Mwanamke kumbuka yafuatayo unapotoka na mume wa mtu

Mwanamke kumbuka yafuatayo unapotoka na mume wa mtu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aya bhana tutajitaidi kuwasifia mana naona asubui ya leo kimewanukia hatare vichambo si vya nchi hii
Sawa mkuu, hata mimi nimemkumbusha tu kuwa watusifie sifie na mazuri yetu wakati mwingine.!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aya bhana tutajitaidi kuwasifia mana naona asubui ya leo kimewanukia hatare vichambo si vya nchi hii
Haha!
Bahati leo ndo kitu tumekosa walaqhi..!!
 
Teh teh teh
Hao hilo kwao halipo kabisa,tena uhuru unakuwepo. Naweza kupigiwa simu na mke mkubwa,nikamwambia kabisa mke mdogo,mwenzako anapiga simu ngoja nipokee kwanza,na mambo yanaenda kabisa.

Kuoa wake wengi kuna raha yake acha tue tu wake wengi.
 
Wanaume muache umalaya. Tulieni na wake zenu jamani.
Dah...ushauri wa hovyo sana huu kwa wanaume. Kwa mujibu wa takwimu za NBS za 2018, uwiano kati ya wanaume na wanawake walio na umri wa miaka 18 - 55 Tanzania Ni 1:4 ...hapo hujawatoa mateja, wafungwa, machizi, na wale wenye "misuli" dhaifu. Kwa kifupi ili hisabati ziende sawa Ni lazima kila mwanaume ahudumie wanawake 4 kwa upungufu. Sasa unapokuja na suala la 1:1 sikuelewi
Hata hivyo KIASILI..hakuna mwanaume yoyote duniani mwenye mwanamke mmoja... Kama yupo..Basi aidha hali yake ya kiuchumi ni tata ...au..ana misuli isiyokaza ..au .. bado hajakamatwa[emoji2960]
 
Hicho kitu ulichoongea hapo ni kama hakiwezekani kwa sasa. Wanaume wenyewe wachache. Nakuhakikishia 80% usio rasmi ya wanawake above 30 years wako kwenye mahusiano na waume za watu
 
Hivi humu ndani wanawake huwa hatuna jema hata moja tunalofawanyia? Maana ni kila siku wanawake this, wanawake that,

Inafikia pahala ukiona tu new thread unajua kabisa hapa ni wanawake tunasemwa..! While we know deep down we're being appreciated.!

Jaribuni kutusifia hata mara 1 1 basii, does it mean mnaishi na mashetani huko duniani kiasi kwamba hatuwatendi lililo jema japo moja tu?

Enwei, wanao date waume za watu wamekusikia na wataacha ila nawe pia uandike kwa paragraphs mkuu.!
Mkuu mema mnayo mengi tu likiwemo lile kubwa kabisa la kutuzaa na mengine mengi kama kutoondelea upweke, kutuburudisha, kutupambia hii dunia yetu, nk

Hata hivyo kiubinadamu mema yaliyomengi huwa hayana haja ya kujadiliwa labda kama ni kwenye siasa ili kujipatia wale wajinga wanaoitwa wapiga kura. Kwa ujumla jamii uchukulia kwamba kutenda mema ndiyo taratibu/wajibu hivyo hakuna haja ya kuyajadiri. Na ni kweli maana kama si hivyo basi yangejadiliwa mambo mengi mno.

Ndiyo maana kwa mfano vyombo vya usafiri kama mabasi/malori/treini/meli/nk kila siku vinasafiri wala aviongelewi/kusifiwa kwenye vyombo vya habari. Lakini ikitokea kimoja wapo kikadondoka njiani maana yake kimeenda kinyume na taratibu na kitapata fursa ya kuongelewa hadi baadhi ya wahusika kuhojiwa na ikibidi kuadhibiwa ili kusahihisha na kuweka tena mambo sawa.

Hivyo hivyo na nyie mazuri yenu yapo mengi tu lakini yapo ndani ya wajibu wenu. Chukueni tu hayo mnayoambiwa kuwa amtendi ki-utaratibu ili mjisahihishe na kuweka mambo sawa. Kumbuka lisemwalo lipo na kama halijakuwepo bado basi lipo njiani.
 
Kubwa kuliko lote nikwamba.... wadada wa ivi ndo hugeizwa kiwanja cha chamnchagani


Maana hata TIGO huombwa nakuliwa wao..kwa kuamini ......
 
Kuna michepuko inafanyiwa makubwa kuliko wake wa ndoa, yaani mke wa ndoa mbali na ile title ya kuitwa Mrs fulani hakuna lingine jipya
Nikweli ila anafanyiwa kwa gharama kubwa mnoo..awe anaumwa au lah..jamaa akitaka mzigo apewe...apewe Tigo, apewe Blow job n.k

Kiuhalisia michepuko inafanyiwaga Ujinga ambao Jamaa hawez nahatokaa amfanyie mkewe

Ila huo ujinga unakuaga hauonekani.
 
