleiman (35) kwa kosa la kumbaka mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12.
Ushahidi unaonyesha mwanamke huyo alikamatwa baada ya mama mzazi wa mtoto huyo, akiwa na rafiki yake, kuandaa mtego katika nyumba ya mwanamke huyo ambapo walirekodi tukio hilo kwa kutumia simu janja.
Hii ni baada ya mtoto kumweleza mama yake kuwa mama Shani, maarudu kama Mama Shafii amekuwa akimwambia amwingilie mara kwa mara na wakati mwingine kinyume cha maumbile na mchezo huo aliufanya kwa miaka mitatu hadi mwaka 2019.
Chanzo: Mwananchi
Kama mpaka wanawake wameanza kubaka yunahitaji Rehema za Mwenyenzi MunguMahakama ya Rufani Tanzania imebariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa mwanamke mkazi wa Morogoro mjini, Shani Suleiman (35) kwa kosa la kumbaka mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12.
Ushahidi unaonyesha mwanamke huyo alikamatwa baada ya mama mzazi wa mtoto huyo, akiwa na rafiki yake, kuandaa mtego katika nyumba ya mwanamke huyo ambapo walirekodi tukio hilo kwa kutumia simu janja.
Hii ni baada ya mtoto kumweleza mama yake kuwa mama Shani, maarudu kama Mama Shafii amekuwa akimwambia amwingilie mara kwa mara na wakati mwingine kinyume cha maumbile na mchezo huo aliufanya kwa miaka mitatu hadi mwaka 2019.
Chanzo: Mwananchi
Muombe Mungu mtoto wako asifanyiwe huu ukatili, ni kitendo cha kukemeaDogo nae...
Si angesema tumsaidie tuu...Eeh
Sa kashapunguza mzigo mtaan.
Tena Maza alikuwa anatoa dhahabu kabisa ikojolewe dah.
Dogo sija muelewa ujuee
Kivuta samaki ni chochote
Babu weee me najua ww ni mzoefu unaelewa haraka kumbe bado tu kuelewa mzabzab naomba umueleweshe babu. Ada ya mja kulia muungwana ni vitendo....hapo napo bado?
Huwezi jua, watoto wengine wamejaliwa ile mbaya kabisa 😄Sa hiko kidudu hata alikuwa anakisikia kwelii
Kisisimame kwa sababu gani 😅mmh miaka 12 kidude kilikuwa kinasimama inafikirisha kwa kweli
Umri ndo uwe mkubwa
LabdaHuwezi jua, watoto wengine wamejaliwa ile mbaya kabisa 😄
hahahaha,Umenikumbusha picha moja ilichorwa miaka ya nyuma,mwanamke fulani alikutwa na hatia hivo ikaonekana ahukumiwe kifo, mtetezi wake akamvua nguo na kuuliza wazee wa mahakama
Mates,do you really want to kill this? ,Walimsamehe yule mwanamke
Haya ntakwambia kifuatacho ITVSize yako kabisa
Mi nishafanyiwa sanaa na dada wakazi Nyumbani na sikuwahi sema.Muombe Mungu mtoto wako asifanyiwe huu ukatili, ni kitendo cha kukemea
Mwanaume asiye na matatizo anaanza kusimamisha kuanzia wiki ya 16 akiwa tumboni mwa mama yake, alafu miaka 12 ndio ashindwe? Labda vitoto vya siku hizi vinazaliwa na matatizo?mmh miaka 12 kidude kilikuwa kinasimama inafikirisha kwa kweli