Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usitutisheeeee
Ongereni sana kwa kuwa michepuko yetu na ya baba zetu. Mnajitahidi sana kutupunguzia stress za ndoaHivi humu ndani wanawake huwa hatuna jema hata moja tunalofawanyia? Maana ni kila siku wanawake this, wanawake that,
Inafikia pahala ukiona tu new thread unajua kabisa hapa ni wanawake tunasemwa..! While we know deep down we're being appreciated.!
Jaribuni kutusifia hata mara 1 1 basii, does it mean mnaishi na mashetani huko duniani kiasi kwamba hatuwatendi lililo jema japo moja tu?
Enwei, wanao date waume za watu wamekusikia na wataacha ila nawe pia uandike kwa paragraphs mkuu.!
Wala hatujaliWenyewe wanajua sidhani Kama wanajali.
Ugumu wa maisha ya chuo uko wapi? Hawana boom?Hivi mnadhani wanachuo wataishije?
Maisha magumu Yale.!!
Kitendo cha kuniandikia tu 'Ongereni' nimeshajua wewe ni mtu wa aina gani, For now sitajibu hili.!Ongereni sana kwa kuwa michepuko yetu na ya baba zetu. Mnajitahidi sana kutupunguzia stress za ndoa
NakaziaWala hatujali
Mtoa uzi anawakumbusha tu sio kwamba anawasema so relax dada ila wanawake badilikeni wengi hawajielewi kabisa unamkuta mdada ameng'ang'ana na mme wa mtu badala atafute mume wakeHivi humu ndani wanawake huwa hatuna jema hata moja tunalofawanyia? Maana ni kila siku wanawake this, wanawake that,
Inafikia pahala ukiona tu new thread unajua kabisa hapa ni wanawake tunasemwa..! While we know deep down we're being appreciated.!
Jaribuni kutusifia hata mara 1 1 basii, does it mean mnaishi na mashetani huko duniani kiasi kwamba hatuwatendi lililo jema japo moja tu?
Enwei, wanao date waume za watu wamekusikia na wataacha ila nawe pia uandike kwa paragraphs mkuu.!
Hao hilo kwao halipo kabisa,tena uhuru unakuwepo. Naweza kupigiwa simu na mke mkubwa,nikamwambia kabisa mke mdogo,mwenzako anapiga simu ngoja nipokee kwanza,na mambo yanaenda kabisa.Mkuu vipi wale wa imani ya mke wa pili, tatu na nne?
Sawa mkuu, hata mimi nimemkumbusha tu kuwa watusifie sifie na mazuri yetu wakati mwingine.!!Mtoa uzi anawakumbusha tu sio kwamba anawasema so relax dada ila wanawake badilikeni wengi hawajielewi kabisa unamkuta mdada ameng'ang'ana na mme wa mtu badala atafute mume wake
Kizuri kula na jiraniWanaume muache umalaya. Tulieni na wake zenu jamani.