Kama watapitia huu uzi utawasaidia,halafu ukumbuke atakuzibia usiwe na mtu mwingine zaidi yake,ukija kushtuka tayari una miaka 30...
 
Mkuu mema mnayo mengi tu likiwemo lile kubwa kabisa la kutuzaa na mengine mengi kama kutoondelea upweke, kutuburudisha, kutupambia hii dunia yetu, nk

Hata hivyo kiubinadamu mema yaliyomengi huwa hayana haja ya kujadiliwa labda kama ni kwenye siasa ili kujipatia wale wajinga wanaoitwa wapiga kura. Kwa ujumla jamii uchukulia kwamba kutenda mema ndiyo taratibu/wajibu hivyo hakuna haja ya kuyajadiri. Na ni kweli maana kama si hivyo basi yangejadiliwa mambo mengi mno.

Ndiyo maana kwa mfano vyombo vya usafiri kama mabasi/malori/treini/meli/nk kila siku vinasafiri wala aviongelewi/kusifiwa kwenye vyombo vya habari. Lakini ikitokea kimoja wapo kikadondoka njiani maana yake kimeenda kinyume na taratibu na kitapata fursa ya kuongelewa hadi baadhi ya wahusika kuhojiwa na ikibidi kuadhibiwa ili kusahihisha na kuweka tena mambo sawa.

Hivyo hivyo na nyie mazuri yenu yapo mengi tu lakini yapo ndani ya wajibu wenu. Chukueni tu hayo mnayoambiwa kuwa amtendi ki-utaratibu ili mjisahihishe na kuweka mambo sawa. Kumbuka lisemwalo lipo na kama halijakuwepo bado basi lipo njiani.
Ubarikiwe mno mkuu wangu!!
 
Nikweli ila anafanyiwa kwa gharama kubwa mnoo..awe anaumwa au lah..jamaa akitaka mzigo apewe...apewe Tigo, apewe Blow job n.k

Kiuhalisia michepuko inafanyiwaga Ujinga ambao Jamaa hawez nahatokaa amfanyie mkewe

Ila huo ujinga unakuaga hauonekani.
Sio wote, inategemea ntu na ntu nakuambia.
 
Sio wote, inategemea ntu na ntu nakuambia.
Ofcoz sio wote.

Ila Mkuu nakuhakikishia ilo..asilimia kubwa kabisa ya Michepuko yaan ukishakua sehem ya Pili tu ...wengi wanaishia kugeuzwa chandimu.

Huwez kuta Mume, anamgeuza Chandim mkewe..ukikuta anamgeuza, ujue ni wale wa "Njoo tukae tu" hawana kinachowaunganisha nakila mmoja anajua kikinuka nikusepa.


Maujinga mengi mengi mwanaume yupo radhi kuyafanya kwa mwanamke wa Nje.. Alafu ndani anakua MTAKATIFU.
 
Ofcoz sio wote.

Ila Mkuu nakuhakikishia ilo..asilimia kubwa kabisa ya Michepuko yaan ukishakua sehem ya Pili tu ...wengi wanaishia kugeuzwa chandimu.

Huwez kuta Mume, anamgeuza Chandim mkewe..ukikuta anamgeuza, ujue ni wale wa "Njoo tukae tu" hawana kinachowaunganisha nakila mmoja anajua kikinuka nikusepa.


Maujinga mengi mengi mwanaume yupo radhi kuyafanya kwa mwanamke wa Nje.. Alafu ndani anakua MTAKATIFU.
Maadam tumekubaliana sio wote case closed
 
Dah...ushauri wa hovyo sana huu kwa wanaume. Kwa mujibu wa takwimu za NBS za 2018, uwiano kati ya wanaume na wanawake walio na umri wa miaka 18 - 55 Tanzania Ni 1:4 ...hapo hujawatoa mateja, wafungwa, machizi, na wale wenye "misuli" dhaifu. Kwa kifupi ili hisabati ziende sawa Ni lazima kila mwanaume ahudumie wanawake 4 kwa upungufu. Sasa unapokuja na suala la 1:1 sikuelewi
Hata hivyo KIASILI..hakuna mwanaume yoyote duniani mwenye mwanamke mmoja... Kama yupo..Basi aidha hali yake ya kiuchumi ni tata ...au..ana misuli isiyokaza ..au .. bado hajakamatwa[emoji2960]
Kwa hiyo unawashauri nini wanaume wenzio?
 
Back
Top Bottom