Mwanamke mnyenyekevu ndiye chaguo bora kwa mwanaume yoyote

Mwanamke mnyenyekevu ndiye chaguo bora kwa mwanaume yoyote

Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.

Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Kwahyo ungependa kushauri Nini?
 
Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.

Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Hapa ndipo wanaume tunapopuyanga!!
 
Smart thread.... wanawake wameanza kujitambua cha msingi waache dharau wawe humble.
 
Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.

Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.

Word
 
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.

Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.

Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.

Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.

Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?

Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Mnakuwaga na akili sana kabla ya ndoa ila mkishaolewa tuu na kupata kile kicheti basi akili zote fyatuuu
 
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.

Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.

Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.

Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.

Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?

Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako

So sad kuwa wengi kiburi, ujuaji ndio vimekuwa their way of life.
 
Ngoja wenyewe wanywe chai kwanza uone watakavyokushukia kama Mwewe...
Sidhani. Kila mwanamke anatamani awe na tabia njema ila tu wako possessed na mapepo ndio maana wanakuwa na tabia za kishetani
 
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.

Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.

Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.

Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.

Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?

Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Jemima huyu huyu leo mnyenyekevu hahahaaa hongera kwa kuokoka
 
Mnakuwaga na akili sana kabla ya ndoa ila mkishaolewa tuu na kupata kile kicheti basi akili zote fyatuuu
Kile cheti huwa kinawapa kiburi sana tena itokee amepata huko nje jamaa linamsugua na anaongwa vijihela ikitokea misunderstanding kidogo tu kati yenu utasikia kama umenichoka niambie
 
Back
Top Bottom