Mwanamke mmoja wa kiafrika ashangaa Waziri kutembea kwa miguu kulelekea kazini

Mwanamke mmoja wa kiafrika ashangaa Waziri kutembea kwa miguu kulelekea kazini

Politic ata work. Kila taifa la Ulaya, America au Asia linatafuta njia ya kuboresha uhusiano wake na Africa kwa kupitia njia mbali mbali kama hizi.

Huyo dada wa kiafrica kapangwa mahususi kwa ajili ya kazi hiyo.

Haina tofauti na kumkuta Lowasa, Lisu au Majaliwa kapanda daladala wakati wa kampeni za uchaguzi.
Uholanzi prime minister kuonekana hvyo si ajabu hata baskeli pia wanaendanazo job kwa sana so hakuna kilichopangwa hapo. Hawana Kiki za kishamba km za kwenu huko uswahilini
 
Sio kapangwa wenzetu Uongozi kwao ni kitu cha kawaida huwezi kufananisha Kiongozi wa Ulaya na Afrika wanavyojichukulia na tunavyowachukulia kwanza viongozi wa kiafrika wakishaingia madarakani wanawaona wananchi kama wajinga wenyewe ndio wenye akili sana kuliko raia yoyote

Kuna video nyingine ya aliekuwa waziri wa Uingeleza
Je nayo wazungu walipangwa kwa nia ipi labda na kwa nini wapangwe ?
Wafrica kama wewe huwa mnaingizwa mkenge kizembe sana.

Mnashindwa kutofautisha siasa na maisha ya kawaida.
Siasa ina njia nyingi za kulaghai watu. Hata raisi wa nchi anaweza kuigiza analala kwenye mkeka, huku kiuhalisia hajawahi hata kukalia mkeka achilia mbali kuulalia.

Ila hayo wanayoyafanya wazungu yakifanywa na kina Kikwete kwenda kununua samaki feri ungesema muuzaji sio raia wa kawaida ni mwanausalama, au ile ya hayati Magufuli kupitia kijiweni kunywa kahawa wadau wakaanza kupinga kuwa muuza kahawa alipangwa ili kukamilisha tukio nk.

Kwamba mzungu ni malaika ambae hawezi kudanganya au kuhadaa umma.
 
Uholanzi prime minister kuonekana hvyo si ajabu hata baskeli pia wanaendanazo job kwa sana so hakuna kilichopangwa hapo. Hawana Kiki za kishamba km za kwenu huko uswahilini
Hapa ni uswahilini pia?
 

Attachments

  • 14AMBRIEFING-lede-articleLarge.jpg
    14AMBRIEFING-lede-articleLarge.jpg
    43.5 KB · Views: 3
Wafrica kama wewe huwa mnaingizwa mkenge kizembe sana.

Mnashindwa kutofautisha siasa na maisha ya kawaida.
Siasa ina njia nyingi za kulaghai watu. Hata raisi wa nchi anaweza kuigiza analala kwenye mkeka, huku kiuhalisia hajawahi hata kukalia mkeka achilia mbali kuulalia.

Ila hayo wanayoyafanya wazungu yakifanywa na kina Kikwete kwenda kununua samaki feri ungesema muuzaji sio raia wa kawaida ni mwanausalama, au ile ya hayati Magufuli kupitia kijiweni kunywa kahawa wadau wakaanza kupinga kuwa muuza kahawa alipangwa ili kukamilisha tukio nk.

Kwamba mzungu ni malaika ambae hawezi kudanganya au kuhadaa umma.
Hakuna huwezi fananinisha uzalendo wa wenzetu na sisi
Na kuhusu kutembea kwa miguu au baiskeli kwa hao wenzetu sio kiki ni kawaida kwao
Kinachomata kwa Afrika viongozi wengi wanataka watukuzwe mfano kiongozi anapita mahali hata ndege aijatua nyie huku mmeshapigwa stop hata masaa mawili hadi matatu ili mkingoja msafara wa kiongozi ila kwa ulaya ni tofauti
Huku kwetu vingora kila siku
 
Mtawatia vitasa nyie ndo maana wanajilinda sana.
Kujilinda ni kutokana na uovu na uchafu wao! Kupigwa vitasa ni kawaida hasa ukizangatia wao ndiyo chanzo cha haya yote! Madawa ya kulevya ni kwa sababu ya uongozi wao! So, mtumia madawa ya kulevya akiwajeruhi kwa namna yoyote wamestahili!
 
Haya tuweke wale mawaziri wetu tuwaone wanavyokwenda mzigoni

Ova
 
Ila mimi nimeshamuona naibu waziri wa wizara huko Zanzibar, amekuja bara akapanda bodaboda.
 
Proud ya mzungu ni kulitumia Taifa
Proud ya mwamerica especially sud america ni kuitumikia familia do or die familia lazima iwe na maisha bora
 
Watu wa kabila za weupe wana asili ya akili, Sio kama zetu hizi hizi
 
Video Dada wa kiafrika kakutana na waziri mkuu wa Netherland, anakwenda ofisini kwa mguu akitokea nyumbani kwake... Dada anashangaa anahema kwa mshangao akikumbuka Afrika huku😃 mpaka katibu tarafa ana king'ora

Sio fisadi hana umungu mtu, wala hofu ya kufa kama huku Afrika.
 
Dc mpya wilayani kwetu mbele gari la polisi vs king'ora, linafuata gari la DSO. Linakuja gari lake. Lina kuja la DAC na mengine kama mawili hivi sijajua humbeba nani. Anaona raha sana watu wanavyo muachia njia
 
Politic ata work. Kila taifa la Ulaya, America au Asia linatafuta njia ya kuboresha uhusiano wake na Africa kwa kupitia njia mbali mbali kama hizi.

Huyo dada wa kiafrica kapangwa mahususi kwa ajili ya kazi hiyo.

Haina tofauti na kumkuta Lowasa, Lisu au Majaliwa kapanda daladala wakati wa kampeni za uchaguzi.
Ujinga wa hivyo utadanganywa wewe.
 
Wafrica kama wewe huwa mnaingizwa mkenge kizembe sana.

Mnashindwa kutofautisha siasa na maisha ya kawaida.
Siasa ina njia nyingi za kulaghai watu. Hata raisi wa nchi anaweza kuigiza analala kwenye mkeka, huku kiuhalisia hajawahi hata kukalia mkeka achilia mbali kuulalia.

Ila hayo wanayoyafanya wazungu yakifanywa na kina Kikwete kwenda kununua samaki feri ungesema muuzaji sio raia wa kawaida ni mwanausalama, au ile ya hayati Magufuli kupitia kijiweni kunywa kahawa wadau wakaanza kupinga kuwa muuza kahawa alipangwa ili kukamilisha tukio nk.

Kwamba mzungu ni malaika ambae hawezi kudanganya au kuhadaa umma.
Hii yakwako ndo kuigiza sasa.Kama kiongozi anaishi maisha ya kawaida yataonekama tu na kukitokea kaigiza pia itajulikana.sasa wewe unawatetea wale waigizaji ukijilazimisha wafanane nawale wanaoishi maisha yao ya kawaida.
 
Back
Top Bottom