Mwanamke kumbuka yafuatayo unapotoka na mume wa mtu

Mtoa mada hukumbuki ndoa zingine zinawaka moto wakumbushe na wanawake kwenye ndoa waache wenge halafu mbona mabinti wanafanyiwa mambo mabaya na hao wanaotakiwa kuwaoa kuliko hata hao waume zawatu sishauri wafanye hayo ila kunawatu wanajitambua wanamahusiano yaaina hiyo wanaishi vizuri tu ivi hao vijana wakuoa ndohawa
 
Suala la mtu kutoka na mume wa mtu halijaanza leo wala Jana na haliishi siku yoyote hivi karibuni. Kwenye bible Wakina Hajri wametoka na wazee wa zamani wa imani. Kubwa ni kuweka heshima na mipaka.
 
V
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…