Mwanamke jela maisha kwa kumbaka mtoto wa kiume

Kwani hadi tendo litambulike kisheria kama ubakaji nini kinapaswa kuwa kimetokea? Navojua ubakaji unatokana na consent. Sasa bila consent, uume wa dogo ulisimama vp ili aweze kumla mama shafii?
 
All in all, nadhani kijana alikuwa na umbo kubwa la kuweza kutenda tendo la ndoa. Ki-umri ni mdogo lakini umbile i.e physique yake ni kubwa na maungo yake makubwa kuweza kusimama na kuwa inserted kwenye female sex organ
 
mama mtu mzima ameshindwa kulipata jibaba limkune hadi anabaka.!
 
Swala si kuridhia swala ni umri, hapo unachosema ni sawa na kumuajiri mtoto wa umri huo, ambapo ni kinyume na Sheria, kaa tafakari chukua hatua
 
Lakini akipata ukimwi utakuja kutuomba ushauri!!
 
Kwani hadi tendo litambulike kisheria kama ubakaji nini kinapaswa kuwa kimetokea? Navojua ubakaji unatokana na consent. Sasa bila consent, uume wa dogo ulisimama vp ili aweze kumla mama shafii?

Soma reply no 118 nimelijibu swali lako hapo juu kuna upotoshaji kwenye heading.
 
Chini ya miaka 18 sheria inasema ni kubaka iwe umepata nae moaka kakubali ila tafsir ni kubaka mana umri hujafika ktk kuchanganua zur na baya
 
Labda kwenye gang rape lakini mwanamke habaki kwa sheria zetu. It's merely sexual abuse
 
Mahakama ya Rufani Tanzania imebariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa mwanamke mkazi wa Morogoro mjini, Shani Suleiman (35) kwa kosa la kumbaka mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12...
Wakaandaa mtego, wakarekodi na tukio. Vp ikiwa huyo mwanamke ni mgonjwa
 
DUNIA SIMAMA NISHUKE

Mahakama ya Rufani Tanzania imebariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa mwanamke mkazi wa Morogoro mjini, Shani Suleiman (35) kwa kosa la kumbaka mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12.

Ushahidi unaonyesha mwanamke huyo alikamatwa baada ya mama mzazi wa mtoto huyo, akiwa na rafiki yake, kuandaa mtego katika nyumba ya mwanamke huyo ambapo walirekodi tukio hilo kwa kutumia simu janja.

Hii ni baada ya mtoto kumweleza mama yake kuwa mama Shani, maarudu kama Mama Shafii amekuwa akimwambia amwingilie mara kwa mara na wakati mwingine kinyume cha maumbile na mchezo huo aliufanya kwa miaka mitatu hadi mwaka 2019.
 
DUNIA SIMAMA NISHUKE

Mahakama ya Rufani Tanzania imebariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa mwanamke mkazi wa Morogoro mjini, Shani Suleiman (35) kwa kosa la kumbaka mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12...
kuna thread tayari humu tangu jana.
 
dogo atajajutia maisha yake..sema ss iv ana vile vinyege mshenzii..ngoja zipande zile za kikubwa asipokumbuka utamu wa mama shaff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…