Mwanamke kumbuka yafuatayo unapotoka na mume wa mtu

Anakutumia sikuchache mwisho wa siku atarudi kwake tu
Au anakutumia asubuhi mchana lakini usiku lazima alale kwake



Cc Smart911
Wanabeba na mimba kabisa au anaisaka huko nakuja mbebesha, akishtuka anavyoruka sio yake, tayari single mother mwee jamani wanawake tuna shida!
 
Kama watapitia huu uzi utawasaidia,halafu ukumbuke atakuzibia usiwe na mtu mwingine zaidi yake,ukija kushtuka tayari una miaka 30...
30 mbona michache sana, tena wengine mpaka hutukana wake wa nyumbani wakizani wanalipamba penzi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha ukuda wewe mtoa mada! Ni nani aliyekutuma kuwasemea hao wanawake wanao date na sisi wanaume tuliooa. Acha watu waishi maisha yao, na wewe ishi ya kwako. 😔
 
Nikweli ila anafanyiwa kwa gharama kubwa mnoo..awe anaumwa au lah..jamaa akitaka mzigo apewe...apewe Tigo, apewe Blow job n.k

Kiuhalisia michepuko inafanyiwaga Ujinga ambao Jamaa hawez nahatokaa amfanyie mkewe

Ila huo ujinga unakuaga hauonekani.
Umeona eeh
 
We kweli plan zero! Unatuharibia ili uvune nini sasa!
 

Pengine hayo unayoyaita maujinga angekua anafanya na mke wake asingekua ana haja kuwa na mchepuko ndio afanye nao.
 
Pengine hayo unayoyaita maujinga angekua anafanya na mke wake asingekua ana haja kuwa na mchepuko ndio afanye nao.
Sasa unawezaje fanya maujinga kwa mke, unayemuheshimu????.


Yaan mke wako umle tigo??. Maujinga wanafanyiwa michepuko aiseee
 
Sasa unawezaje fanya maujinga kwa mke, unayemuheshimu????.


Yaan mke wako umle tigo??. Maujinga wanafanyiwa michepuko aiseee
Hahahaahaa ndio maana ndoa hazikai. Kama unataka tigo si mzungumze na mkeo mjifunze? Huyo anaekupa huko si mwanamke pia, anawezaje kukupa tigo na mwanamke wako asiweze kukupa? Huu ndio uboya na ndio maana ndoa hazikai. Embu jiachie na mkeo kama una fantasies zako, who is better to discuss them and do them kama sio wife wako? Mmekariri maisha eti, mkeo ni wakufanya nae kifo cha mende tu? Mfyuuu kama tigo ni uchafu, wewe mwanaume unaefata tigo kwa mchepuko basi wewe ni mpenda uchafu. Eti unamuheshimu mkeo, kama unamuheshimu mbona unachepuka in the 1st place? Hamjielewi.
 
Nakuhakikishia jambo hili.

Hamna mwanaume alooa , mwenye utoto anayeweza kugeuza tigo kama hitaji lake la msingi na kwamantiki hiyo. Hawezi kumsumbua mkewe kipenzi kwa sababu hiyo

Ila kwakua kapatikana kidongo chekundu, kwann asijaribu?? Kwann asikule kile anachokisikia kinaliwa??? Ndio anakufanyia wewe uliye mchepuko lkn ndoani anatulia kulinda heshima yake ( ingawa anakosea kuchepuka).


Na utambue, mwanaume hachepuki sababu ya upendo, kupenda anampenda mkewe, ila anachepuka basi tu tamaa ya kiume n.k .


Chunguza sana, Wake wanaheshimiwa sana, na ndio sababu tunasema mke ni sumu... Mchepuko hawez kua sumu au kumpa wakat mgumu mwanaume.

Ndio maana mchepuko atageuzwa mtumwa wa ngono kwa aina zake.... Kila la mtandaoni litajaribishiwa kwake !! . NASIO KWA MKE.


Alafu niwambie ukweli,, wanaume wanapenda vyenye heshima .. Ndio maana hata kwenye mahusiano, mwanaume anaweza kukuoa tigo kabisaaaa ..lkn kwenye kuoa akakutupilia kusikojulikana.
 
Aliyekwambia tigo ni hitaji la msingi ni nani? Tigo ni nyama ya hamu na sio ya kila siku. Hizo tamaa za kiume kwanini hazitamani mkeo? Narudia tena kama unamuheshimu mkeo then huwezi chepuka, tamaa or no tamaa. Mnapick and choose when to respect your wives. If you respect her, then do everything with her. Hizo status za heshima kisa title ya Mrs and yet you have no respect for her sticking your dick in another woman's pussy. Dude, you have no idea what respect is.
 
Mkuuu ,narudia kukuambia , Tamaa za kiume KAMWE hazimfanyi mwanaume ajiondolee heshima kwa mkewe.

Mke atabaki kua mke na hesha zake atapewa.

Mchepuko atabaki kua mchepuko ye ataombwa Tigo+ atafanyishwa Blow job , nakila aina ya ujinga wa kingono atafanyiwa yeye.

Tena kwa Mwanaume alieoa na above 35+ , usitegemee amuombe Tigo mkewe.

Tigo ataombwa mchepuko ...mke anaheshima zake !!.

Kwa ufupi, ukiombwa tigo kwa haraka haraka Jua hupendwi na wewe ni kidongo chekundu..a.k.a uwanja wa majaribio!!!


Huhuhu Tigo ni nyama ya hamu na sio ya kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]...

Wewe unatoa tigo mkuu??? ( kua muwazi tu humu hatujuani)
 
Wanawake wa kizazi hiki kuvuliwa chupi wengi wao ni kitu cha kawaida sana.
Sijui akili zao zinawaza nini, na hata walio-olewa hawatulii kweny ndoa zao pia.
Ni tatizooooo....
 
Wanawake wa kizazi hiki kuvuliwa chupi wengi wao ni kitu cha kawaida sana.
Sijui akili zao zinawaza nini, na hata walio-olewa hawatulii kweny ndoa zao pia.
Ni tatizooooo....
Labda wanabadilisha mboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…