Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Mkuu una akili Sana [emoji119]

One love
 
Kwanza walikutana wapi? Then unafikiri Barack angekuwa furushi Michelle angehangaika nae? Aliona yuko na mtu mwenye mwangaza mbele.

Narudia tena, fukuza hilo furushi hapo nyumbani likatafute sio limekaa tu kubadili vipindi kwa tv.
Asante mdada, nilimjibu hapo vizuri tu lakini naona hakunielewa, Michelle aliona kabisa Obama ni msaka nyoka mzuri tu, ndo mana hadi leo hii wapo wote,
Sasa vijaume hivi vya hapa kichwani Hawazi mbali muda wote akaulizia bifu la kiba na diamond limefikia wap,
Nyoooo mtasubiri sana tu
 
Itoshe kusema "Mwanamke yeyote anapaswa kuishi kwa kutumia akili na hekima, akiziendekeza hisia na peer pressure ....mtaa utamzimia data muda c mrefu ....

One love
 
Kwa maelezo yote haya naona kabisa hii mada ilikuwa yako ndo mana unajitahidi kijitetea kwa nguvu zote,
Mzee baba Punguza shobo mjini uweke heshima nyumbani, Katafute hela zilipo utadharauliwa hadi na watoto
 
Kwanza walikutana wapi? Then unafikiri Barack angekuwa furushi Michelle angehangaika nae? Aliona yuko na mtu mwenye mwangaza mbele.

Narudia tena, fukuza hilo furushi hapo nyumbani likatafute sio limekaa tu kubadili vipindi kwa tv.
Full panic mode
 
Nyie mnaolewa na wavulana na sio wanaume...Msituhusishe wanaume katika hayo maswala tafadharini tuheshimiane...mwanaume awezi kaa ndani asubirie umletee chakula ale..
 
Ushasema mwanamke hapa nazungumzia mwanamke sizungumzii shepu ya mwanamke au mwanaume hapa? Upo ankoo?

Tulia we Mwanamama, na sura zenu zilizochoka Kama Daftari la madeni ya muuza mkaa hamuoni kama tunawasitiri saa Zingine?... Mwanamke mwili umekukakamaa utafkiri Mbao za lenta umchongolee mdomo Nani?

Kama Mwanaume Hana hela nenda katafute wewe.. asingekuepo angekutaftia Nani? Mnadai haki sawa tukija Kwenye Majukumu mnakimbilia Maandiko, laana zenu!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asante
 

Duh mwanaume unachamba kama mwanamke !!
 
Nakaziaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ha ha ha
 
Acha matumizi mabaya ya vitabu vya Mungu. Wewe umeambiwa utazaa kwa uchungu sasa kwanini unaingilia majukumu ya mwanaume ya kula kwa jasho kwa kuleta ndizi nyama na mchele?
 
Roho ya Jezebeli hii. Mungu akusaidie Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…