Ujue hakujiumba yeye eeh! Hebu acheni ujinga!Ukute mwanamke mwenyewe Tako pasi, paja fito mguu wa juma nyoso, mbaya zaidi sura ya Toyota funcargo[emoji34]
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli sio wachaga wote, ila hawa wachache kama akina bushmammy wanaharibu sana,
halafu hata lugha yake tu anavyoandika utadhani msela wa kijiweni, huwezi kujua kama ni mwanamke.
Nahisi kutakua na walakini kwenye makuzi ya huyu mama au pengine alishatendwa sana na wanaume ila sidhani kama yupo sawa kiakili
[emoji3][emoji3][emoji3] nasoma comments tu hapa[emoji1787][emoji1787]umetangaza VITA YA NNE YA DUNIA upande wa pili[emoji28][emoji28]
Wewe na wewe sijiu umetokea na wap maana badala ya kuja na hoja unatoka na matusi au kisu kimegonga kwenye mfupa?Huyo mwanaume ni mjinga na mpumbavu kuwa na mwanamke Kama wewe
Wa kulaumiwa ni huyo mwanaume alikosea kuchagua
Ndiyo wale wanaume wanaoa tako badala ya mke
Utavuna ulichopanda
Mdada mbona wanitukana, wewe kwa akili yako unafikiri nikileta mada hapa najiandikia mimi au? Umeona hali ya mtaani wanawake wanavyopata shida kutokana na wanaume wa siku hizi kuwa mizigo mizito kama zege?Huyo mama huwa ni kipensi suruali, sijui hata kama ana mume maana ni katili kwa maandiko yake na she does not sound as a woman, she is not humble halafu hana respect kwa wanume, yeye anawaza pesa tu na thamani ya mume kwake sio utu wala upendo bali ni pesa hata kama ni ya ushirikina au ya wizi
I am not trying to judge he in any ways ila najaribu kusema ambacho nakisoma toka kwake
Mwanaume kama Hajui kutafuta hela huyo nae ataitwa mwanaume? Hiyo heshima ataipata wap sasa?Jamani wasimangeni tu wanaume, mtapigwa mimba na kutelekezwa Hadi akili ziwakae sawa. Mpaka mtakapo jifunza kuwaenzi na kuwaheshimu wanaume zenu hata kama hawana pesa
Sijawahi umizwa wala nazungumzia hali ya kawaida nayoina mitaaniBushmamy kazana mwaya kutafuta pesa, lea kibenten chako....maisha yanasonga....ila kama hujaolewa ukiolewa salaleeeeee namuonea huruma huyo mume atakayekuoa ...una chuki na wanaume..sijui uliumizwa na mmoja wao ama na wewe umelelewa na single mother??? hii anger towards men imetokea wapi?? sema usaidiwe...
Duuuh...Hivi nyangulo ndio nini?tatizo huzijui akili za wanaume zikoje usingesema hayo yote..Umekariri maisha, ndo mana hii nchi bado Maskini, kwasabu ya kina nyangulo kama wewe
Kwa hiyo hao wanawake wa mtaani ndo wamekutuma uje uwasemee huku!?Mdada mbona wanitukana, wewe kwa akili yako unafikiri nikileta mada hapa najiandikia mimi au? Umeona hali ya mtaani wanawake wanavyopata shida kutokana na wanaume wa siku hizi kuwa mizigo mizito kama zege?
Huu sio muda wa kuwaonea huruma wanaume tena.