Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍👋Video Dada wa kiafrika kakutana na waziri mkuu wa Netherland, anakwenda ofisini kwa mguu akitokea nyumbani kwake... Dada anashangaa anahema kwa mshangao akikumbuka Afrika huku😃 mpaka katibu tarafa ana king'ora
Sisi tumeinvest kwenye u bishoo zaidi kuliko maendeleoVideo Dada wa kiafrika kakutana na waziri mkuu wa Netherland, anakwenda ofisini kwa mguu akitokea nyumbani kwake... Dada anashangaa anahema kwa mshangao akikumbuka Afrika huku😃 mpaka katibu tarafa ana king'ora
Tunapenda kuonekana tumeendelea kuliko kuendeleaSisi tumeinvest kwenye u bishoo zaidi kuliko maendeleo
Sisi tumezidisha kuchezea fedha za kodi magari na misafara ving'ora kufunga mabarabara daah!Huyo sio mchumia tumbo🤣🤣
yaani nikutane na Majaliwa Tandika maeneo ya Sudani au kule Mabibo mwisho na mitaa ya kwamtogole.....hahahaha.
Mama naye siku moja apige jalamba tu peke yake akienda msikitini
Politic ata work. Kila taifa la Ulaya, America au Asia linatafuta njia ya kuboresha uhusiano wake na Africa kwa kupitia njia mbali mbali kama hizi.Video Dada wa kiafrika kakutana na waziri mkuu wa Netherland, anakwenda ofisini kwa mguu akitokea nyumbani kwake... Dada anashangaa anahema kwa mshangao akikumbuka Afrika huku😃 mpaka katibu tarafa ana king'ora
Sio kapangwa wenzetu Uongozi kwao ni kitu cha kawaida huwezi kufananisha Kiongozi wa Ulaya na Afrika wanavyojichukulia na tunavyowachukulia kwanza viongozi wa kiafrika wakishaingia madarakani wanawaona wananchi kama wajinga wenyewe ndio wenye akili sana kuliko raia yoyotePolitic ata work. Kila taifa la Ulaya, America au Asia linatafuta njia ya kuboresha uhusiano wake na Africa kwa kupitia njia mbali mbali kama hizi.
Huyo dada wa kiafrica kapangwa mahususi kwa ajili ya kazi hiyo.
Haina tofauti na kumkuta Lowasa, Lisu au Majaliwa kapanda daladala wakati wa kampeni za uchaguzi.
Unawaabudu wazunguPolitic ata work. Kila taifa la Ulaya, America au Asia linatafuta njia ya kuboresha uhusiano wake na Africa kwa kupitia njia mbali mbali kama hizi.
Huyo dada wa kiafrica kapangwa mahususi kwa ajili ya kazi hiyo.
Haina tofauti na kumkuta Lowasa, Lisu au Majaliwa kapanda daladala wakati wa kampeni za uchaguzi.
Kiongozi anatoka mwenge anaenda Makumbusho mtasimamidhwa masaa mawili kwenye foleniKuna mzungu mmoja huwa anakuja ofisn kila mwaka sasa alishangaa kuona Tanzania kila kona ving’ora afu magari ya gharama. Akasema Tanzania sio masikini matumiz yenu mabovu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Huwa inakela sana kiongozi kabla ajatoka kwake labda yupo anajindaa nyie huku mnasimamishwa foleniSisi tumezidisha kuchezea fedha za kodi magari na misafara ving'ora kufunga mabarabara daah!
Ninaweza kusema Mwafrika hana Uzalendo.