Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
ahahahhahahhahahhaahaha inafatia nini ujue.......
mtu kanyanyuka anajifanya aningia ndani kuchukua gazeti
ehehehhehhehe anajicheleweshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukisema umfate ahahahahhahaha KAWEKA TURUBAI! watu8 unayakumbuka yake maturubai ya jkat yale ya jinja ehehhehe enzi zile ukiwa na msiba tu wanaum wanasimika miti af turubai juu!ahahahhahahhahhah
HAKI YA MAMA KUNA MTU ANAHACK id yangu!
unafikr uongo!
Hahahahahah....mtani hivi ujue Ijumaa ipo mbali sana eenh!!!
Ila hapo pa kupiga kambi ya turubai umenichekesha sana...unajua una maneno sana wewe mtu(wachache sana wataelewa hapo)...
Sijui na mimi mtu mmoja afanye hacking ya ID yangu nitupiemo advert ya picha kwa msisitizo zaidi...:becky: