Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

ahahahhahahhahahhaahaha inafatia nini ujue.......
mtu kanyanyuka anajifanya aningia ndani kuchukua gazeti
ehehehhehhehe anajicheleweshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukisema umfate ahahahahhahaha KAWEKA TURUBAI! watu8 unayakumbuka yake maturubai ya jkat yale ya jinja ehehhehe enzi zile ukiwa na msiba tu wanaum wanasimika miti af turubai juu!ahahahhahahhahhah
HAKI YA MAMA KUNA MTU ANAHACK id yangu!
unafikr uongo!

Hahahahahah....mtani hivi ujue Ijumaa ipo mbali sana eenh!!!

Ila hapo pa kupiga kambi ya turubai umenichekesha sana...unajua una maneno sana wewe mtu(wachache sana wataelewa hapo)...

Sijui na mimi mtu mmoja afanye hacking ya ID yangu nitupiemo advert ya picha kwa msisitizo zaidi...:becky:
 
Mtani sasa ndio nini unafafanuaaaaa weeee kila mtu hadi ataelewa sasa lol...halafu utawaharibia watu siku wakakimbilia home sasa hivi :becky:

Mtani jioni usisahau kutengeneza pudding ya matunda...recipes ni hizi hapa chini...kwa heriiiiii

or_1c9bf1a1125242241214592-2.jpg


mwali kwenu kushawahi kuwa na msiba?
unayakumbuka yale maturubai ya kusimikwa na miti af kwenye simo wanaweka mawe na vifuu yale (sio haya ya siku hiz yameandikwa na majina sijui number za simu wanaweka yananyoooka kule juu)
bana yale mautrubai kuna kuwa na miti minne na mmoja kati kati!
sasa pale kwa juu ya turubai panapokuwa pameegeshwa turubai?
ahahahhaaa MI SIJASEMA BANA!
ni hii laptop yangu tu ikiwa imechoka ndo huwa inatumaga maandishi kama hayo!
 
hee kwani wewe tabibu??
kwani weee waweza lakini??? nauliza wawezaaaaaaaa!

siri ya upele umpate mkunaji na siri ya ugonjwa impate mganga!

na siri ya sikio washa lipate kishungi kuna....
 
Hahahahahah....mtani hivi ujue Ijumaa ipo mbali sana eenh!!!

Ila hapo pa kupiga kambi ya turubai umenichekesha sana...unajua una maneno sana wewe mtu(wachache sana wataelewa hapo)...

Sijui na mimi mtu mmoja afanye hacking ya ID yangu nitupiemo advert ya picha kwa msisitizo zaidi...:becky:

itakua vyema sana fanya hivyo hii thread ina watu wazima watoto wamekimbia...tupiamo kapicha tafaaadhali..
 
Mtani sasa ndio nini unafafanuaaaaa weeee kila mtu hadi ataelewa sasa lol...halafu utawaharibia watu siku wakakimbilia home sasa hivi :becky:

Mtani jioni usisahau kutengeneza pudding ya matunda...recipes ni hizi hapa chini...kwa heriiiiii

or_1c9bf1a1125242241214592-2.jpg

tamu sana hiyo haswaa jion mrs akiwa amevaa kaptura ya mr kila mmoja akimsaidia mwenzie kuandaa pudin ya tufaa na ndizi...aahh jaman raha ya ndoa hyoo
 
Mtani sasa ndio nini unafafanuaaaaa weeee kila mtu hadi ataelewa sasa lol...halafu utawaharibia watu siku wakakimbilia home sasa hivi :becky:

Mtani jioni usisahau kutengeneza pudding ya matunda...recipes ni hizi hapa chini...kwa heriiiiii

or_1c9bf1a1125242241214592-2.jpg

hahahahahhahahahah!!!!!!!!!!!!!!!!
halafu raha yake uipate ukiwa kichwa kiko freshhhhhh!!!!!!!!!!!
papai hilo hapo la kuchanganyia..........

paw-paw.jpg
 
My man used to love it when I'd wear his clothes.AND as FOR ME I like wearing his big shirt with nothing
on the bottom but panties I find it so LOVELY/SEXY.yaani acha tu

I used to love waring his shirt when I cooked up something for us to eat,wen we watch movie etc...rahaje
I think it can be very sexy. To wear it and go out ... not so sexy!

Hapo kwenye nyekundu vipi?
 
Raha saaana aisee, kuna siku ilitokea mvutano kati ya mie na bf wangu. Ye aling'ang'ania kuvaa skin tyt yangu Mwisho wa siku nilimwachia kweli akavaa na kwenda nayo job. Yaan alikuwa very comfortable!!!

cc charminglady Mungu aepushe mbali....angepata ajali kufika hospitali manesi wanamvua nguo wanamkuta na skin tight ya kike.....mameeeeeeee tate nane
 
Sure she is.... naunga mkono
cc Heaven on earth

kiukweli every time she comments, every topic/thread she comments, every word she comments HEAVEN ON EARTH just kills everything. her wonderful brain, exquisite choice of words and ideas plus every reason to feel that she's superbly humble. she's an absolute joy to behold.
 
Umeshawahi kukutana na hili?utajisikiaje/unajiskiaje unavyorud nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako?
Au akaomba kuvaa saa yako wakat anatoka!
Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?

Yote mapenzi hayo, na wewe mkuu mbona unalalamika vitu vidogo sana?!
 
Back
Top Bottom