Mwanamke mmoja aliyefungua mashata kampuni ya usafiri Lyft USA amejibiwa huduma yake

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Mwanamke mmoja huko marekani alifungua mashtaka ya kuishtaki kampuni lyft inayotoa huduma za tax mtandaoni kwa kumkatalia sababu ya uzito wake.

Sababu hii ilichangiwa wengine wakisema ina ubaguzi na wengine wakisema ni unyanyasaji.

Baada ya kuzuka mijadala mingi kampuni lyft imeamua kuongeza huda za fork kusaidia watu wanaoitaji usafiri.

 
Bora wanifungie tu leseni,sasa ndio umbo gani ilo?
 
Huyu ata mbususu yake hajawai iona 🤣🤣🤣🤣
Na hao wanaume hapo pembeni ndio lawyers wake nini? Nao wangese tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…